Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.
kumbe ukweli unautambua vizuri, sasa ndiyo maana tunawachapisha mwendo, hatuambiwi ! Mende ni lazima atokomezwe ndani na nje ya mupaka ya tanzania.


Hapo ndipo uwezo wa akili yako unapogota, hata muamar gadhaf wa libya aliwaita raia wake panya bila kufaham wale ni

wanadamu, wewe unawaita wanyarwanda mende kama huo ndiyo ukweli hapo namashaka makuu.
 

Tatizo lenu ni ujinga wa kuchambuwa na kuchanganua mambo.

Daima ukweli unauma na hampendi kuambiwa ukweli.
Kama jeshi limeweza kumpa kitengo nyeti mnyarwanda, nini kinakuzuia kuhisi kwamba uwezekano wa maadui
kuwepo Ikulu ni mkubwa nakwamba tahadhari ya ziada inahitajika sio kukurupuka tu na maamuzi ya visasi?
Mtaendelea kuwa wapumbavu kwasababu ya upenzi wa kisiasa huku mkiukana ukweli kwa unafiki na ujuha.
Mkuu tafuta daktari wa mambo ya AKILI, unaumwa.... unachanganya sana mada, hiyo si hali ya kawaida... UNAUMWA NA TUNAOKUPENDA TUNAKUSHAURI NENDA KWA DAKTARI WA MATATIZO YA AKILI
Haya za asubuhi mkuu naona hata Janjaweed umemjibu jibu la ku-copy na paste km langu
Sisi sote na wewe hatuko kisiasa katika hili, ni kweli watu hawa wapo mpaka Ikulu na JWTZ kweli kaonekana tupe mbinu basi maana kumlaumu kiongozi wa nchi hawezi kuwafahamu wote tuwe na Ulinzi shirikishi km kweli twaipenda TZ
 
Last edited by a moderator:
Haya za asubuhi mkuu naona hata Janjaweed umemjibu jibu la ku-copy na paste km langu
Sisi sote na wewe hatuko kisiasa katika hili, ni kweli watu hawa wapo mpaka Ikulu na JWTZ kweli kaonekana tupe mbinu basi maana kumlaumu kiongozi wa nchi hawezi kuwafahamu wote tuwe na Ulinzi shirikishi km kweli twaipenda TZ

Tatizo lenu ni ujinga wa kuchambuwa na kuchanganua mambo.

Daima ukweli unauma na hampendi kuambiwa ukweli.

Kama jeshi limeweza kumpa kitengo nyeti mnyarwanda, nini kinakuzuia kuhisi kwamba uwezekano wa maadui

kuwepo Ikulu ni mkubwa nakwamba tahadhari ya ziada inahitajika sio kukurupuka tu na maamuzi ya visasi?

Mtaendelea kuwa wapumbavu kwasababu ya upenzi wa kisiasa huku mkiukana ukweli kwa unafiki na ujuha.
 
Hizi Documentary za P. Kagame kuchukua madaraka kwa kusaidiwa na vibaraka wake wa USA zinapigwa vita hasa na huyu SlimBoy ana nguvu ya ajabu kwani alimuingilia Imran Kombe na prof Mwaikusa na kuwamaliza kwani walikuwa wanaijua na walitaka afikishwe The Hague na sio Arusha
sasa Mtikila naye maskini baada ya kuandama tu simsikii
Humuhumu kuna thread PK ametulaumu member wa JF kumjadili kupitia post za Mchungaji Mtikila
Iko siku MUNGU atasikia kilio cha Wanyarwanda kwani humu JF wamejaa na wanavitisho hata kupitia PM Box watakumiminia ukiwa muoga na unaweza kukuta wamefika mlangoni lakini kwa vile tumeamua waacheni waondoke

[QOUTE=]Kagame has said Mtikila has extreme genocide ideology, similar to what was promoted in Rwanda in 1960s.
He said this at a press conference, adding that Mtikila published an article, calling Tutisi snakes, that they don't deserve to live, and showed great hate!
It should be recalled that Mtikila used Jamii Forum and wavuti to dehumanize tutsis as a tribe, while commenting on eviction of Wasukuma from forests in Kagera. The article breached one of the rules of Jamii Forums that is against use of hate speech, bigotry and promoting hatred and racism on the forums. But since those who were attacked were Tutisis, then it was allowe to go.
Mtikila appealed to his readers that Bantu were one against non-bantu Tutsis!
----------
Mtikila's allegations - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-tanzania.html


DOCUMENTARY itakuja tu MUNGU wetu ni mkubwa kwa hawa madiktekta[/QUOTE]

Ukwaju.
Naona wewe ndio unataka kumpaisha Kagame zaidi ya uwezo wake, eti Imran Kombe na Prof Mwaikasu wameuawawa na Kagame bila Usalama wa Tz kujua??? hizi conspiracy theory zako zinadhalilisha sana vyombo vyetu vya usalama.
Ukiendelea hivi siku moja utakuja kusema hata kifo cha Daudi Mwangosi Kagame anahusika pia hahaha
 
hapo ndipo uwezo wa akili yako unapogota, hata muamar gadhaf wa libya aliwaita raia wake panya bila kufaham wale ni

wanadamu, wewe unawaita wanyarwanda mende kama huo ndiyo ukweli hapo namashaka makuu.

haswaaa!
 
Mtikila alishasema Kagame ana "wanajeshi wake kwenye JWTZ", watu wakampuuza, sasa huu ni mfano mmoja wapo tu....
Ingawa Mtikila mara nyingine anaonekana kama mlopokaji lakini kamwe sio wa kumpuuza.
 
Si kila askari wa Jw anajua kila kitu kuhusu siri za jeshi. Hata usaalama wa Taifa si kila afisa anajua kila kitu. Utajua tu yale yaliyopo kwenye idara au kikosi chako. Hata kama alikuwa IT kuna kitu kinaitwa clearance levels ambazo ni levels za ku access data.Unaweza ukawepo hapo IT lakini usiweze kuona baadhi ya data. Na kwa taarifa tu kuna watu wa usalama wa Taifa kwenye kila kambi za majeshi yetu. Huyo askari kajisumbua tu kukimbia!

Mkuu huyo mjeshi mnyarwanda hajakimbia bure, kwani mathalani anaweza akawa kwenye clearence level 4 lkn akawa ana-access ya mpaka clearence level 6 kwa sababu ni mnyarwanda alikuwa anajua anachokifanya na alishaona dalili ya kushtukiwa. Au kuna mtu wa rank ya juu sana hapo jeshini alikuwa anamsaidia huyo mnyarwanda kwa malipo manono sana ya fedha (msaliti).
 
Haya za asubuhi mkuu naona hata Janjaweed umemjibu jibu la ku-copy na paste km langu
Sisi sote na wewe hatuko kisiasa katika hili, ni kweli watu hawa wapo mpaka Ikulu na JWTZ kweli kaonekana tupe mbinu basi maana kumlaumu kiongozi wa nchi hawezi kuwafahamu wote tuwe na Ulinzi shirikishi km kweli twaipenda TZ



Kiongozi wa Taifa kubwa kama Tanzania lenye watu wengi kutoka mipaka yake yote ambao wameenea sehemu na vitengo mbali mbali na vingine ni nyeti kabisa hatakiwi kufanya maamuzi ya visasi, jaziba na kukurupuka.


1. Maamuzi yoyote lazima yazingatie haki za msingi kwa watu wote bila manyanyaso, kupuuzwa wala kutenganishwa.

-ni hasiragani unazijenga kutenganisha watoto na familia zao? baba na mama, wajukuu na babu na bibi zao

-Ni hasiragani unazijenga unapotaifisha mali za watu, uporaji na udhalilishaji

katika hili tunajenga uhasama na majirani zetu bila sababu za msingi na kuanzisha ufa wa uadui wa kudumu kama ilivyo kwa wayahudi na wapalestina.

2. kama tatizo ni uhamiaji haram, sensa ya kueleweka ingefanywa na walowezi kuhamishwa kwa kuzingatia haki za binadamu taratibu za uhamiaji vizazi na vifo kwa kuzingatia nani aliingia enzi zile, enzi za kati na hivi karibuni.


3. Kiongozi wa nchi aache maamuzi ya jaziba, visasi na lazima.
-Kikwete ameutangazia umma kwamba suluhisho la migororo hutatauliwa mezani kwa majadiliano na makubaliano, niwakati wake kuithibitisha nadharia hii kwa vitendo kwamba anaamini hivyo na anafanya hivyo

4. wakati wa mgogoro wa Idd amini na Tanzania, Nyerere hakuwafukuza waganda bali alishirikiana na waganda kumtwanga Amini na hii ndiyo intelijensia tunayo ihitaji sio kufaraganisha watu bila kutathimini madhara ya maamuzi hayo kwa ujumla wake.

Hatuendi hivyo hata kidogo, tunamatatizo kadhaa wa kadhaa ambayo yanahitaji majibu sahihi na ya msingi badala ya kupiga siasa, propaganda na kutujengea uhasama kwa majirani just kwa vitu vya kipuuzi huko nje ya nchi watu wakitambiana kuutafuta umaarufu wa kifedhuri katika anga za kimataifa kwa ghrama ya uhai wetu, watoto na vizazi vyetu hapo baadaye.
 
Nawe mkimbizi?

Ninashukuru kwa swali lako. Hii ni kawaida ya Watanzania hasa CCM na wafuasi wao badala ya kujibu hoja huwa mnakimbilia Personal Attacks. Mimi ni mkimbizi(hii ni kutokana na CCM kuleta tafsiri mpya ya ukimbizi) kwa kuwa naishi Dar es Salaam na kwetu ni Dodoma.
 
Espionage
images.jpg
 
Kwa mujibu ya gazeti la mtanzania alikuwa department ya IT jeshin, na alikuwa ni ofisa wa rank ya luten kanali..so ni mtu mkubwa na kama alikuwa mole wa Rwanda manake ametuma information nyingi na nyeti sana.

Anaweza kuwa na access ya database ya JWTZ na kujua idadi ya askari na silaha, pia deployment ya makambi na strength za kila kajbi. Pia anauwezo wa kujua strategic areas katika jeshi. Ni kitengo sensitive sana. Department ya IT ni kama moyo wa jeshi manake kila kitu kinakuwa pale kwenye database.

ok pamoja na haayo...kaa ukijua jeshi linakuwa na per-cautions kama hizo mapeeeeema sana...alafu mnakuza mabo wapumbavu nyie unadhani nani kati ya JK na PK yupo tayari kuingia garama za vita?rwanda majeraha hayajakauka Tz ndo usiseme ngumi za kagera tunauguza vidonda mpaka leo....angalia usijekuwa sehemu ya mgogoro (catalyst)....
 
Kiongozi wa Taifa kubwa kama Tanzania lenye watu wengi kutoka mipaka yake yote ambao wameenea sehemu na vitengo mbali mbali na vingine ni nyeti kabisa hatakiwi kufanya maamuzi ya visasi, jaziba na kukurupuka.
1. Maamuzi yoyote lazima yazingatie haki za msingi kwa watu wote bila manyanyaso, kupuuzwa wala kutenganishwa.
-ni hasiragani unazijenga kutenganisha watoto na familia zao? baba na mama, wajukuu na babu na bibi zao
-Ni hasiragani unazijenga unapotaifisha mali za watu, uporaji na udhalilishaji

katika hili tunajenga uhasama na majirani zetu bila sababu za msingi na kuanzisha ufa wa uadui wa kudumu kama ilivyo
https://www.jamiiforums.com/jamii-i...-anaweza-kuwa-na-asili-ya-gitega-burundi.html
Sunday, August 18, 2013 | 7:51 PM
Mtandao wa News of Rwanda juzi umeandika makala yenye kichwa cha habari, ‘If President Kikwete is Tanzanian, then most Rwandans being expelled are Tanzanians too' na kuandika kile linachodai kuwa
Rais Kikwete anaweza kuwa na asili ya Burundi.

Kwa mujibu wa wazee wa Burundi waliohojiwa na mtandao huo, umedai
Rais Kikwete anaweza kuwa na asili ya Giteka, Burundi.


Magazeti ya Rwanda hayalalamiki km wewe na hayatetei uhayawani kuwa Rais Jakaya Kikwete anahusika mpaka na kazi za uporaji, uporaji hata wa wanaorudi Rwanda?
-ni hasiragani unazijenga kutenganisha watoto na familia zao? baba na mama, wajukuu na babu na bibi zao
-Ni hasiragani unazijenga unapotaifisha mali za watu, uporaji na udhalilishaji

usiwe mbishi ndugu yangu tuache Siasa hapa, kuwa Mlinzi shirikishi hawa Watutsi watimuliwe, awepo JK au Rais mwingine yeyote hili Kabila ni tatizo sio sawa na Binadamu wa kawaida leo mnajikosha

Historical discourse shows that most Tanzanians are from other neighbouring countries. The Ngoni people came from Zulu land in South Africa; Yao used to belong to Mwanamtapa Kingdom; Arabs of Unguja and Pemba Irelands in Zanzibar came from Oman during the rule of Sultan Sayid Said.

Chaga, Maasai and Meru people of Northern Tanzania are traced in Kenya; Hangaza people from Burundi; Haya people from Uganda; Waha (Ha people) arrived in from Zaire and Burundi; the Makonde people (tribe of former Tanzania President Benjamin William Mkapa) came from Mozambique; Nyasa People relocated from Malawi; almost all Mara region dwellers came from Kenya and the list can cover about 80percent of all Tanzanians.

The Singida and some Arusha people like Warangi, Wasandawe, Wabaebaig, Wairaq and Hadzabe are not Bantus, but Semi Nilotic who found themselves in that country after immigration for survival.
 
Tatizo lenu ni ujinga wa kuchambuwa na kuchanganua mambo.

Daima ukweli unauma na hampendi kuambiwa ukweli.

Kama jeshi limeweza kumpa kitengo nyeti mnyarwanda, nini kinakuzuia kuhisi kwamba uwezekano wa maadui

kuwepo Ikulu ni mkubwa nakwamba tahadhari ya ziada inahitajika sio kukurupuka tu na maamuzi ya visasi?

Mtaendelea kuwa wapumbavu kwasababu ya upenzi wa kisiasa huku mkiukana ukweli kwa unafiki na ujuha.
kila nchi inamfumo makini wa kupata taarifa za siri za nchi jirani.huyu kakimbia baada yakushitukiwa.unachofurahia na kuona kama ushujaa kwa Wanyarwanda eti ni kitendo cha mnyarwanda kuwa kwenye jeshi la TZ. hata hivyo usidhani Tanzania iko nyuma sana hata Tanzania ina wanajeshi na maofisa usalama wengi kwenye jeshi la Rwanda na usalama wa RWANDA.

Hivyo amini kabisa taarifa za siri na mipango ya siri ya serikali ya Rwanda,Tanzania wanaijua vyanzo vya Tanzania vilivyoko huko Rwanda vinaleta.Hivyo usibweteke na mawazo yako mgando kwamba TZ iko nyuma kiusalama sivyo udhanivyo ndo maana ikamshitukia huyo mnyarwanda akakimbia.

Wanyarwanda wengi walikuja tanzania kama wakimbizi tukawapokea wakae kwa muda mpaka hapo nchi yao itakapo kuwa salama wataondoka kurudi kwao sasa hivi rwanda kumetulia warudi kwao je kuna kosa gani hapa ambalo tanzania imefanya ,baadhi yao walipewa uraia,wale ambao hawakupata uraia ni lazima waondoke ndivyo sheria inavyo sema.wewe inaonyesha unaumia wanyarwanda wenzako kurudishwa kwao,lakini sio kwamba wameonewa hapa walipewa hifadhi ya muda sio ya kudumu, na siku zote ukiona mtu anang'ang'ania sehemu ujuwe ananufaika, kumbe hawa jamaa wananufaika sana hapa Tanzania wanaumia kuondoka.

WATANZANIA HATUOGOPI VITISHO HATA KAMA WANYARWANDA MTAONGEA MPAKA MNATEMA MOTO
 
Hivi wewe na umburula wako unamuona luteni kanali afisa MDOGO??? USIWADANGANYE WENZAKO WAKAAMINI HAKUNA THREAT, MAMBO HAYA KAMA HAMJUI MNAPASWA KUKAA KIMYA KULIKO KUPOTOSHA WENGINE, JUST TALK OF THE LEVEL THE LEUTENANT CANAL HAS ACHIEVED.LUTENI KANALI LEVEL YAKE NI KUSIMAMIA KIKOSI NI MDOGO HUYO???

Wewe kwa ujuha wako usiopimika ndio utamuona mkubwa, nini ukuu wa kikosi,wapo wenye vyeo zaidi yake ambao nao walipo defect au kwenda nje ya masdili yao ya kazi walishughurikiwa atakuwa huyo. This is Tanzania. By the way writting in capital letters justfy more of your foo**shness!
 
Hawa tuaowaita Wanyarwanda wamezaliwa na kusoma Tanzania kama kabila la Wahangaza au wazazi wao walikuwa wakimbizi na baadaye wakaomba uraia ili hali waendelee kuzaa watoto wa Kitanzania wenye asili ya Rwanda.

Kwa sababu kabila hili wamejaliwa ujasiri na akili nyingi, mara kwa mara wamekuwa hodari darasani na kazini kiasi kwamba kila mahali aliko mtumishi mwenye asili ya Rwanda mara nyingi anakuwa na madaraka ya juu.

Hawa ni rahisi sana kurudi kwao na kuukana uraia wa TZ na kuomba uraia wa Rwanda ili mradi tu serikali ya Rwanda itaona ina manufaa naye. Hili hatuwezi kulikweka na si busara kuwabugudhi watumishi hawa shupavu na wanyenyekevu.

Wale ambao wataonekana kutokuwa waaminifu basi wachukuliwe hatua za kinidhamu ni si kuwarudisha Rwanda kwa sababu uraia wao si wa kuomba ila wa kuzaliwa.
 
Njia moja wapo yakurahisisha ushindi katika vita,ukiachana na kuwa na nyenzo nzuri ,nikuwa na information zakutosha za adui yako,,kagame kaisha likamilisha ilo,,,kazi tunayo wa tz,,,
 
WATANZANIA TUNATAKIWA KUJIAMINI, HATA SISI TUNAMASHUSHU WETU WAKUTOSHA HUKO RWANDA

RAIS Paul Kagame wa Rwanda amemteua Mtanzania, Profesa Silas Rwakabamba pichani kuwa Waziri wa Miundombinu wa nchi hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanyika Jumatatu iliyopita.Kabla ya uteuzi huo, Profesa Rwakabamba alikuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Rwanda. Ni mmoja wa mawaziri wanaoingiza sura mpya katika Baraza la Rais Kagame ambalo amelifanyia mabadiliko kwa kuunda wizara nyingine mpya. Sura nyingine mpya katika Baraza hilo ambalo liliapishwa juzi Ikulu ya Rwanda ni pamoja na Seraphine Mukantabana (Wakimbizi na Menejimenti ya Maafa) na Oda Gasinzigwa (Ofisi ya Waziri Mkuu- Familia na Jinsia).

Akizungumza kwa simu na mwandishi wetu jana, mdogo wa Profesa Rwakabamba, Timothy Rwamushaija anayeishi Dar es Salaam, alisema ndugu yake alizaliwa katika Kijiji cha Bushagara, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera. Alisema Profesa Rwakabamba alikuwa Mtanzania aliyeamua kuchukua uraia wa Rwanda na wote baba yao ni Mzee Titus Rwamushaija... Huyu ni kaka yangu wa tumbo moja na kwa kweli tumefurahi sana kwa mafanikio yake sisi kama wanafamilia.

images.jpg
 
Isije ikawa kaondoka huku anafahamu passwords zote za mawasiliano ya mfumo wa IT wa JWTZ! akiwa Kigali anakuwa anadungua intelligence information zote za JWTZ na kumpa Kagame!

Anaweza asiondoke na faili la nyaraka nyeti lakini kichwa chake ni faili tosha. kuna mengi kahifadhi kichwani! vyombo vya ulinzi na usalama vya TZ vifanye ujasusi nchini Rwanda na virudi na kichwa cha huyo hasidi na apewe Kikwete kikiwa kwenye sinia!
 
Hivi nyie mnashangaa nini..hapa tunavyobishana na kina koba,murutongore,ruzibiza,adolay et al...c ndio hao waliozaliwa huku wanakijua kiswahili fika ndo maana mm naishauri serikali yetu hivyo vitambulisho vya taifa viwe scrutinise very deep indeed...hivi vikagame viko vingi sana kwa kutumia title ya kabila jengine..yaani huyu fido dido kumtukana mh. rais wetu ametufanya tujiangalie sana na hii fukuza fukuza isiishie huko kigoma,kagera na geita ije hadi mijini na kwenye taasisi za serikali tuwakimbize hawa mamluki wote....yaani hao sio watu kabisa mie nawajua in and out..atakuchekea as if ni rafiki but huku nyuma anakumaliza mbaya sana...fukuza wote kwenye hii operation.

Hili jambo limenigusa sana Mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom