Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Kalemani ndio waziri pekee Alie iweza wizara ya nishati
 
Leo umeandika kwa haraka sna na kwa kuchapia
 
HAPO NIMEJARIBU KUKUELEWAA!
 
Khassim mpaka 2025 atakuwa na 10yrs kazini, sikumbuki kama tuna historia ya PM aliyedumu kazini zaidi ya 10yrs.

Sidhani pia kama tuna historia ya PM ambaye baadaye alikuwa Rais.
PM Khassim ni muslim, sidhani kama 2030 tutahitaji tena Raisi Muslim kwa hizi taratibu zetu.

Msilolijua wengi, Taifa mpaka sasa linaongozwa na mfumo wa kimafia nyuma ya pazia ulioanzishwa na yule dogo pale before 1995, hata pale dom 1995 mchonga alilijua hilo, dogo ni mafia toka akiwa dogo pale Saigoni..
Huyu Khassim ni sehemu ya uzao wa Saigon ni kijana wao ndio vile tu hesabu zao ni ndefu sana na wengi hatuzijui.
Juzi naona dogo kamtaja mentor wake six.
 
Ankoli Maja at first glance ndiyo ile timu ya "top officials" wale ambao hawakutaka tuongozwe na Beijing power. Zipo za chini chini kwamba Ankoli Maja, Mita ya Luku, Mzee wa Mate UDSM na Kichwa nazi cha Kongwa walitaka kuzuia kwa makusudi "peaceful transition of power" baada ya Mseminari kujikunja kwenye mchango wa kitanda kwa kubanwa kifua. Ankoli kwa kuwa yeye ndie alikuwa anawajibu wa kuandaa zoezi chapchap kwa kushirikisha vyombo vya ulinzi, nasikia alilichelewesha mchakato, miruzi ikawa mingi na ndipo Gen Mabe akang'aka, yaani akafoka kinoma, povu jingi na Katibu Mkuu kiongozi akapewa muda la sivyo, wazee wa mabaka mabaka wafanye yao, maana Chuma kilipojua hakitoboi, kilimwita Gen Mabe na Kardinali Jino kwamba wafuate katiba waache ufala, ila Mhutu wa Buhigwe Kigoma awe Makamu ni lazima watake wasitake.

Bila Gen Mabe tungeshasikia ya kusikia, maana Spy Chief alikuwa kundi la kukataa mchakato na kule msoga Mzee wa tabasamu, Ruksa, Mtoto wao wa visiwani wakataka tufate katiba inchi apewe Manzi kiishe. Mbeijing anawajua na wote kimewaramba kawatoa kwenye "spot light" yaani "Platform".

Ankoli anafahamu japo nampongeza ana "play smart" maana akijifanya kichwa maji anapewa uwanja wa lazima chap "uwanja wa futi sita urefu, futi tatu upana, futi sita kina".
 
Wamtoe Majaliwa halafu watu wa kusini tuwakirishwe na nani serikalini? Majaliwa ni kiunganishi kizuri sana cha ccm na serikali yake na watu wa kanda ya kusini. Kama mnataka kuunda serikali ya wakaskazini peke yenu, basi mwondoeni Majaliwa. Yatakayowatokea kwenye uchaguzi msije mkatulaumu sisi.
 
Waambie ni kusini na nyanda za juu kusini,kale kamama hatukaelewi
 
Hao DS hawakumuona huyu aliyepo sasa!!!?? Ni upuuzi tu hakuna cha DS wala nini. Ile kamati ya maadili ya MCC ndo wanaopanga nani awe namba moja na hakuna zaidi ya hapo.
 
Kwani Nape ni wa wapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…