Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

Yericko,
Unanitukana ilhali mimi nakisema kile ninachoona katika uandishi wako.

Hii si haki.

Mimi sijavutiwa na uandishi wako ndiyo maana sijasoma kitabu chako.

Haya niliyosoma hapa JF yamenitosha.
Mimi ni publisher, mhariri, mtafiti, broadcaster, public speaker, mfasiri na mwandishi niaijua biashara ya vitabu na yote yanayohusiana na tasnia hii.

Kitabu kikiwa cha maana utaona haijifichi.

Sijui kama kitabu chako kimeshapata review yoyote katika gazeti sisemi kwenye academic journals.

Wala sijui kama umepata wewe mwenyewe kukizungumza popote hadharani ukiacha huu uwanja wetu wa JF ambao ni wetu sote.

Mwisho jifunze maana ya neno, "unafiki."
Kitabu cha Yeriko hakiwezi kamwe kuwa reviewed katika academic journals kwanza hakieleweki kinahusu nn haswa badala yake kina visa vya kuokota okota sehemu mbali mbali kama kwenye wikipedia kimsingi alichofanya yeriko ni kama yale masimulizi ya vijiweni ya enzi zile
 
Pia huitaji kukisoma kitabu cha Yeriko kujua hamna kitu pale mfano mm nimesoma baadhi ya ya mada zilizomo ndani ya kitabu hiko kwa sisi wafuatiliaji wa mambo tunajua wapi kayatoa ayo maandishi na kuamua kuyasimulia anapowazidi Yeriko ni kwamba watu ni wavivu wa kusoma ila kitabu chake ni kibovu sijapata ona
 
Aina shida nikija December ntanunua jifunze kauli kwa wazee bado kijana unaitaji watu sna umenikela sna kwa matusi juu ya mzee Mohamed Said fanya halaka umbe radhi kwa kauli zako za kishenzi...
Kabla hujadai kujifunza kauli kwa wazee, basi ji budi uwaonye wazee hao wawe na adabu tena ya uzeeni... Hapo wataheshimika... Huyo mzee wako amekiri wazi hajakisoma kitabu, sasa wewe unapata wapi ujasiri wa kumtetea kwa matusi yake hayo kwangu?

Msome katika uzi wake na soma comments zake ikiwe wewe ni mzee mwenzie na unabusara....
 
wewe ndo ujielewi mzee huyo tuna mfahamu sana kwa mapana uku ughaibuni vyuo vingi tuu,
Una akili kisoda kwelikweli, kwahiyo kumfahamu huyo mzee ndio kuunga mkono kila asemacho?

Hivi umesoma uzi huu na umeona kwamba amekiri kuwa kitabu changu anachokishambulia bado hajakisoma??? Unamuungaje mkono mtu wa aina hii? Utakuwa mjinga wa mwisho..
 
Una akili kisoda kwelikweli, kwahiyo kumfahamu huyo mzee ndio kuunga mkono kila asemacho?

Hivi umesoma uzi huu na umeona kwamba amekiri kuwa kitabu changu anachokishambulia bado hajakisoma??? Unamuungaje mkono mtu wa aina hii? Utakuwa mjinga wa mwisho..

nakushangaa kua na povu la matusi mwana siasa mzima na hili na wasi wasi sana na uwezo wako wa kufikiri kwakweli,umezoe vijembe vya siasa una isi kila sehemu ina faa -shame on you
 
Nimshauri kijana mwenzangu Yeriko kwamba anasafari ndefu ya kwenda katika huu ulimwengu wa uandishi na iliafanikiwe basi auchunge mdomo wake na majibizano yake katika uandishi.
Naamini kwamba kuna vitu kweli anavijua na kweli amevitafiti lkn bado hajafikia kikomo cha elimu ya uandishi mahiri wa vitabu historia. Wala Yerriko asivimbe kichwa kwakua mtu fulani kwautashi wake au kupendezwa kwake kaamua kusema eti kitabu chake kinahadhi ya PhD.
Yerriko yawezekana kabisa kwamba mzee wetu labda amekukosea ni vyema ungemwambia tuu kwa busara sio kuleta lugha za matusi.
Lakini pia sishangai sana maana huko bara muliowengi ni watoto wa nje ya ndoa kwahivyo hamna namna lazima tuu mtachomoza.
Unayeshauri na anayeshauriwa nani ana matusi mkuu?

Kwamba Rais wako ni mtoto wa nje ya ndoa???
 
nakushangaa kua na povu la matusi mwana siasa mzima na hili na wasi wasi sana na uwezo wako wa kufikiri kwakweli,umezoe vijembe vya siasa una isi kila sehemu ina faa -shame on you
Umesoma na kuelewa mada hii kijana?
 
Kitabu cha Yeriko hakiwezi kamwe kuwa reviewed katika academic journals kwanza hakieleweki kinahusu nn haswa badala yake kina visa vya kuokota okota sehemu mbali mbali kama kwenye wikipedia kimsingi alichofanya yeriko ni kama yale masimulizi ya vijiweni ya enzi zile
Wewe ni nani useme hivyo ikiwa Library of Congress wamekitambua?
 
Pia huitaji kukisoma kitabu cha Yeriko kujua hamna kitu pale mfano mm nimesoma baadhi ya ya mada zilizomo ndani ya kitabu hiko kwa sisi wafuatiliaji wa mambo tunajua wapi kayatoa ayo maandishi na kuamua kuyasimulia anapowazidi Yeriko ni kwamba watu ni wavivu wa kusoma ila kitabu chake ni kibovu sijapata ona
Hakuna mchambuzi wa vitabu anayeweza kukichambua kitabu kwakutumia dondoo za mitandaoni tu bila kukisoma kitabu husika.... Huo utakuwa ni ukanjanja....
 
Umesoma na kuelewa mada hii kijana?

mara nyingi uaga nasema kijana mwenzetu yericko ajawivya katka biashara ya siasa -uandishi ni siasa mmoja wapo pia-nakushangaa kua na povu na matusi ivi wewe ndo kiongozi kweli,mzee alikueleza kila kitu ! mimi cja kisoma ila vidokezo vyako tu niliona ulivo chemka kwenye insta,matusi ndo yako,acha jazba kijana mwenzetu,et uki kuswa walikisoma wataalamu wakasema una stahiki phd mbili za mpiga,haaa hiiii wana kutia kiburi cha bure
 
Umesoma na kuelewa mada hii kijana?

naipenda cdm ila ikiwa wapiganaji ni kina yeriko ,wanao kashfu imani za watu,kwenye hoja lazima vijembe na povu matusi juu basi cdm kuweni makini mnoo,kuna mtu asie kubali kushindwa mbele ya ukweli msikilize mzee wako yule kwa makini-haya chukua izo phd ndo unazo kimbilia tujae matusi humu jf
 
Kabla hujadai kujifunza kauli kwa wazee, basi ji budi uwaonye wazee hao wawe na adabu tena ya uzeeni... Hapo wataheshimika... Huyo mzee wako amekiri wazi hajakisoma kitabu, sasa wewe unapata wapi ujasiri wa kumtetea kwa matusi yake hayo kwangu?

Msome katika uzi wake na soma comments zake ikiwe wewe ni mzee mwenzie na unabusara....
Hkn popote alipokutana au kutumia lugha ya kishenzi juu yko yericko lazima ukubari kuwa ww umemvunjia heshima huyo mzee japo sio lazima kuomba radhi maana tunatofauti maleza na mazingira ya ukuaji mtu yyote atakaye fatilia huu uzi ataona ww ni kiasi gani umekosa adabu kwa mzee Mohamed Said
 
Riadha umehama kwenye kitabu unaenda kwa Chadema sasa [emoji16] [emoji16]
Mbaya zaidi unashindwa kuandika kwa utaratibu unaotakiwa.
(Punctuation) Kwenye herufi kubwa unaweka ndogo kwenye nukta unaweka koma,kwenye alama ya kuuliza unaweka ya kushangaa.
Eti nawe umkosoe Yericko wkt hata kuandika unapata shida .
 
Hakuna mchambuzi wa vitabu anayeweza kukichambua kitabu kwakutumia dondoo za mitandaoni tu bila kukisoma kitabu husika.... Huo utakuwa ni ukanjanja....

ukanja upi na uliwai kueka kwenye insta tukajua hamna kitu,kununuliwa kita nunuliwa tu kwa kua tunaitaji kuwapa miyo vijana ila si kwa stahiki za phd ambazo zina kuvuruga akili-mimi mwenyewe nataka nije kukinunua nikirudi huku nikifanyie uchunguzii
 
mara nyingi uaga nasema kijana mwenzetu yericko ajawivya katka biashara ya siasa -uandishi ni siasa mmoja wapo pia-nakushangaa kua na povu na matusi ivi wewe ndo kiongozi kweli,mzee alikueleza kila kitu ! mimi cja kisoma ila vidokezo vyako tu niliona ulivo chemka kwenye insta,matusi ndo yako,acha jazba kijana mwenzetu,et uki kuswa walikisoma wataalamu wakasema una stahiki phd mbili za mpiga,haaa hiiii wana kutia kiburi cha bure
Ndugu WanaMajlis,
Napenda sana JF pawe mahali pa kuelimishina.

Ili kitabu hufika Library of Congress si kwa mwandishi kukipeleka.
Kitabu kinafika Library of Congress kwa kawaida kutoka kwa Publisher.

Library of Congress wakipata kitabu wanakifanyia ''classification,'' na
kukipa namba (identification) ili iwe wepesi kukitambua kinapohitajika
na msomaji.

Hii classification inafuata na somo katika kitabu mathan ''politics, history,
religion,'' nk.

Hii ''classification,'' inakuwa katika mikondo mingi kama vile ''Politics,
African, Politics, Middle East,'' nk.

''History, Political History,'' nk.

Kazi ya kupokea vitabu inakuwa imerahisihwa na ''publisher,'' kwa kuwa
''publisher'' kwa mfano Oxford hawezi kuchapa kitabu cha ovyo kwa hiyo
Library of Congress ikipokea kitabu kutoka Oxford University Press, Nairobi
au Kuala Lumpur wanakuwa tayari wana uhakika na hicho kitabu.

Kitabu kinakuwa kichafanyiwa ''vetting,'' na Oxford University Press kwani
Oxford ina jina katika uchapaji wa vitabu.

Kazi itakayofanya Library of Congress ni ''classification'' na ''cataloging.''
Haiwapati kazi ya kuangalia kitabu kimeandikwaje.

Haiwezekani mtu akaandika kitabu chake mwenyewe, akakichapa mwenyewe
kisha akakipeleka Library of Congress kikapokelewa na kufanyiwa classification.

Kitabu kinaweza kufika Amazon kwa kuwa hawa ni watu wa biashara lakini kufika
Library of Congress kikawekwa maktaba huu ni muhali.

Maktaba hii iliyopo Washington DC ndiyo maktaba inayoongoza duniani na ina
viwango na heshima ya pekee.

Nimekuwa na uhusiano na Library of Congress toka miaka ya mwishoni 1980s na
nikapewa uanachama wa maktaba hii kupitia United States Information Services
(USIS) na tulikuwa wanachama wachache sana kutoka Tanzania.

USIS walitoa heshima hii kwa watafiti na waandishi wachache sana.

7wbwA_PfmCsetddNJafBcrccT85F09dUPNEI0Vl6NuwyNbwSK9t6IAGSh1NBu3pqOUTZ2VGzjdSZ9xmlL4ntIGH3JOeZq-c6oj1FxvC7aBGrq6jRBChggwu8I8U-uGLGilpAeJ1nYvaZmO88deaazPo9tDIbnDhPhFoMp0EmNscYcb0wGhTqetZcoxeCMTTvJIORxNJLWE8zi_g-xxX3tXvdXeYyzr8ryk8T39OCzNnn6lrVb1e2zzLLr9CE8QaQlnoaZvFCco9yhWtiUL8VOJ-UisLVM8zYYpCSxsDGzGzCtR2CgBdAoMG4BCX5SNSPbbYNqu81sJ3V4IcgvK0JP97VKdA1Br4jAITR6PCRNR9bi-R-K9_2p1y6pr-lZ2nZDWiLtvGTP6AiJ-LY_BR3AwoVXj4SyeSJjPchepVJwKEAQymDriuf_ekMXrkOcyHiBErj3WwBO3Lx2B0NDvov8wnryHK3WIabIX1Y4v4waVytIYPGbjPfekjXG7KcWAtaEEI2r8ZiLi2lQkUwPd5bYX3Ivz7YIskUH-tmy4SDMeabCK2ZkAoPNXijFxTUK5hzGkaoZ4SnxAV_RRrB-9ipAhwFpqJntDAavHnkVzE=w329-h220-no

Library of Congress, Washington DC
 
Ndugu WanaMajlis,
Napenda sana JF pawe mahali pa kuelimishina.

Ili kitabu hufika Library of Congress si kwa mwandishi kukipeleka.
Kitabu kinafika Library of Congress kwa kawaida kutoka kwa Publisher.

Library of Congress wakipata kitabu wanakifanyia ''classification,'' na
kukipa namba (identification) ili iwe wepesi kukitambua kinapohitajika
na msomaji.

Hii classification inafuata na somo katika kitabu mathan ''politics, history,
religion,'' nk.

Hii ''classification,'' inakuwa katika mikondo mingi kama vile ''Politics,
African, Politics, Middle East,'' nk.

''History, Political History,'' nk.

Kazi ya kupokea vitabu inakuwa imerahisihwa na ''publisher,'' kwa kuwa
''publisher'' kwa mfano Oxford hawezi kuchapa kitabu cha ovyo kwa hiyo
Library of Congress ikipokea kitabu kutoka Oxford University Press, Nairobi
au Kuala Lumpur wanakuwa tayari wana uhakika na hicho kitabu.

Kitabu kinakuwa kichafanyiwa ''vetting,'' na Oxford University Press kwani
Oxford ina jina katika uchapaji wa vitabu.

Kazi itakayofanya Library of Congress ni ''classification'' na ''cataloging.''
Haiwapati kazi ya kuangalia kitabu kimeandikwaje.

Haiwezekani mtu akaandika kitabu chake mwenyewe, akakichapa mwenyewe
kisha akakipeleka Library of Congress kikapokelewa na kufanyiwa classification.

Kitabu kinaweza kufika Amazon kwa kuwa hawa ni watu wa biashara lakini kufika
Library of Congress kikawekwa maktaba huu ni muhali.

Maktaba hii iliyopo Washington DC ndiyo maktaba inayoongoza duniani na ina
viwango na heshima ya pekee.

Nimekuwa na uhusiano na Library of Congress toka miaka ya mwishoni 1980s na
nikapewa uanachama wa maktaba hii kupitia United States Information Services
(USIS) na tulikuwa wanachama wachache sana kutoka Tanzania.

USIS walitoa heshima hii kwa watafiti na waandishi wachache sana.

7wbwA_PfmCsetddNJafBcrccT85F09dUPNEI0Vl6NuwyNbwSK9t6IAGSh1NBu3pqOUTZ2VGzjdSZ9xmlL4ntIGH3JOeZq-c6oj1FxvC7aBGrq6jRBChggwu8I8U-uGLGilpAeJ1nYvaZmO88deaazPo9tDIbnDhPhFoMp0EmNscYcb0wGhTqetZcoxeCMTTvJIORxNJLWE8zi_g-xxX3tXvdXeYyzr8ryk8T39OCzNnn6lrVb1e2zzLLr9CE8QaQlnoaZvFCco9yhWtiUL8VOJ-UisLVM8zYYpCSxsDGzGzCtR2CgBdAoMG4BCX5SNSPbbYNqu81sJ3V4IcgvK0JP97VKdA1Br4jAITR6PCRNR9bi-R-K9_2p1y6pr-lZ2nZDWiLtvGTP6AiJ-LY_BR3AwoVXj4SyeSJjPchepVJwKEAQymDriuf_ekMXrkOcyHiBErj3WwBO3Lx2B0NDvov8wnryHK3WIabIX1Y4v4waVytIYPGbjPfekjXG7KcWAtaEEI2r8ZiLi2lQkUwPd5bYX3Ivz7YIskUH-tmy4SDMeabCK2ZkAoPNXijFxTUK5hzGkaoZ4SnxAV_RRrB-9ipAhwFpqJntDAavHnkVzE=w329-h220-no

Library of Congress, Washington DC

asante mkuu hongera sana mzee wetu wengi wanaisi ni chuki lah ukweli ndo huu
 
asante mkuu hongera sana mzee wetu wengi wanaisi ni chuki lah ukweli ndo huu
Riadha Jr.
Hasad ni sumu inakula kiwiliwili cha bibadamu kama kansa.
Sina chuki na mtu yeyote hapa Majlis.

Mimi naandika kwa yale ninayoyajua napenda ilm hii ienee
kwa wengi.

Life and times of Abdulwahid Sykes (1924-1968) : (Record no. 8105)
[ view plain ]

000 -LEADER
fixed length control field 01610cam a2200445 a 4500
001 - CONTROL NUMBER
control field 14351029
005 - DATE AND TIME OF LATEST TRANSACTION
control field 20151023091211.0
008 - FIXED-LENGTH DATA ELEMENTS--GENERAL INFORMATION
fixed length control field 060424s2002 ke aa b 001 0bswa d
010 ## - LIBRARY OF CONGRESS CONTROL NUMBER
LC control number 2006305510
 
Riadha Jr.
Hasad ni sumu inakula kiwiliwili cha bibadamu kama kansa.
Sina chuki na mtu yeyote hapa Majlis.

Mimi naandika kwa yale ninayoyajua napenda ilm hii ienee
kwa wengi.

Life and times of Abdulwahid Sykes (1924-1968) : (Record no. 8105)
[ view plain ]

000 -LEADER
fixed length control field 01610cam a2200445 a 4500
001 - CONTROL NUMBER
control field 14351029
005 - DATE AND TIME OF LATEST TRANSACTION
control field 20151023091211.0
008 - FIXED-LENGTH DATA ELEMENTS--GENERAL INFORMATION
fixed length control field 060424s2002 ke aa b 001 0bswa d
010 ## - LIBRARY OF CONGRESS CONTROL NUMBER
LC control number 2006305510

asante mzee molla mtukufu akupe umri wenye hekma na afya tela
 
Back
Top Bottom