Askari anayetuhumiwa kuingiliwa asomewa mashtaka, akana sio yeye kwenye video

Hapo kuna mliwa na mlaji. Wote wawepo au kula ni halali ila kuliwa ni haramu?
 
Na aliyemuingilia Huwa hashitakiwi? Mm ktk kitu ninachoshangaa, ivi kwa nn mabasha Huwa hawasakamwi kama mashoga???
 
Huyo keshatemeshwa mwenge na jera anaenda. Pole kwa familia yake na mtoto wake, uzuri wa kule mwanamke anaweza akadai talaka na kuolewa na mtu mwingine.
 
Na aliyemuingilia Huwa hashitakiwi? Mm ktk kitu ninachoshangaa, ivi kwa nn mabasha Huwa hawasakamwi kama mashoga???
Mabasha na wenyewe ni mashoga kwa tafsiri ya neno SHOGA, so nao wanastahili kushtakiwa period.
 
sasa umezijuaje? ukute hyo unayodhan haijaungwa ndo imeungwa ohhhoo
KUna watia viungo wanasimulia banaa..!!! Sema kama kuna mwanamke anaiunga na kiungo chenye harufu kama mbususu, hapo kutofautisha ni ngumu
 
KUna watia viungo wanasimulia banaa..!!! Sema kama kuna mwanamke anaiunga na kiungo chenye harufu kama mbususu, hapo kutofautisha ni ngumu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ na ww mpana sana
 
Hapo kuna mliwa na mlaji. Wote wawepo au kula ni halali ila kuliwa ni haramu?
Ndo hapo ushangae sasa, kwan hata kule mtwaraa atatolewa soon, wananchi wamedanganywa ili wasi hamaki.

Wakishapoa jamaa anatolewa uraiani.
 
Huyo keshatemeshwa mwenge na jera anaenda. Pole kwa familia yake na mtoto wake, uzuri wa kule mwanamke anaweza akadai talaka na kuolewa na mtu mwingine.
Jera haendi kamwee, useme kazi ndo ataachishwaaa.
 
Eti sio yeye?mbona simple,waliinamishe waangalie marinda yapo?maana kwa jinsi alivyokua kaukalia nina imani ana tundu kubwa ukitupia sarafu ya sh.200 inapita bila tatizo.
 
Polisi wamefanya haraka kumkamata huyo! Huenda wangetulia wangekamata wengi! Hata hivyo kwa Zanzibar hiyo kesi ni geresha tu! Zanzibar ni Sodoma na Gomorrah ya Tanzania kwa sasa!

Dar es Salaam says Hi!
 

Zanzibar hakuna wakili atayejitokeza labda fatuma karume tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…