Askari JWTZ apewa kichapo baada ya kutomlipa bodaboda Mafinga

Askari JWTZ apewa kichapo baada ya kutomlipa bodaboda Mafinga

Na wanajeshi walishafanikiwa kuwaaminisha watu kua wao wanapiga sana na wanaogopeka kutokana na mzoezi yao huko kambini.

Imefika hatua sasa kila mtu anataka kuvaa gwanda ili awe tishio aogopeke na watu

Ishini na watu vizuri kudadeki huku mtaani watu hawaelewi huku kila mtu ninja, dhulma haijengi
Kwasisi tuliokulia kota za jeshi huwa tunacheka sana tunapoona raia wa kawaida wanavyo wakuza wanajeshi yani baadhi yao hakuna kitu kabisa.
 
Ni Jambo la heri kuona vijana wakimchangamkia mzurumati na mporaji!

Hao vijana wanastahili pongezi Sana
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Vitu vyengine ni kujishishia heshima tu! Huyo mjeda kama ye mjeda kweli ameshindwa nini kujinunulia pikipiki yake..?
Mtu analipwa Kodi zetu lakini bado wanakunyanyasa! Ni aibu mtu kama mwanajeshi kujishushia heshima kiasi hicho!
 
Siku hizi jwtz imeingiliwa na wanyoa viduku sioni tena ile nidhamu ya jeshi huku mtaani kama zamani ...
Vijana wa hovyo sasa hivi ndio wajeda
 
Vitu vyengine ni kujishishia heshima tu! Huyo mjeda kama ye mjeda kweli ameshindwa nini kujinunulia pikipiki yake..?
Mtu analipwa Kodi zetu lakini bado wanakunyanyasa! Ni aibu mtu kama mwanajeshi kujishushia heshima kiasi hicho!
Utakuta mtu kama huyo ni wale wa pombe kali na wanawake kwa sana.
 
Na wanajeshi walishafanikiwa kuwaaminisha watu kua wao wanapiga sana na wanaogopeka kutokana na mzoezi yao huko kambini.

Imefika hatua sasa kila mtu anataka kuvaa gwanda ili awe tishio aogopeke na watu

Ishini na watu vizuri kudadeki huku mtaani watu hawaelewi huku kila mtu ninja, dhulma haijengi
Jambo ambalo wengi hawalijui kuna wala chips huko jwtz,watoto wa mama hata kurusha ngumi hawawezi.
 
Na wanajeshi walishafanikiwa kuwaaminisha watu kua wao wanapiga sana na wanaogopeka kutokana na mzoezi yao huko kambini.

Imefika hatua sasa kila mtu anataka kuvaa gwanda ili awe tishio aogopeke na watu

Ishini na watu vizuri kudadeki huku mtaani watu hawaelewi huku kila mtu ninja, dhulma haijengi
Nilikua naingia gym fulani Kigamboni kuna jamaa nikawa natrain naye haswa squat weights zingine ameniacha mbali sana.

Nimetrain naye mwaka mzima tunapiga stori shit tunataniana nikaja kujua mwanajeshi baada ya vibaka wa feri kumkaba Navy mmoja na Navy wakaretaliate kwa kutembeza kipigo kila jioni kwa mama urasa ndiyo na yule jamaa nikamkuta yupo kwenye ndinga na wenzake.

Nikawa namuambia gym master juu ya hiyo ishu akaniuliza 'Kwa hiyo siku zote ulikua hujui kama jamaa ni navy? Jiangalie dogo utapiga tizi na majambazi'
 
Wakuu nchi imekuwa ngumu hii nahisi kila mtu amevurugwa, imetokea jana asubuhi kuna jamaa anasemekana ni mjeda amepewa kichapo na vijana hao wenye hasira kali.

Chanzo ni baada ya bodaboda kumpeleka mjeda huyo kazini..inasemwa mjeda huyo alifika kijiweni juzi asubuhi na kumchukua boda mmoja ampeleke kambini ila walipokaribia mjeda huyo alihamaki na kumtaka boda amshushe kwa kuwa anaendesha hivyo hivyo hatoi hela na akiendelea kumfwata atamuitia wenzie.

Basi jana mjeda huyo alionekana maeneo ya kijiweni ndipo boda wakamuamuru alipe hela ya kusafirishwa na riba juu ndipo akagoma basi vijana wakaanza kumshambulia lakini kwa bahati nzuri polisi walikuwa doria ndipo wakawahi kumuokoa na kumtoa katika tukio haraka sana.

Bodaboda magaidi
 
Nilikua naingia gym fulani Kigamboni kuna jamaa nikawa natrain naye haswa squat weights zingine ameniacha mbali sana.

Nimetrain naye mwaka mzima tunapiga stori shit tunataniana nikaja kujua mwanajeshi baada ya vibaka wa feri kumkaba Navy mmoja na Navy wakaretaliate kwa kutembeza kipigo kila jioni kwa mama urasa ndiyo na yule jamaa nikamkuta yupo kwenye ndinga na wenzake.

Nikawa namuambia gym master juu ya hiyo ishu akaniuliza 'Kwa hiyo siku zote ulikua hujui kama jamaa ni navy? Jiangalie dogo utapiga tizi na majambazi'
wapo wajeda social sana yani ni wana, jinsi wanavyo behave kama watu na sio cheo au kale ka wadhfa ambako mtu mwingine anatamani awe nako ili asumbue mjini kwa kuogopeka
 
Wakuu nchi imekuwa ngumu hii nahisi kila mtu amevurugwa, imetokea jana asubuhi kuna jamaa anasemekana ni mjeda amepewa kichapo na vijana hao wenye hasira kali.

Chanzo ni baada ya bodaboda kumpeleka mjeda huyo kazini..inasemwa mjeda huyo alifika kijiweni juzi asubuhi na kumchukua boda mmoja ampeleke kambini ila walipokaribia mjeda huyo alihamaki na kumtaka boda amshushe kwa kuwa anaendesha hivyo hivyo hatoi hela na akiendelea kumfwata atamuitia wenzie.

Basi jana mjeda huyo alionekana maeneo ya kijiweni ndipo boda wakamuamuru alipe hela ya kusafirishwa na riba juu ndipo akagoma basi vijana wakaanza kumshambulia lakini kwa bahati nzuri polisi walikuwa doria ndipo wakawahi kumuokoa na kumtoa katika tukio haraka sana.

Hii imekaa vizuri,nimeipenda sana,raia wameonewa sana mpaka tulianza kuonekana kama mandezi,safi sana vijana.
Kwa tukio la juzi dar,tumeishajua askari wetu hata kama wameshika silaha,ni wepesi sana,askari wawili wenye silaha,wanavamiwa na raia,wanapiga risasi,wananyanganywa silaha!!
It's a incompetence of the highest order
 
Back
Top Bottom