Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

Mkuu hiki ulichonunua kilikuwa majaribio tu ya soko, kitabu halisi kinakura 715.
Aina shida nikija December ntanunua jifunze kauli kwa wazee bado kijana unaitaji watu sna umenikela sna kwa matusi juu ya mzee Mohamed Said fanya halaka umbe radhi kwa kauli zako za kishenzi...
 

kaka naona una jibu la kumjibu mzee kumbe una jikwaa kuonekana ume jibu kubali kua iyu mzee ka kuzdi c hanga zajo acha ubishi wa kuonesha kusto jifahamu
 

unacho kiuliza kwa mzee mkuu ni siasa na si uandishi,na jibu lake ni segerea-muache mzee afahamishe kuusu mapinduzi wanao sherekea awaache wafate walio wapangia au wanao wafata-
 

warum hast du schliesslich auf deutsch geschrieben
 

asante mzee wangu tena mwaambie yericko swala la kutusi na kukashfu imani pia aliache
 
Wacha kujimilikisha historia as if wewe ni pekee uliyoyaona na kushiriki mapinduzi ya 1964.Historia ni amali ya jamii kwanini unataka wewe tu ndo mwenye vyanzo sahihi,lazima unamatatizo sehemu.Historia haiwezi kutaja kila mtu bali key figures.Unataka ulete historia yako ile huyu ndo alikuwa anampa kitoweo mwl.nonsense.
 

thanks bro kwani napenda watu wanao nena ukweli
 

acha maneno ya jikoni mkuu ,mbona maneno yako yanakosa sura kamili
 

ikibidi mtu muudhi kwa kumuambia ukweli
 
Heheee umemwambia vema mkuu, huyu mzee ana matatizo makubwa, nahisi ana matatizo ya kiakili japo anaweza kujidhania ni mzima... Ni mwaka wa tano sasa tunajadiliana mambo haya haya kwa mwendo huuhuu wa mzee Said

wewe ndo ujielewi mzee huyo tuna mfahamu sana kwa mapana uku ughaibuni vyuo vingi tuu,
 
Aina shida nikija December ntanunua jifunze kauli kwa wazee bado kijana unaitaji watu sna umenikela sna kwa matusi juu ya mzee Mohamed Said fanya halaka umbe radhi kwa kauli zako za kishenzi...

tena ambo radhi mzee huyo huku ughaibuni tuna mfahamu kama pesa,nilijarbu kutizama vipost vyake na maneno yake yasio mwelekeo tukaona hana jipyaa
 
Ndugu zangu,
Kipimo cha kitabu chochote ni kwanza reviews na zimechapwa wapi.

Hapa Afrika ya Mashariki kitabu cha Sykes kilifanyiwa serialization tatu katika gazeti la The East African December 1998.

John Iliffe na Jonathon Glassman walifanya review katika Cambridge Journal of African History na James Brennan alifanya review sikumbuki jina la journal.

Tanzania kitabu kilifanyiwa review na Business Times na baadhi ya magazeti.

Lakini kitabu kiliuzika sana katika tafsiri ya Kiswahili na hasa baada ya mijadala hapa JF.

Ukweli ni kuwa watu wengi waliumizwa na hii historia mpya na wengine walishangazwa kuwa iweje historia hii ilikuwa imefichwa kwa miaka yote ile.

Kilichofuata nilipata mialiko mingi ya kuzungumza ndani na nje ya Tanzania kilele ni siku nilipozungumza Northwestern University Evanston, Chicago kwani hawa ndiyo wanaongoza dunia katika historia ya Afrika na hii ilikuwa baada ya kufanya mhadhara University of Iowa.

Nilialikwa Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin ambako nilizungumza na nilikaa mwezi mzima kwa kuandika paper na kuwaachia.

Hii papers inaitwa "Tanzania A Nation Without Heroes."

Siwezi kutaja kote nilipoalikwa na kuzungumza maana kwingine ni mialiko private katika miji ambayo napita kwa mengine lakini jamaa wakisikia niko mjini hunialika kwa chakula na kuniomba nizungumze.

Niliingizwa katika mradi wa Oxford University Press Nairobi wa kuandikia historia kwa ajili ya shule za msingi wakati huo huo wakijifunza Kiingereza na niliandika kitabu kimoja na cha pili ni anthology na waandishi wengine kutoka nchi nyingine za Africa.

Niliingizwa pia katika mradi wa Harvard na Oxford University Press , New York uliojulikana kama Dictionary of African Biography (DAB) uliochapa volume 6 za maisha ya Waafrika mashuhuri.

Haya yote sikuyategemea ukiachia mbali jinsi nilivyovutia watu hapa Majlis.

Watu wakijua nimeingia jamvini wanajazana kwa kufanya "bashing" nami husimana kuwajibu.

Natoa shukurani nyingi kwa JF kwani kama si wao kitabu changu na mimi nisingefahamika na watu wengi kote duniani wanakosema Kiswahili kwa kiasi hiki.

Hii imepelekea pia blog yangu www.mohammedsaid.com kupata umaarufu mkubwa kwa "viposti" vyangu.

Nashauri ikiwa ndugu zangu mmeridhia na tuufunge sasa mjadala huu.

Ahsanteni sana.
 
Umepwaya mno. Usiumie kwa kuwa mtu fulani anakuwa maarufu juu ya usemaji fulani kuwa nawe mbunifu.
No one can survive by his own effort even those whom you are mentioning they reached where you saw them by applying external effort done by others.
Yeriko piga kazi kijana achana na kelele hizi.
 
Nimshauri kijana mwenzangu Yeriko kwamba anasafari ndefu ya kwenda katika huu ulimwengu wa uandishi na iliafanikiwe basi auchunge mdomo wake na majibizano yake katika uandishi.
Naamini kwamba kuna vitu kweli anavijua na kweli amevitafiti lkn bado hajafikia kikomo cha elimu ya uandishi mahiri wa vitabu historia. Wala Yerriko asivimbe kichwa kwakua mtu fulani kwautashi wake au kupendezwa kwake kaamua kusema eti kitabu chake kinahadhi ya PhD.
Yerriko yawezekana kabisa kwamba mzee wetu labda amekukosea ni vyema ungemwambia tuu kwa busara sio kuleta lugha za matusi.
Lakini pia sishangai sana maana huko bara muliowengi ni watoto wa nje ya ndoa kwahivyo hamna namna lazima tuu mtachomoza.
 
Kwa ss nipo njee ya nchi wakt nipo hapo nmenunua kitabu toka kwake maana ni moja ya sterehe zangu kusoma ww vp unacho japo kimoja...
Mkuu ngoja niwe mkweli tu.
Mimi ni mpezi mkubwa sana wa kusoma vitabu lakini nilikatishwa tamaa sana na vitabu kadhaa vya waandishi wa nyumbani nisingependa kuwataja.

Mfano kuna kitabu kinachofanana maudhui ya mambo ya usalama kama hicho ulichoshika mkononi kwenye picha. Kilitoka nadhani 2016. Ule ulikuwa mzaha kwa wasomaji hata kama kingesambazwa bure.

Kwa sasa ninasoma vitabu vya nje tu na vya nyumbani nilisoma vya zamani tena vichache.

Sasa nimepatwa na uoga wa kufadhaika nafsi yangu kwa kujenga matumaini makubwa kwa vitabu vyetu kisha nakutana na uandishi usio wa kina.

Unaweza kumdharau mchangiaji aliesema profesa wake alimwambia asiviamini vitabu vilivyo andikwa kwa kiswahili lakini kama wewe ni msomaji wa vitabu vingi na ukakutana na kitabu kama hicho nilichokilalamikia basi unaweza kukubaliana na huyo profesa.
 
Yawezekana bwana Said ana hoja ktk hilo alilolisemea kuhusu hicho kitabu; lakini hii haiondoi ukweli kuwa bwana Said ni msomi ambaye hakuelimika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…