Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Chadema inahusika nini na mada hii? Ujinga ni mzigo sananaipenda cdm ila ikiwa wapiganaji ni kina yeriko ,wanao kashfu imani za watu,kwenye hoja lazima vijembe na povu matusi juu basi cdm kuweni makini mnoo,kuna mtu asie kubali kushindwa mbele ya ukweli msikilize mzee wako yule kwa makini-haya chukua izo phd ndo unazo kimbilia tujae matusi humu jf
Pole mzee wangu, utaumia sana mwaka huu, kimsingi unaonyesha tu ulivyokumbatia hasira za mkizi kifuani... Na uzee huo utajiua tu mkuu...Ndugu WanaMajlis,
Napenda sana JF pawe mahali pa kuelimishina.
Ili kitabu hufika Library of Congress si kwa mwandishi kukipeleka.
Kitabu kinafika Library of Congress kwa kawaida kutoka kwa Publisher.
Library of Congress wakipata kitabu wanakifanyia ''classification,'' na
kukipa namba (identification) ili iwe wepesi kukitambua kinapohitajika
na msomaji.
Hii classification inafuata na somo katika kitabu mathan ''politics, history,
religion,'' nk.
Hii ''classification,'' inakuwa katika mikondo mingi kama vile ''Politics,
African, Politics, Middle East,'' nk.
''History, Political History,'' nk.
Kazi ya kupokea vitabu inakuwa imerahisihwa na ''publisher,'' kwa kuwa
''publisher'' kwa mfano Oxford hawezi kuchapa kitabu cha ovyo kwa hiyo
Library of Congress ikipokea kitabu kutoka Oxford University Press, Nairobi
au Kuala Lumpur wanakuwa tayari wana uhakika na hicho kitabu.
Kitabu kinakuwa kichafanyiwa ''vetting,'' na Oxford University Press kwani
Oxford ina jina katika uchapaji wa vitabu.
Kazi itakayofanya Library of Congress ni ''classification'' na ''cataloging.''
Haiwapati kazi ya kuangalia kitabu kimeandikwaje.
Haiwezekani mtu akaandika kitabu chake mwenyewe, akakichapa mwenyewe
kisha akakipeleka Library of Congress kikapokelewa na kufanyiwa classification.
Kitabu kinaweza kufika Amazon kwa kuwa hawa ni watu wa biashara lakini kufika
Library of Congress kikawekwa maktaba huu ni muhali.
Maktaba hii iliyopo Washington DC ndiyo maktaba inayoongoza duniani na ina
viwango na heshima ya pekee.
Nimekuwa na uhusiano na Library of Congress toka miaka ya mwishoni 1980s na
nikapewa uanachama wa maktaba hii kupitia United States Information Services
(USIS) na tulikuwa wanachama wachache sana kutoka Tanzania.
USIS walitoa heshima hii kwa watafiti na waandishi wachache sana.
Library of Congress, Washington DC
Unapongeza ujinga bila hata kujua ukweli....asante mkuu hongera sana mzee wetu wengi wanaisi ni chuki lah ukweli ndo huu
Chadema inahusika nini na mada hii? Ujinga ni mzigo sana
Mzee mo nimeichelewa mada vipi niingie??jimmy...
Maalim Faiza ni mdogo wangu.
Mimi ni umri wa baba yako mjukuu wangu ndiyo kwanza
yuko chekechea unaweza kuniita baba badala ya babu ila
kama utapenda kuniita babu pia ni sawa.
Nimekueleza haya kukusaidia kunipima katika majadiliano.
Unapongeza ujinga bila hata kujua ukweli....
Unapongeza ujinga bila hata kujua ukweli....
Mzee mo nimeichelewa mada vipi niingie??
Pole mzee wangu, utaumia sana mwaka huu, kimsingi unaonyesha tu ulivyokumbatia hasira za mkizi kifuani... Na uzee huo utajiua tu mkuu...
Kitabu cha Yericko Nyerere kimetambuliwa ndani ya Library of Congress, naamini baada ya kujua hili utahamisha tena magoli kama kawaida yako, ulianza kwakusema Yericko hajui historia ya Zanzubar, ukapewa historia, ukasema kakopi, ukapewa nyaraka, ukasema kuna makosa ya uandishi katika herufu, ukaambia unachokisoma sicho kitabu, ukasema kitabu hujakisoma, ukashauriwa ukisoma, sasa umesema kitabu changu hakipo LC....
Haya nakupa link hii ukajisomee na roho yako mbaya ewe lizee.... https://catalog.loc.gov/vwebv/search?searchArg=ujasusi+wa+kidola&searchCode=GKEY^*&searchType=0&recCount=25&sk=en_US
WanaMajlis,
Hapo chini ndiko tulikotoka:
Ameripoti katika ukurasa wake fb
"
Habari njema kwangu na kwa Watanzania, Kitabu changu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kimeingia rasmi kwenye maktaba ya dunia iitwayo Library of Congress iliyopo Marekani.
Hatua hiyo inafanya kuwa sasa kitabu hiki cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, kitatumika kama rejea (source) muhimu kwa wasomi na watafiti mbalimbali wa mambo ya kijasusi ulimwenguni
Unaweza kutembelea hapa >>> LC Online Catalog - Item Information (Full Record)
Na Yericko Nyerere"
Bahati mbaya ktabu kikawa hakipo Library of Congress kama inavyoonekana hapo
chini:
Kwa uzoefu wangu katika vitabu nilieleza mengi kipi kifanyike ili mambo
yakae sawa.
Nilishauri kitabu kipewe ISBN na atafutwe publisher.
Ikiwa haya yamefanyika na kitabu kimekaa sawa kipo Library of Congress
hili ni jambo jema sana.
JF tupafanye mahali pa kuelimishana aliye na elimu ya kitu asiwe na choyo
awafahamishe nduguze ili tija ipatikane.
Hapana haja ya kutukanana.
WanaMajlis,
Hapo chini ndiko tulikotoka:
Kwa uzoefu wangu katika vitabu nilieleza mengi kipi kifanyike ili mambo
yakae sawa.
Nilishauri kitabu kipewe ISBN na atafutwe publisher.
Ikiwa haya yamefanyika na kitabu kimekaa sawa kipo Library of Congress
hili ni jambo jema sana.
JF tupafanye mahali pa kuelimishana aliye na elimu ya kitu asiwe na choyo
awafahamishe nduguze ili tija ipatikane.
Hapana haja ya kutukanana.
Angalia ni tarehe ya hii post:hata mimi alipo toa link ckuona kitu tatzo la mdogo wetu au kamanda yericko ana jazba za kusto taka kukosolewa ,uwezi kuzaliwa na ujuzi jifunze kwa walio kuzidi na ukubali makosa kwa kukoselewa ,mwanzo amedhiirisha ukosefu wa hekma inayo mpelekea kukosa adabu ambayo haitamfikisha popote -
Angalia ni tarehe ya hii post:
Yericko Nyerere
November 25, 2017 via Instagram ·
Leo ninafuraha isiyokifani... Ni heshima kwangu na kwa nchi yangu kuona alama ya mswahili inasimama wima mbele ya mataifa...
Wasomi na watafiti ulimwenguni sasa watakitumia kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kama rejea muhimu,
.
ushauri wangu kwa yericko nyerere achague vita vya kupigana..a wise person should always choose the battle to fight in a warMwezi Julai 2017 nilifanyiwa mahojiano na Hawa Bihoga wa Sauti ya Ujeruamni (DW)
kuhusu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Kipindi kimekamilika na jana wameniletea link hiyo hapo juu.
Tupumzikeni kidogo na malumbano ya Library of Congress tumsome Baba wa Taifa.
Hii link ina mushkeli. Waweza iweka vema ili tukapata kilichokusudiwa. Yawezekana umekosea kiduchu katika kuinukuuPole mzee wangu, utaumia sana mwaka huu, kimsingi unaonyesha tu ulivyokumbatia hasira za mkizi kifuani... Na uzee huo utajiua tu mkuu...
Kitabu cha Yericko Nyerere kimetambuliwa ndani ya Library of Congress, naamini baada ya kujua hili utahamisha tena magoli kama kawaida yako, ulianza kwakusema Yericko hajui historia ya Zanzubar, ukapewa historia, ukasema kakopi, ukapewa nyaraka, ukasema kuna makosa ya uandishi katika herufu, ukaambia unachokisoma sicho kitabu, ukasema kitabu hujakisoma, ukashauriwa ukisoma, sasa umesema kitabu changu hakipo LC....
Haya nakupa link hii ukajisomee na roho yako mbaya ewe lizee.... https://catalog.loc.gov/vwebv/search?searchArg=ujasusi+wa+kidola&searchCode=GKEY^*&searchType=0&recCount=25&sk=en_US
Na kweli aandike anachokifahamu au kukanusha Kwa ushahidi sio kubwabwaja na kuponda tuTuandikie wewe sasa tujue kinagaubaga yaliyojiri
Umemuona eh?Pamoja na ukweli wa hoja zako lkn unaonekana ww ni mbinafsi,mchoyo na mwenye wivu wa dhahiri...na unanisononesha zaidi kwa kua umri umeshakwenda,laiti ungelikua kijana ningesema maneno mabaya zaidi.
Mara nyingi unapoteza nguvu nyingi kubishana na kazi za Yericko kwa nukta nukta za ukweli unaoujua.
Ombi langu kwako kusanya kila unachokijua halafu tuandikie kitabu ukisambaze na tukisome kama alivyofanya Yericko kuliko hili povu lako la kila mara.
Mm binafsi nimesoma historia ya mapinduzi ya Zanzibar ktk vitabu vitatu tofauti na vyote vina vitu vinakinzana na kingine..Lkn pia nimesoma historia ya Zanzibar kupitia makala za Joseph Mihangwa ktk gazeti la RAI .Na kwa kutumia akili yangu nimekubaliana na aliyoandika Mihangwa kwa 65% zaidi ya kwenye vitabu nilivyosoma.
Sasa baba ANDIKA ..ANDIKA baba tusome.
HUU UNAFIKI WA KUJUA VITU HALAFU UNAA NAVYO MPAKA UFE NAVYO UTATUSAIDIA NINI SISI WA KIZAZI HIKI.
BILA YERICKO KUANDIKA UNGELIBISHANIA WAPI.