Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.
adolay naona hunielewi mm binafsi nikiwaacha hao wenzangu lakini wachangiaji wataelewa nani ni Mlevi haelewi asemacho
Tulishajadili hapahapa na kina Koba, murutongore na wanyarwanda wenzako J. Kikwete hawezi kaa tena meza moja na Kagame kwani wakati huo alishakaa Arusha 06/April/1994 akiwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania na kina Habyarimana na Ndadaye na kwa hila wakaambiwa lazima waondoke na ndege kurudi kwao, usiku huo saa 2.21 Ndege yao ikatunguliwa na makombora kwa maelekezo ya Clinton. Bill Clinton ordered the Pentagon and the CIA to help Kagame to assassinate the Hutu president of Burundi, Melchior Ndadaye neighboring Rwanda.At 8:21 p.m., around Kigali airport, the pilot Habyarimana, a French, radioed the control tower received permission to land. But during the descent from the runway, took off two missiles from Masaka Hill to the presidential plane. Nobody on board survived.
Kwa wewe usiojua ndio unataka JK akae Meza moja kwa lipi hapo?
Sasa wachangiaji wengine wanasema unachochangia ni hasira ya J.Kikwete na CCM sio uongo maana umeujaza ukurasa mzima wa 4 wa thread hii kuonesha huhusiki na pumba zako za kupinga chochote ila kutetea Ututsi na Chadema
ndio maana nikasema wewe ni POPO pita tu hueleweki katika jukwaa lolote humu utajaza jazba na kurasa bure
THE BLACKMAIL OF A BILL CLINTON Kagame. | Africa Boyebi

THE BLACKMAIL OF A BILL CLINTON Kagame.

Share on facebookShare on twitterShare on emailShare on pinterest_shareMore Sharing Services
Bill Clinton behind the pre-conceived plot in the Rwanda genocide
He not only refused to intervene, he actively sought that happen.
The day Bill Clinton landed on a
irport Kigali in March 1997 to meet his friend Paul Kagame, the American people and the rest of the world thought he was there, for reasons of compassion. Well, that was a mistake! Bill Clinton was very worried because of the discovery of the secret of the tragedy of Rwanda. That day, Clinton was able to deliver a speech well calculated, but it betrays the depths of his heart and failed to mention the genocide in his remarks: « It may seem strange to you here, especially many of you who have lost family members, but people like me sitting in offices, day after day, have not been able to fully appreciate the depth and the speed with which terrorism « unimaginable you swallowed them. Outside of content of speech, the key here is time: it was in March 1997! Do you remember what happened a few days before the end of February 1997? Well, the ICTR judge from Australia, Michael Hourigan, in the secret depths of his special investigations, it was discovered that Kagame and Bill Clinton who killed Habyarimana's plane, triggering the Rwanda tragedy. Michael Hourigan was afraid to publicly highlight the name of Clinton. But today, 16 years later, in a video conference data from its native country, Australia, Hourigan believes it is time to tell the truth to the world.
So how the truth has been disclosed? It was February 26, 1997. U.S. Embassy in Kigali, the ICTR investigator Michael Hourigan (Australia) was the famous « Phone Call from Rwanda » to his boss in The Hague (Holland), the chief prosecutor of the ICTR Louise Arbour (the Canada) to make him aware of the highly sensitive information he had discovered .. Immediately, « Kind Lady » booming, called New York to inform the Secretary-General Kofi Annan. The « Cold Bath » Kofi Annan knew two years before, in the office of Foreign Minister Ndagijimana JMV in Kigali, Rwanda, that was Bill Clinton who ordered the assassination of Habyarimana and hoped that this information n ' would never be revealed. Kofi Annan informed immediately Madeleine Albright, Secretary of « State Clinton chose Kofi Annan as Secretary General of the UN to replace » Frenchy « Boutros Ghali. Madeleine Albright landed in the Oval Office in a short time: » Mr. President Our action against France in the Rwandan tragedy is output.
ICTR investigators found that we shot down « French. This was the beginning of the long history of hide and seek: Louise Arbour ordered to dismiss the ICTR Prosecutor Michael Hourigan and terminate the investigation. Kofi Annan was instructed to send to Rwanda Michael Hall of the UN Security services to organize a rapid departure of Michael Hourigan Rwanda. Then Bill Clinton ordered Madeleine Albright put pressure on the ICTR judges and not to investigate the incident that triggered the genocide in Rwanda: the shooting down of the plane of Habyarimana. These orders were preventing adequate to ensure the spirit of peace in Clinton? The idea of being called one day, one American Terrorist hurts: « No Witness MUST Survive. » Nobody must know I shot Habyarimana, a former senior Clinton can recall using today.
Bill Clinton wanted to meet immediately Paul Kagame, his friend in terrorism. « Yes, Sir, » answered the time Madeleine Albright and Susan Rice, as students in the classroom. A few days later, Bill Clinton landed at the airport in Kigali, Rwanda, and after the famous speech, he ordered Paul Kagame to kill anyone who may know the assassination of Habyarimana, starting with those listed on the memo Hourigan had given Louise Arbour in The Hague a few days ago: it was the beginning of the long history of assassinations around the world and around the clock. It is in this spirit of evil camouflage classified by Bill Clinton and Seth Sendashonga Théoneste LIZINDE who helped Clinton agents to kill Habyarimana's plane were assasssiné in Nairobi, Kenya, a few weeks later. And recently, Bill Clinton advised Kagame to assassinate Faustin Nyamwasa Rwandan general in South Africa and the attack failed when Clinton was quick to South Africa to pressure to hush up the affair.
But how Bill Clinton became involved in terrorist acts behind Kagame? « The day the wall of the cold war was shot in Berlin in 1989 among the many festivities, French President François Mitterrand did not know that France would be the next target of the American Empire. 20 years later from there, the image of the invisible American war against France is terrible: 12 million people killed in Francophone Africa and a certified case of genocide in Rwanda. And the victims are all African Negroes. So, who knew? And when they knew it? Well, unfortunately, the man who first had the idea on the table infamous Black is our Hero, General Colin Powell.
Everything begins November 25, 1987, California, in the hills of Santa Ynez, Santa Barbara ranch, President Reagan. General is happy to tell his boss that the Cold War ended with the Soviets: « Mr. President, the Kremlin no longer has the stamina to exercise, the Defence Secretary George Shultz concluded a nuclear agreement with the Soviets yesterday. » The President, in all the excitement, asked the General to find a new enemy to fight. And the new enemy is the French Empire in Africa. Congo's resources have been identified as essential to seize a treasure by any means, including genocide. As a new order coming out of Washington, French president François Mitterrand perceived threat and to prevent, decided to anticipate changes. He invited all African presidents under its control to La Baule (France) and imposed a radical change in public governance (democracy) to correct the so-called « French Errors » in Sarkozy's speech to the apology Gisozi Genocide Memorial (Rwanda) in February 2010 to comply with the will of Mr.Kouchner, the Foreign Minister and his friend Paul Kagame proclaimed.
But it was too late! Washington was not interested in democracy in Africa, Washington was more attracted by the immense mineral resources of Congo.
Bill Clinton entered the Oval Office at the right time with the right people. But he made a big mistake by choosing an uneducated man and soldier baby eg Paul Kagame. October 1, 1990, as President Juvenal Habyarimana of Rwanda refused to betray the French, the Pentagon decided to invade Rwanda from Uganda, hiding behind the rebel RPF. That day, President Juvenal Habyarimana of Rwanda was in Washington and the U.S. State Department offered him asylum in exchange for giving all powers to Kagame's RPF. The President declined the offer and returned to Rwanda. From October 1990 to January 1993, the Pentagon (Dick Cheney, Colin Powell) helped Kagame, giving him everything he needed to overthrow the government of Rwanda. But as France landed troops in Rwanda to push for democracy and negotiations between the Rwandan government and the RPF, Washington realized that it is not possible to invade the Congo with a democratic government in Rwanda: Washington man needs a proxy in Rwanda. It is here that vienti a plan B: the assassination of Hutu leaders!
In September 1993, Bill Clinton ordered the Pentagon and the CIA to help Kagame to assassinate the Hutu president of Burundi, Melchior Ndadaye neighboring Rwanda and ally of France. On 20 October 1993, Kagame with death squads and CIA agents traveled to Bujumbura: President Ndadaye was murdered, cut with knives, « Kagame method » to kill his victims. When Kagame returned to Kampala a few days after his ugly mission in Bujumbura, he was received by Brian Atwood, the director of USAID, to finalize the plan to assassinate President Juvenal Habyarimana of Rwanda. As an informant can confirm today, Kagame hesitated and warned a cataclysm in Rwanda when President Habyarimana was to be killed as his Burundian counterpart Ndadaye. But Bill Clinton, through its Ambassador George Moose, Kagame said that the assassination of Habyarimana was the only way to win the war quickly. The CIA estimates that 50 thousand people would be killed after the assassination of Habyarimana, a sacrifice acceptable and a good price for a good cause. The Pentagon has promised to provide all necessary Kagame, including intelligence and military assistance.
Kagame accepted the risk and invited LIZINDE and Kanyarengwe two Hutu rebels and former allies of President Habyarimana, implement a plan of assassination. Alex Kanyarengwe proposed an attack against the « plane of Habyarimana and Théoneste LIZINDE indicated the best place to shoot the presidential plane: Masaka Hill, near the airport Kanombe. In December 1993, Kagame met again Brian Atwood and Prudence Bushnell U.S. Ambassador George Moose « Tell Clinton that I need money and » arms, a high ranking official of the RPF in exile remembers today. Clinton, through Kampala, gave all Kagame's rebellion: money, men, intelligence (information) and weapons were supplied by Hercules C130 aircraft. tactics to kill Habyarimana policies were carried out by Ugandan President Yoweri Museveni at the request of Bill Clinton. Tanzanian President Hassan Mwinyi joined the plot and President Habyarimana was forced to go to Dar-Es-Salaam on 6 April 1994, for a meeting infamous He never returned home.
So, what happened that day? On 6 April 1994, Bill Clinton ordered the Pentagon to send 450 U.S. rangers in Burundi to assist CIA in Rwanda to execute the assassination smoothly. That day, in the morning, Madeleine Albright, Clinton's Ambassador to the UN, ordered General Roméo Dallaire (Canada) who was in Rwanda as commander of the UN forces, facilitate the RPF and the CIA to travel to Akagera National Park, with UN vehicles to monitor the return of Tanzania Habyarimana's plane in the evening, and alert the team to Terrorist Masaka Hill to prepare for the explosion in flight. The same day, President Yoweri Museveni has received the order for Clinton to make sure that the Habyarimana back to Kigali to be done at night. A 20H 01 ', the spies detected the CIAs Habyarimana's plane above the Akagera National Park, immediately warned headquarters in Mulindi Kagame and called U.S. troops already stationed on Bujumbura airport, then the Ambassador of the United States to Burundi, Robert Kruer, to be ready for a possible catastrophe in Rwanda. Mulindi, which was based the headquarters of the RPF, Kagame sent a radio message to the terrorist team already stationed at Masaka Hill to prepare to descend the aircraft (Black Bag job).
In Washington, Bill Clinton sat in the Oval Office, pending « Good » News. In Kigali, the Canadian General Romeo Dallaire off all phones and its disappearance, engaged in secret talks with officials from the CIA. At 8:21 p.m., around Kigali airport, the pilot Habyarimana, a French, radioed the control tower received permission to land. But during the descent from the runway, took off two missiles from Masaka Hill to the presidential plane. Nobody on board survived.
The good news came to the White House in no time and Anthony Lake, Bill Clinton, National Security Advisor became Oval Office: Mr. Speaker, we have: Congo will be American. A few minutes later, Robert Flaten, U.S. Ambassador to Rwanda at the time, was on the phone to confirm the report. It was a joy in the White House and a sad day to the Champs Elysées. The ultimate objective was to overthrow the Congo from France and occupy the vast Congolese mineral resources. Bill Clinton has agreed to support the rebels in return Kagame Kagame and acting as a proxy for U.S. invade Congo and overthrow the government Frenchy Mobutu. In March 1997, Clinton landed at Kigali airport and gave the infamous speech. Then, hiding behind Kagame, he invaded the Congo has killed 8 million people including Spanish nationals, overthrew France and looted Congo's resources: hundreds of millions of dollars ended up in the pocket Clinton and Kagame can afford two luxury private jets and a huge building in London with Tony Blair as co-holder of the share.
But in January 2009, when Obama became U.S. President Clinton and Kagame, who were friends in crime, become enemies to justice. Why? Obama Kagame ordered the arrest of the Congo General Laurent Nkunda and Kagame reaction plotted to kill Obama, seeking help from Clinton and Tony Blair to shoot Air Force One, in exactly the same way he done to eliminate Dr. Alison Des Forges. When the information became public, probably knew that Obama, Clinton himself had taken the distance Kagame. At the same time, the ICTR found the perpetrators of the assassination of Habyarimana, and now the family of the victims are seeking justice in the courts. The trial in the court of Oklahoma is seeking 350 million U.S. dollars in compensation for the killing of terrorist Airport Kigali on 6 April 1994, Kagame money can not afford. But Kagame also killed 8 million, including Spanish nationals in the Congo during the illegal invasion and illegal occupation of Bill Clinton order. How much money will be needed to compensate all the victims? Who will pay, Kagame or Clinton? Spanish judge says Bill Clinton must pay this money. And man Skinney Kigali understood and is ready to accuse Bill Clinton before the Court if Hillary Clinton begins to criticize publicly. The strong man of Kigali is in a good position to destroy America. And he began to intimidate the United States publicly: « The (&#8230😉, you know the West (&#8230😉, Clinton ordered me to kill Habyarimana (&#8230😉, to invade Congo (&#8230😉, and now he wants me to face justice alone (&#8230😉 « . A senior RPF (Kagame Secret Sevices), several American politicians find themselves in court on charges of terrorism if Kagame is stopped: Bill Clinton, Madeleine Albright, Bill Perry, Colin Powell, Dick Cheney, George Bush, Suzan Rice Brian Atwood, Anthony Lake, John Shalikashvili, Pierre Richard Prosper, Robert Kruer, Kofi Annan, Roméo Dallaire, Louise Arbour and much more.
So what about Kagame? Is an innocent man? Many lawyers believe that Kagame in Spain is an innocent man. It is shown that Bill Clinton ordered to kill Habyarimana and Kagame « s forced to invade the Congo, Kagame can not be stopped, and all the responsibility falls on Bill Clinton. Accordance with the law and the theory of Agency , Kagame is an innocent man, as he acted on the orders of his chief Bill Clinton and Paul Kagame is poised to prove it.
Behind the scenes, the case of « Kagame vs. Clinton » in court is currently attracting many lawyers around the world. Because it is easy to defend Kagame in the courtroom, to win the case and millions of dollars in cash from Bill Clinton. But recently, in Toronto (Canada), Bill Clinton has denied any involvement in the tragedy of Rwanda. Was it fair? A few weeks ago, I posed this question to a former counsel to Bill Clinton: How do you react to these Spanish judges who intend to stop Clinton on charges of terrorism in Rwanda and Congo in 1994 as the « Agency theory »? « Well, you know, theories are nice, but in the courtroom, they need » evidence.
But the French judge Jean-Louis Bruguiere told me several years ago: there is enough evidence implicating Clinton in the assassination of Habyarimana. The australienn lawyer and former ICTR Prosecutor Michael Hourigan confirmed the report. Former Chief ICTR Prosecutor Carla Del Ponte (Switzerland) confirmed the involvement of Bill Clinton. Kagame himself understood the danger and it is likely that he is ready to tell the truth to save his life. And former U.S. Ambassador to Rwanda Robert Flaten confirmed that U.S. Rangers were stationed on Bujumbura airport on 6 April 1994, which was sent there, what were they doing in a francophone country, and why day?
« People do not know the day Bill Clinton is arrested, but already a Spanish judge is ready to shock with America. »

Another conspiracy theory for fools, documentary yake inatoka lini mr ukwaju?
 
Tumepakaziana kila aina ya ubaguzi na Watanzania tunavyo penda matukio tumeacha agenda muhimu katika maisha yetu ya kila siku sasa tunatafuta Wanyarwanda. Hivi mbona sija ona Serikali ya Uingereza ikihoji Uraia wa wabunge wa Labour ambao ni uzao wa pili au wa kwanza wamataifa mengine?

Kwa mfano Ed Miliband kiongozi wa Labour Baba yake ni Myahudi aliyekimbia mauwaji ya kimbali kule Ujerumani nk. Serikali yetu inataka kurudia vitimbwi vya Mkapa alipo shindwa hoja na Jenerali Ulimwengu akatamka sio Raia! CCM please please msitugawe kama mchele na mawe tutakuja kuuwana na kukosa pa kukimbilia
 
Wewe mpuuzi
1. Kwanini ulichukua post zangu mbili kutoka mada na title zenye heading tofauti ukaja danganya watu hapa kwamba ninachangia mada bila kujali title zinasemaje
-huo ni ujinga na upuuzi usionamipaka,kuwa mstaarabu
2. Kwahiyo arusha kikwete na kagame waliongelea mgogoro uliotokana na ushauri wa kikwete kwa kagame ulotokea huko ethiopia mwaka huu?
3. Kama kikwete anaamini suluhisho la migogoro ni majadiliano basi atumie majadiano kumaliza tofauti na kagame! Kwanini anahubiri mambo ambayo hawezi kuyatekeleza kwa vitendo?
Nakubali mm ni mpuuzi maana post zako ni za kiPOPO
  1. Hiyo ni kukuonesha kuwa wewe ni mjinga unakurupuka tu na wachangiaji ndio waliosema sio mm HII POST SIO YANGU NA WALA SIJAKUJIBU WEWE ila nimeambiwa ni zote unazochangia ni za kipunguani ww sio Mzalendo
  2. Hebu fuatilia Post #63 hii ni yangu ?
    [POST=7110633]adolay bofya hapa[/POST]
  3. Huyu Jamaa sio Thread hii tu, Thread zote zinazohusu Rwanda ye huwa anatoa majibu ya ajabu, sina uhakika kama kweli ni Mtanzania. Pitia Thread zinazohusu Rwanda harafu uone majibu yake.
  4. Kagame alikuwa Porini na RPF na J.Kikwete alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kwa hiyo asingeweza kukaa meza moja na jitu la porini lilotumwa na Watutsi , Clinton Museveni na wewe eti mkae na J Kikwete
  5. Kikwete hahubiri mambo ambayo hayatekelezeki ni Kichapo tu sasa baada ya kutoka DRC kwani Wakimbizi wamesharudi kwao Uganda na Rwanda,
Mada inazungumzia
[h=2]Re: Askari JWTZ mwenye asiri ya Rwanda atoroka jeshini![/h]sisi tulijadili ujuha wako, wa kila thread sasa mm upuuzi wangu ni upi nisichanganye thread zako za JF au nilitoka nje ya mada baada ya ALEYN kuniambia tabia zako
Pole ni utoto au ulevi matusi yako mm sitakutukana ila Ututsi wako siukubali pamoja na JK na Watanzania wote
 
Wewe Mtanzania? Kama ndio basi utakuwa ni Mwanachama wa Chadema asiye na upendo na nchi yake, ila sidhani kama wewe ni Mtanzania.
1. Mimi naipenda nchi yangu Tanzania na watanzania wenzangu zaid ya unavyodhani wewe na mzee wa visasi kikwete
2. Sipendi yalomkuta Laulenti Kabila yamkute kikwete
3. Kwasababu naipenda nchi yangu ndiyo maana nasisitiza kuishi vema, kwa amani na jirani zetu, kenya, uganda, malawi na Rwanda kote kikwete kaharibu unadhani vita ikianza tutakimbilia wapi?
4. kubwa zaidi,Kikwete anaamini katika meza ya majadiliano kwanini asitekeleze kwa vitendo nadharia yake ajadili na kagame wamalize tofauti zao?

Umeona akili yake yaani Rais wetu akatukanwe anyamaze kimya
J Kikwete akakae meza moja na kagame wajadiliane tena mambo ya nyuma kweli huyu ni Mtutsi
Ni wa kumuacha maana hajui historia ya hawa watu hawaminiki na sio wa kushirikiana nao Mimi ninao kwenye Ranchi ya Taifa Kongwa, Idara ya Kilimo Mkoa TRA na dalilizao hawaachi asili
Hebu angalia hii Post
Sio huyo tu. Watatu kutoka sehemu nyeti hawajulikani walipo
Yaani km Vita ni bora tuwasake popote tusirudi nyuma hata JF wanaingia kwani hata kagame akishailaumu jamii Forum na Mtikila sembuse huyo adolay kumlaumu Kikwete? kwa kumshinikiza eti wakae meza moja na mtu muuaji aliyetokea Porini?
 
Last edited by a moderator:
Another conspiracy theory for fools, documentary yake inatoka lini mr ukwaju?
Hizi Documentary za P. Kagame kuchukua madaraka kwa kusaidiwa na vibaraka wake wa USA zinapigwa vita hasa na huyu SlimBoy ana nguvu ya ajabu kwani alimuingilia Imran Kombe na prof Mwaikusa na kuwamaliza kwani walikuwa wanaijua na walitaka afikishwe The Hague na sio Arusha
sasa Mtikila naye maskini baada ya kuandama tu simsikii
Humuhumu kuna thread PK ametulaumu member wa JF kumjadili kupitia post za Mchungaji Mtikila
Iko siku MUNGU atasikia kilio cha Wanyarwanda kwani humu JF wamejaa na wanavitisho hata kupitia PM Box watakumiminia ukiwa muoga na unaweza kukuta wamefika mlangoni lakini kwa vile tumeamua waacheni waondoke

[QOUTE=]Kagame has said Mtikila has extreme genocide ideology, similar to what was promoted in Rwanda in 1960s.
He said this at a press conference, adding that Mtikila published an article, calling Tutisi snakes, that they don't deserve to live, and showed great hate!
It should be recalled that Mtikila used Jamii Forum and wavuti to dehumanize tutsis as a tribe, while commenting on eviction of Wasukuma from forests in Kagera. The article breached one of the rules of Jamii Forums that is against use of hate speech, bigotry and promoting hatred and racism on the forums. But since those who were attacked were Tutisis, then it was allowe to go.
Mtikila appealed to his readers that Bantu were one against non-bantu Tutsis!
----------
Mtikila's allegations - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-tanzania.html

[/QUOTE]


DOCUMENTARY itakuja tu MUNGU wetu ni mkubwa kwa hawa madiktekta
 
Si kila askari wa Jw anajua kila kitu kuhusu siri za jeshi. Hata usaalama wa Taifa si kila afisa anajua kila kitu. Utajua tu yale yaliyopo kwenye idara au kikosi chako. Hata kama alikuwa IT kuna kitu kinaitwa clearance levels ambazo ni levels za ku access data.Unaweza ukawepo hapo IT lakini usiweze kuona baadhi ya data. Na kwa taarifa tu kuna watu wa usalama wa Taifa kwenye kila kambi za majeshi yetu. Huyo askari kajisumbua tu kukimbia!

Hivi wewe na umburula wako unamuona luteni kanali afisa MDOGO??? USIWADANGANYE WENZAKO WAKAAMINI HAKUNA THREAT, MAMBO HAYA KAMA HAMJUI MNAPASWA KUKAA KIMYA KULIKO KUPOTOSHA WENGINE, JUST TALK OF THE LEVEL THE LEUTENANT CANAL HAS ACHIEVED.LUTENI KANALI LEVEL YAKE NI KUSIMAMIA KIKOSI NI MDOGO HUYO???
 
Huyu mwanajeshi alikuwa jeshi kivipi kama ni Mrwanda?

Hapa kuna maulizo ya kilakini. Ngoja na tutasikia mengi.
 
askari wa jwtz mwenye asili ya rwandaadaiwa kutoroka tanzania!jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!! source:mtanzania jumapili

jamaa hatakis shida,kaona kujakurudishwa kwa nguvu ni bora asepe mapema....asante sana muhamiaji haramu kwa kujitolea kurudi home,mpe salam kagame,mwambie bongo shwari kabisa ila masogange kachafua hali ya hewa.mwambie chadema wako kwenye mikutano ya katiba,mwambie mwakyembe anawaka kinoma ila ufisadi bado haujaisha,asante sana na senki yu ya gudbye
 
1. Mimi naipenda nchi yangu Tanzania na watanzania wenzangu zaid ya unavyodhani wewe na mzee wa visasi kikwete

2. Sipendi yalomkuta Laulenti Kabila yamkute kikwete

3. Kwasababu naipenda nchi yangu ndiyo maana nasisitiza kuishi vema, kwa amani na jirani zetu, kenya, uganda, malawi na Rwanda kote kikwete kaharibu unadhani vita ikianza tutakimbilia wapi?

4. kubwa zaidi,Kikwete anaamini katika meza ya majadiliano kwanini asitekeleze kwa vitendo nadharia yake ajadili na kagame wamalize tofauti zao?

Kweli wewe si Mtanzania , pole sana na hongera kwa kupata ardhi kubwa unaishi bila woga wowote.Hivi wewe kenya na uganda tunaugovi gani nao?

Hivi Obama kuja Tanzania ndiyo chanzo cha kuwa na ugomvi na Kenya na Ug? au nchi hizo tatu marais wao walivytokutana na Uganda kujalidili masuala yao ndiyo chanzo cha kukorofishana nao?

Wenye waliamua kujitenga kuunda ushirikiano wao bila kumshirikisha rais wetu, labda kwa vile ni muislamu na wao ni wakristo? yote ni heri tu.lakini kumbuka kuwa hata nchi hizo wakiamua kutushambulia, yote ni heri kwani hakuna nchi kagti ya hizo yenye uwezo wa kuwachukua watzania wote milioni arobaini na tano, unanipata ehee...suala la kikwete akae meja moja na kagame wajadili nini?

Ina maana anambembeleza Kagame kwa lipi hasa? kagame kwa yote atakayoamua afanye Mungu ndiye ajuae kwa sababu kama zoezi la kuwafukuza wahamiaji haramu si dhani kama walengwa ni Wanyarwanda, hili watu wanalipotosha tu, na labda kutokana na wanyanrwanda ndiyo wanaonekana ni wengi kupita kiasi.
Hivi wewe ndugu yangu unaipenda kweli nchi yako, mimi ni mtanzania, na ninaipenda nchi yangu kuliko kitu chochote, na hata siku moja siwezi kulala bila kuibombea nchio yangu......
 
Hizi Documentary za P. Kagame kuchukua madaraka kwa kusaidiwa na vibaraka wake wa USA zinapigwa vita hasa na huyu SlimBoy ana nguvu ya ajabu kwani alimuingilia Imran Kombe na prof Mwaikusa na kuwamaliza kwani walikuwa wanaijua na walitaka afikishwe The Hague na sio Arusha
sasa Mtikila naye maskini baada ya kuandama tu simsikii
Humuhumu kuna thread PK ametulaumu member wa JF kumjadili kupitia post za Mchungaji Mtikila
Iko siku MUNGU atasikia kilio cha Wanyarwanda kwani humu JF wamejaa na wanavitisho hata kupitia PM Box watakumiminia ukiwa muoga na unaweza kukuta wamefika mlangoni lakini kwa vile tumeamua waacheni waondoke

[QOUTE=]Kagame has said Mtikila has extreme genocide ideology, similar to what was promoted in Rwanda in 1960s.
He said this at a press conference, adding that Mtikila published an article, calling Tutisi snakes, that they don't deserve to live, and showed great hate!
It should be recalled that Mtikila used Jamii Forum and wavuti to dehumanize tutsis as a tribe, while commenting on eviction of Wasukuma from forests in Kagera. The article breached one of the rules of Jamii Forums that is against use of hate speech, bigotry and promoting hatred and racism on the forums. But since those who were attacked were Tutisis, then it was allowe to go.
Mtikila appealed to his readers that Bantu were one against non-bantu Tutsis!
----------
Mtikila's allegations - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-tanzania.html


DOCUMENTARY itakuja tu MUNGU wetu ni mkubwa kwa hawa madiktekta[/QUOTE]

Kombe mauaji yake kuna conspiracy theory nyingine kuwa alikuwa nyuma ya Lyatonga Mrema kabla hajawa ------- kisiasa, Kuhusu Mwaikusa kuna conspiracy theory ya kuonana uso kwa uso na Daud Balali nasikia mtanzania ukimuona Balali ndio mauti yako, kafichwa kukibeba chama na serikali. JK haaminiki unaweza kuwa ni vita ya kugombea demu na Kagame, we need to dig more.
 
Ha Ha Ha! Kama wataweza kumpata! Marekani wenyewe na teknologia wanahaha kuhusu snowdem. serikali ijufunze na jambo hili wasimkubalie kila mtu kuwa mtanzania halafu wanampa kazi nyeti!!!
Nakubaliana na wewe mkuu,hili la kumpa mtu uraia bila kuangalia historia yake limetufikisha hapa tulipo,wamfuatilie kama Edward snowden
 
Ilishatoke kigoma, akuwa kamanda wa polisi miaka flani ya nyuma alikuwa na asili ya Burudi na ilikuja julikana baada ya kifo chake na alizikwa huko kwao burudi.
 
Davis Mwamunyange[] Adaiwa kutoweka na nyaraka nyeti[/B]

OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha, huku akiacha wingu la mashaka kwamba, hatua yake hiyo inaweza ikawa imeambatana na kupotea pia kwa baadhi ya taarifa muhimu za kijeshi.

Taarifa za kutoweka kwa ofisa huyo mwenye cheo cha luteni kanali, zinalihusisha tukio hilo na hatua za makachero wa JWTZ kufuatilia nyendo zake na zililifikia gazeti la MTANZANIA Jumapili kwa mara ya kwanza katikati ya wiki hii.

Vyanzo vya habari vya kuaminika vinaeleza kuwa, tayari maofisa wa JWTZ wameshaanza kufuatilia kwa karibu tukio la kutoweka kwa ofisa huyo, ambalo pia limezusha hali ya sintofahamu kwamba, huenda akawa ameondoka na nyaraka nyeti za kijeshi.

Kabla ya kutoweka ofisa huyo, ambaye nyendo zake zimekuwa katika darubini kali za makachero wa JWTZ, alikuwa akifanya kazi katika kitengo cha teknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).

Hatua ya kutoweka kwa ofisa huyo wa juu wa JWTZ anayetajwa kwa jina moja la Selumbo, imekuja siku chache tu baada ya kuibuka kwa msuguano wa kauli baina ya Ikulu ya Dar es Salaam na ile ya Kigali.

Chanzo cha msigano huo wa maneno uliogeuka na kuwa mzozo wa kidiplomasia, ni ushauri uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Rais Paul Kagame wa kumtaka awe tayari kukaa meza moja na waasi wa kundi la FDLR wanaopigana Rwanda, kutoka mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Tayari msigano huo wa Kikwete na Kagame umeanza kutajwa na baadhi ya wadadisi wa mambo kuwa tishio kubwa la kwanza la ustawi, uimara na misingi ya mshikamano ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambayo mataifa hayo mawili ni wanachama wake.

Siku chache baada ya ushauri huo, Kagame alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Rwanda akimkejeli Kikwete, hata kufikia hatua ya kutoa kauli zenye mwelekeo wa vitisho dhidi yake.

Kauli hizo za Kagame zilisababisha Rais Kikwete, kupitia katika hotuba yake ya mwishoni mwa Julai, kujibu mashambulizi, huku akieleza bayana kushangazwa na kushtushwa na kejeli na matusi yaliyokuwa yakielekezwa kwake.

Akitumia maneno ya kidiplomasia ambayo yametafsiriwa na baadhi wa wachambuzi wa masuala ya diplomasia na sayansi ya siasa kuwa yanabeba ujumbe mzito, Rais Kikwete alisema alikuwa amesikia yote yanayosemwa kutoka Rwanda na alikuwa hakusudii kuyapuuza.

Kauli hiyo ya Kikwete ambayo ilitanguliwa na ile aliyoitoa siku chache mkoani Kagera ya kuwataka wahamiaji haramu kuondoka nchini, ilifuatiwa na matukio ya kuondoka nchini kwa Wanyarwanda wanaokadiriwa kuzidi 5,000.

Wakati hali ikiendelea kuwa ni ya mashaka na kutoaminiana kati ya Tanzania na Rwanda, katikati ya wiki hii, gazeti dada la MTANZANIA Jumatano, lilikuwa na habari kubwa yenye kichwa cha habari kisemacho; ‘Nini kinamtia Jeuri Kagame?' ambayo pamoja na mambo mengine, ilieleza namna watu wenye asili ya Rwanda walivyojipenyeza katika taasisi mbalimbali nyeti za umma.

Kuvuja kwa taarifa za kurejea Rwanda kwa maelfu ya wahamiaji haramu sambamba na hizi za sasa za kutoweka kwa ofisa wa juu wa JWTZ kunathibitisha kuhusu kuwapo kwa mwelekeo huo wa mambo.

Vyanzo vya habari vya gazeti hili, vinamtaja ofisa huyo kuwa ni mmoja wa makachero wenye asili ya Rwanda waliokuwa wakifanya kazi ndani ya JWTZ na ambao wanahofiwa kuwa watu wenye mawasiliano ya karibu na serikali ya Rwanda, kwa malengo ambayo bado hayajawekwa bayana.

"Ni kweli, huyo ofisa ametoweka jeshini na sijui sababu zilizo nyuma yake…hili suala la kuwa anakusanya taarifa za siri za jeshi letu na kuzipeleka Rwanda nadhani ziligunduliwa na watu wetu ambao wapo kwenye mfumo wa kijeshi," alidokeza mmoja wa watoa taarifa wa MTANZANIA Jumapili.

Msemaji wa JWTZ, Meja Erick Komba, alipoulizwa na gazeti hili kupitia simu yake ya kiganjani kuhusu ukweli wa taarifa hizo, alishindwa kukubali au kukataa, kwa kile alichoeleza kuwa suala hilo ni zito hivyo alikuwa akipaswa kuzungumza kwanza na viongozi wake kabla ya kulitolea taarifa.

Meja Komba alieleza kuwa, wanajeshi wanaotoroka ni wengi na wapo waliofungwa kwa kosa hilo la utoro.

"Jamani suala hili ni zito, naliogopa, nyinyi hamlioni kama ni zito? Sio kwamba sipendi wananchi wapate habari, suala hili tupeni muda kwanza tulifanyie ‘analysis', mbona wanajeshi wengi wanatoroka na hamripoti! Waliotoroka ni wengi, wangine wametorokea Rwanda na kwingine na wamefungwa.

"Ni lazima kwanza niongee na mabosi wangu ndiyo nizungumzie vizuri hili… njoo ofisini Jumatatu (Kesho)," alisema Meja Komba.

Sanjari na tukio hilo, taarifa zaidi zilizonaswa na gazeti hili zimedai kuwa sasa imebainika pasipo shaka kuhusu kuwapo kwa makachero wa Serikali ya Kigali wanaodaiwa kupandikizwa katika taasisi na idara nyeti za serikali kwa ajili ya kufanya ushushu kwa maslahi ya Rwanda.

Inadaiwa kuwa intelijensia ya JWTZ iliyo na mizizi ndani na nje ya nchi ilibaini mapema kuwapo kwa majasusi wa Kinyarwanda ndani ya mfumo wa dola na nyendo zao zimekuwa zikichunguzwa kwa muda mrefu na zilibainisha hali hiyo.

source: Mtanzania
 
Kwa kweli inaonekana namna ya kuajiri wafanyakazi wa sehemu nyeti hakuzingatii vigezo vinavyolinda maslahi na usalama wa nchi. Tuchukulie mfano wa nchi zinazoweka vigezo vikali vya kiintelijensia kama Israel, USA na Urusi. Kuna kitu kinaitwa security clearance levels mbali mbali ambazo zinafanya wafanyakazi kuchujwa kisawasawa na kupewa profile mbalimbali ambazo zinawaruhusu kuwa na access ya mambo nyeti kwa viwango mbali mbali - Suala la uraia wa Tanzania likiwa limezingatiwa.

Sio mtu anaomba urai alikuwa mkimbizi halafu in a shor time tunamwamini kwa sana. Wenzetu raia wa kuandikishwa wanachuykua muda kama miaka 20-25 kabla hawaanza ngazi ya mwanzo ya kuaminiwa. Hapa inabidi tujisahihishe vinginevyo tutaadhiriwa na vinchi ambavyo tunavipuuza kwa lakini kume vimeshakomba siri zito juuya ulinzi na usalama wa taifa letu.

Kuna kipindi pia ilivuma kwamba Malawi imepenyeza makachero wake kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
 
Inasemekana ni Wale ambao waliingia nchini kwenye miaka ya 1950's ambapo tulikuwa bado hatujapata Uhuru, kuna uwezekano mkubwa kuwa walizaliwa Tanzania, wakasomeshwa hapahapa na wamekulia hapahapa. Ni ngumu sana kuwatambua.
Hivi nyie mnashangaa nini..hapa tunavyobishana na kina koba,murutongore,ruzibiza,adolay et al...c ndio hao waliozaliwa huku wanakijua kiswahili fika ndo maana mm naishauri serikali yetu hivyo vitambulisho vya taifa viwe scrutinise very deep indeed...hivi vikagame viko vingi sana kwa kutumia title ya kabila jengine.

Yaani huyu fido dido kumtukana mh. rais wetu ametufanya tujiangalie sana na hii fukuza fukuza isiishie huko kigoma,kagera na geita ije hadi mijini na kwenye taasisi za serikali tuwakimbize hawa mamluki wote....yaani hao sio watu kabisa mie nawajua in and out..atakuchekea as if ni rafiki but huku nyuma anakumaliza mbaya sana...fukuza wote kwenye hii operation.
 
Tumepakaziana kila aina ya ubaguzi na Watanzania tunavyo penda matukio tumeacha agenda muhimu katika maisha yetu ya kila siku sasa tunatafuta Wanyarwanda....Hivi mbona sija ona Serikali ya Uingereza ikihoji Uraia wa wabunge wa Labour ambao ni uzao wa pili au wa kwanza wamataifa mengine? Kwa mfano Ed Miliband kiongozi wa Labour Baba yake ni Myahudi aliyekimbia mauwaji ya kimbali kule Ujerumani nk. Serikali yetu inataka kurudia vitimbwi vya Mkapa alipo shindwa hoja na Jenerali Ulimwengu akatamka sio Raia!!! CCM please please msitugawe kama mchele na mawe tutakuja kuuwana na kukosa pa kukimbilia

Nawe mkimbizi?
 
Kwa Tanzania anything is possible. Nyerere alisemaga pale Ikulu si pa kutalii au sehemu ya mchezo, ila sasa mpaka wabwia unga na ma bongo fleva wanapageuza kuwa kijiwe chao, tunategemea nini?
 
Hiii ni ushahid tosha rais tena muislaam mwez mtukufu unamkaribisha mtu kavaa hiv na unamkaribia pia ni hatar sana

uploadfromtaptalk1376886177028.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom