Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
sizani kama ametoroka,pengine maisha ya jeshi yamemshinda kaenda kutafuta maisha sehemu nyingine acheni ofu na kumuusisha Kagame kwa ili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
askari wa jwtz mwenye asili ya rwandaadaiwa kutoroka tanzania!jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!! source:mtanzania jumapili
Nakubaliana na wewe mkuu,hili la kumpa mtu uraia bila kuangalia historia yake limetufikisha hapa tulipo,wamfuatilie kama Edward snowdenNdiyo tatizo la kukubali kila takataka inayoomba kuwa raia kukubaliwa!! Hii inaonyesha wahusika hawafanyi inteligensia inayotakiwa!! Hii RUSHWA!!!
Mimi nilisema siku nyingi kwamba kiburi cha Kagame si bure. Ana watu wa kutosha sana ndani ya jeshi letu la wananchi ndiyo maana anapata kiburi kiasi hicho. Na hii itatugharimu sana katika mahusiano yetu na hawa majirani. Na ile kauli ya kwamba atatafuta angle nzuri ampige Kikwete, ninapata hofu kwamba isijekuwa ni style kama ile aliyomuulia Laurent Kabila. Maana Kagame hana dogo.Du, ipo kazi! Ila kama ni kweli Jeshi wafanye scrutinizing kwa waajiriwa wote, najua kuna gharama kwa hili ila itasaidia sana kuweza kuwatambua nani mamluki!
Kuna Pastor mmoja alishawahi tamka kwamba nchi jirani imeingiza wanajeshi kwa nchi yetu, je swala hulo lilifanyiwa kazi ama liliachwa tu juujuu likielea?
Cosmo
Kama alikuwa private hawezi kuwa na Siri zozote za maana, unless Kama alikuwa na cheo cha juu!
Mtikila alishasema Kagame ana "wanajeshi wake kwenye JWTZ", watu wakampuuza, sasa huu ni mfano mmoja wapo tu....
alikuwa akifanya kazi katika kitengo chateknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).
Cheo cha ukanali tena IT Officer.....kwisha habari yetu.Kama alikuwa private hawezi kuwa na Siri zozote za maana, unless Kama alikuwa na cheo cha juu!
Kuishi vema na mjirani ndiyo suluhisho bora kwa migogoro
Sisa za visasi ni hatari siku zote. Nazo ni za Kikwete na ccm
Mnashangaa ya mwanajeshi, mbona katibu mkuu ccm ni:-
-Msomali
-fisadi mkuu wa maliasili zetu hususan tembo
Simwingine ni KINANA
https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/507158-ofisa-jwtz-ahofiwa-kutorokea-rwanda.htmlKama alikuwa private hawezi kuwa na Siri zozote za maana, unless Kama alikuwa na cheo cha juu!
Vp askari jeshi wenye asili ya malawi wapo jwtz?