ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kati ya wanaume wenye umri wa miaka 15-49 mwaka 2015–2019, 55.2% hawakuzaa mtoto wa kibaolojia, 14.8% walikuwa wamezaa mtoto mmoja wa kibaolojia, 17.4% walikuwa na watoto wawili, 8.2% walizaa watoto watatu, na 4.4% walizaa wanne au zaidi.
Source ni
National Health Statistics Reports, Number 179, January 10, 2023
Source ni
National Health Statistics Reports, Number 179, January 10, 2023