Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.

Another conspiracy theory for fools, documentary yake inatoka lini mr ukwaju?
 
Tumepakaziana kila aina ya ubaguzi na Watanzania tunavyo penda matukio tumeacha agenda muhimu katika maisha yetu ya kila siku sasa tunatafuta Wanyarwanda. Hivi mbona sija ona Serikali ya Uingereza ikihoji Uraia wa wabunge wa Labour ambao ni uzao wa pili au wa kwanza wamataifa mengine?

Kwa mfano Ed Miliband kiongozi wa Labour Baba yake ni Myahudi aliyekimbia mauwaji ya kimbali kule Ujerumani nk. Serikali yetu inataka kurudia vitimbwi vya Mkapa alipo shindwa hoja na Jenerali Ulimwengu akatamka sio Raia! CCM please please msitugawe kama mchele na mawe tutakuja kuuwana na kukosa pa kukimbilia
 
Nakubali mm ni mpuuzi maana post zako ni za kiPOPO
  1. Hiyo ni kukuonesha kuwa wewe ni mjinga unakurupuka tu na wachangiaji ndio waliosema sio mm HII POST SIO YANGU NA WALA SIJAKUJIBU WEWE ila nimeambiwa ni zote unazochangia ni za kipunguani ww sio Mzalendo
  2. Hebu fuatilia Post #63 hii ni yangu ?
    [POST=7110633]adolay bofya hapa[/POST]
  3. Huyu Jamaa sio Thread hii tu, Thread zote zinazohusu Rwanda ye huwa anatoa majibu ya ajabu, sina uhakika kama kweli ni Mtanzania. Pitia Thread zinazohusu Rwanda harafu uone majibu yake.
  4. Kagame alikuwa Porini na RPF na J.Kikwete alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kwa hiyo asingeweza kukaa meza moja na jitu la porini lilotumwa na Watutsi , Clinton Museveni na wewe eti mkae na J Kikwete
  5. Kikwete hahubiri mambo ambayo hayatekelezeki ni Kichapo tu sasa baada ya kutoka DRC kwani Wakimbizi wamesharudi kwao Uganda na Rwanda,
Mada inazungumzia
[h=2]Re: Askari JWTZ mwenye asiri ya Rwanda atoroka jeshini![/h]sisi tulijadili ujuha wako, wa kila thread sasa mm upuuzi wangu ni upi nisichanganye thread zako za JF au nilitoka nje ya mada baada ya ALEYN kuniambia tabia zako
Pole ni utoto au ulevi matusi yako mm sitakutukana ila Ututsi wako siukubali pamoja na JK na Watanzania wote
 
Wewe Mtanzania? Kama ndio basi utakuwa ni Mwanachama wa Chadema asiye na upendo na nchi yake, ila sidhani kama wewe ni Mtanzania.

Umeona akili yake yaani Rais wetu akatukanwe anyamaze kimya
J Kikwete akakae meza moja na kagame wajadiliane tena mambo ya nyuma kweli huyu ni Mtutsi
Ni wa kumuacha maana hajui historia ya hawa watu hawaminiki na sio wa kushirikiana nao Mimi ninao kwenye Ranchi ya Taifa Kongwa, Idara ya Kilimo Mkoa TRA na dalilizao hawaachi asili
Hebu angalia hii Post
Sio huyo tu. Watatu kutoka sehemu nyeti hawajulikani walipo
Yaani km Vita ni bora tuwasake popote tusirudi nyuma hata JF wanaingia kwani hata kagame akishailaumu jamii Forum na Mtikila sembuse huyo adolay kumlaumu Kikwete? kwa kumshinikiza eti wakae meza moja na mtu muuaji aliyetokea Porini?
 
Last edited by a moderator:
Another conspiracy theory for fools, documentary yake inatoka lini mr ukwaju?
Hizi Documentary za P. Kagame kuchukua madaraka kwa kusaidiwa na vibaraka wake wa USA zinapigwa vita hasa na huyu SlimBoy ana nguvu ya ajabu kwani alimuingilia Imran Kombe na prof Mwaikusa na kuwamaliza kwani walikuwa wanaijua na walitaka afikishwe The Hague na sio Arusha
sasa Mtikila naye maskini baada ya kuandama tu simsikii
Humuhumu kuna thread PK ametulaumu member wa JF kumjadili kupitia post za Mchungaji Mtikila
Iko siku MUNGU atasikia kilio cha Wanyarwanda kwani humu JF wamejaa na wanavitisho hata kupitia PM Box watakumiminia ukiwa muoga na unaweza kukuta wamefika mlangoni lakini kwa vile tumeamua waacheni waondoke

[QOUTE=]Kagame has said Mtikila has extreme genocide ideology, similar to what was promoted in Rwanda in 1960s.
He said this at a press conference, adding that Mtikila published an article, calling Tutisi snakes, that they don't deserve to live, and showed great hate!
It should be recalled that Mtikila used Jamii Forum and wavuti to dehumanize tutsis as a tribe, while commenting on eviction of Wasukuma from forests in Kagera. The article breached one of the rules of Jamii Forums that is against use of hate speech, bigotry and promoting hatred and racism on the forums. But since those who were attacked were Tutisis, then it was allowe to go.
Mtikila appealed to his readers that Bantu were one against non-bantu Tutsis!
----------
Mtikila's allegations - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-tanzania.html

[/QUOTE]


DOCUMENTARY itakuja tu MUNGU wetu ni mkubwa kwa hawa madiktekta
 

Hivi wewe na umburula wako unamuona luteni kanali afisa MDOGO??? USIWADANGANYE WENZAKO WAKAAMINI HAKUNA THREAT, MAMBO HAYA KAMA HAMJUI MNAPASWA KUKAA KIMYA KULIKO KUPOTOSHA WENGINE, JUST TALK OF THE LEVEL THE LEUTENANT CANAL HAS ACHIEVED.LUTENI KANALI LEVEL YAKE NI KUSIMAMIA KIKOSI NI MDOGO HUYO???
 
Huyu mwanajeshi alikuwa jeshi kivipi kama ni Mrwanda?

Hapa kuna maulizo ya kilakini. Ngoja na tutasikia mengi.
 
askari wa jwtz mwenye asili ya rwandaadaiwa kutoroka tanzania!jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!! source:mtanzania jumapili

jamaa hatakis shida,kaona kujakurudishwa kwa nguvu ni bora asepe mapema....asante sana muhamiaji haramu kwa kujitolea kurudi home,mpe salam kagame,mwambie bongo shwari kabisa ila masogange kachafua hali ya hewa.mwambie chadema wako kwenye mikutano ya katiba,mwambie mwakyembe anawaka kinoma ila ufisadi bado haujaisha,asante sana na senki yu ya gudbye
 

Kweli wewe si Mtanzania , pole sana na hongera kwa kupata ardhi kubwa unaishi bila woga wowote.Hivi wewe kenya na uganda tunaugovi gani nao?

Hivi Obama kuja Tanzania ndiyo chanzo cha kuwa na ugomvi na Kenya na Ug? au nchi hizo tatu marais wao walivytokutana na Uganda kujalidili masuala yao ndiyo chanzo cha kukorofishana nao?

Wenye waliamua kujitenga kuunda ushirikiano wao bila kumshirikisha rais wetu, labda kwa vile ni muislamu na wao ni wakristo? yote ni heri tu.lakini kumbuka kuwa hata nchi hizo wakiamua kutushambulia, yote ni heri kwani hakuna nchi kagti ya hizo yenye uwezo wa kuwachukua watzania wote milioni arobaini na tano, unanipata ehee...suala la kikwete akae meja moja na kagame wajadili nini?

Ina maana anambembeleza Kagame kwa lipi hasa? kagame kwa yote atakayoamua afanye Mungu ndiye ajuae kwa sababu kama zoezi la kuwafukuza wahamiaji haramu si dhani kama walengwa ni Wanyarwanda, hili watu wanalipotosha tu, na labda kutokana na wanyanrwanda ndiyo wanaonekana ni wengi kupita kiasi.
Hivi wewe ndugu yangu unaipenda kweli nchi yako, mimi ni mtanzania, na ninaipenda nchi yangu kuliko kitu chochote, na hata siku moja siwezi kulala bila kuibombea nchio yangu......
 


DOCUMENTARY itakuja tu MUNGU wetu ni mkubwa kwa hawa madiktekta[/QUOTE]

Kombe mauaji yake kuna conspiracy theory nyingine kuwa alikuwa nyuma ya Lyatonga Mrema kabla hajawa ------- kisiasa, Kuhusu Mwaikusa kuna conspiracy theory ya kuonana uso kwa uso na Daud Balali nasikia mtanzania ukimuona Balali ndio mauti yako, kafichwa kukibeba chama na serikali. JK haaminiki unaweza kuwa ni vita ya kugombea demu na Kagame, we need to dig more.
 
Ha Ha Ha! Kama wataweza kumpata! Marekani wenyewe na teknologia wanahaha kuhusu snowdem. serikali ijufunze na jambo hili wasimkubalie kila mtu kuwa mtanzania halafu wanampa kazi nyeti!!!
Nakubaliana na wewe mkuu,hili la kumpa mtu uraia bila kuangalia historia yake limetufikisha hapa tulipo,wamfuatilie kama Edward snowden
 
Ilishatoke kigoma, akuwa kamanda wa polisi miaka flani ya nyuma alikuwa na asili ya Burudi na ilikuja julikana baada ya kifo chake na alizikwa huko kwao burudi.
 
Davis Mwamunyange[] Adaiwa kutoweka na nyaraka nyeti[/B]

OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha, huku akiacha wingu la mashaka kwamba, hatua yake hiyo inaweza ikawa imeambatana na kupotea pia kwa baadhi ya taarifa muhimu za kijeshi.

Taarifa za kutoweka kwa ofisa huyo mwenye cheo cha luteni kanali, zinalihusisha tukio hilo na hatua za makachero wa JWTZ kufuatilia nyendo zake na zililifikia gazeti la MTANZANIA Jumapili kwa mara ya kwanza katikati ya wiki hii.

Vyanzo vya habari vya kuaminika vinaeleza kuwa, tayari maofisa wa JWTZ wameshaanza kufuatilia kwa karibu tukio la kutoweka kwa ofisa huyo, ambalo pia limezusha hali ya sintofahamu kwamba, huenda akawa ameondoka na nyaraka nyeti za kijeshi.

Kabla ya kutoweka ofisa huyo, ambaye nyendo zake zimekuwa katika darubini kali za makachero wa JWTZ, alikuwa akifanya kazi katika kitengo cha teknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).

Hatua ya kutoweka kwa ofisa huyo wa juu wa JWTZ anayetajwa kwa jina moja la Selumbo, imekuja siku chache tu baada ya kuibuka kwa msuguano wa kauli baina ya Ikulu ya Dar es Salaam na ile ya Kigali.

Chanzo cha msigano huo wa maneno uliogeuka na kuwa mzozo wa kidiplomasia, ni ushauri uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Rais Paul Kagame wa kumtaka awe tayari kukaa meza moja na waasi wa kundi la FDLR wanaopigana Rwanda, kutoka mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Tayari msigano huo wa Kikwete na Kagame umeanza kutajwa na baadhi ya wadadisi wa mambo kuwa tishio kubwa la kwanza la ustawi, uimara na misingi ya mshikamano ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambayo mataifa hayo mawili ni wanachama wake.

Siku chache baada ya ushauri huo, Kagame alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Rwanda akimkejeli Kikwete, hata kufikia hatua ya kutoa kauli zenye mwelekeo wa vitisho dhidi yake.

Kauli hizo za Kagame zilisababisha Rais Kikwete, kupitia katika hotuba yake ya mwishoni mwa Julai, kujibu mashambulizi, huku akieleza bayana kushangazwa na kushtushwa na kejeli na matusi yaliyokuwa yakielekezwa kwake.

Akitumia maneno ya kidiplomasia ambayo yametafsiriwa na baadhi wa wachambuzi wa masuala ya diplomasia na sayansi ya siasa kuwa yanabeba ujumbe mzito, Rais Kikwete alisema alikuwa amesikia yote yanayosemwa kutoka Rwanda na alikuwa hakusudii kuyapuuza.

Kauli hiyo ya Kikwete ambayo ilitanguliwa na ile aliyoitoa siku chache mkoani Kagera ya kuwataka wahamiaji haramu kuondoka nchini, ilifuatiwa na matukio ya kuondoka nchini kwa Wanyarwanda wanaokadiriwa kuzidi 5,000.

Wakati hali ikiendelea kuwa ni ya mashaka na kutoaminiana kati ya Tanzania na Rwanda, katikati ya wiki hii, gazeti dada la MTANZANIA Jumatano, lilikuwa na habari kubwa yenye kichwa cha habari kisemacho; ‘Nini kinamtia Jeuri Kagame?' ambayo pamoja na mambo mengine, ilieleza namna watu wenye asili ya Rwanda walivyojipenyeza katika taasisi mbalimbali nyeti za umma.

Kuvuja kwa taarifa za kurejea Rwanda kwa maelfu ya wahamiaji haramu sambamba na hizi za sasa za kutoweka kwa ofisa wa juu wa JWTZ kunathibitisha kuhusu kuwapo kwa mwelekeo huo wa mambo.

Vyanzo vya habari vya gazeti hili, vinamtaja ofisa huyo kuwa ni mmoja wa makachero wenye asili ya Rwanda waliokuwa wakifanya kazi ndani ya JWTZ na ambao wanahofiwa kuwa watu wenye mawasiliano ya karibu na serikali ya Rwanda, kwa malengo ambayo bado hayajawekwa bayana.

"Ni kweli, huyo ofisa ametoweka jeshini na sijui sababu zilizo nyuma yake…hili suala la kuwa anakusanya taarifa za siri za jeshi letu na kuzipeleka Rwanda nadhani ziligunduliwa na watu wetu ambao wapo kwenye mfumo wa kijeshi," alidokeza mmoja wa watoa taarifa wa MTANZANIA Jumapili.

Msemaji wa JWTZ, Meja Erick Komba, alipoulizwa na gazeti hili kupitia simu yake ya kiganjani kuhusu ukweli wa taarifa hizo, alishindwa kukubali au kukataa, kwa kile alichoeleza kuwa suala hilo ni zito hivyo alikuwa akipaswa kuzungumza kwanza na viongozi wake kabla ya kulitolea taarifa.

Meja Komba alieleza kuwa, wanajeshi wanaotoroka ni wengi na wapo waliofungwa kwa kosa hilo la utoro.

"Jamani suala hili ni zito, naliogopa, nyinyi hamlioni kama ni zito? Sio kwamba sipendi wananchi wapate habari, suala hili tupeni muda kwanza tulifanyie ‘analysis', mbona wanajeshi wengi wanatoroka na hamripoti! Waliotoroka ni wengi, wangine wametorokea Rwanda na kwingine na wamefungwa.

"Ni lazima kwanza niongee na mabosi wangu ndiyo nizungumzie vizuri hili… njoo ofisini Jumatatu (Kesho)," alisema Meja Komba.

Sanjari na tukio hilo, taarifa zaidi zilizonaswa na gazeti hili zimedai kuwa sasa imebainika pasipo shaka kuhusu kuwapo kwa makachero wa Serikali ya Kigali wanaodaiwa kupandikizwa katika taasisi na idara nyeti za serikali kwa ajili ya kufanya ushushu kwa maslahi ya Rwanda.

Inadaiwa kuwa intelijensia ya JWTZ iliyo na mizizi ndani na nje ya nchi ilibaini mapema kuwapo kwa majasusi wa Kinyarwanda ndani ya mfumo wa dola na nyendo zao zimekuwa zikichunguzwa kwa muda mrefu na zilibainisha hali hiyo.

source: Mtanzania
 
Kwa kweli inaonekana namna ya kuajiri wafanyakazi wa sehemu nyeti hakuzingatii vigezo vinavyolinda maslahi na usalama wa nchi. Tuchukulie mfano wa nchi zinazoweka vigezo vikali vya kiintelijensia kama Israel, USA na Urusi. Kuna kitu kinaitwa security clearance levels mbali mbali ambazo zinafanya wafanyakazi kuchujwa kisawasawa na kupewa profile mbalimbali ambazo zinawaruhusu kuwa na access ya mambo nyeti kwa viwango mbali mbali - Suala la uraia wa Tanzania likiwa limezingatiwa.

Sio mtu anaomba urai alikuwa mkimbizi halafu in a shor time tunamwamini kwa sana. Wenzetu raia wa kuandikishwa wanachuykua muda kama miaka 20-25 kabla hawaanza ngazi ya mwanzo ya kuaminiwa. Hapa inabidi tujisahihishe vinginevyo tutaadhiriwa na vinchi ambavyo tunavipuuza kwa lakini kume vimeshakomba siri zito juuya ulinzi na usalama wa taifa letu.

Kuna kipindi pia ilivuma kwamba Malawi imepenyeza makachero wake kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
 
Inasemekana ni Wale ambao waliingia nchini kwenye miaka ya 1950's ambapo tulikuwa bado hatujapata Uhuru, kuna uwezekano mkubwa kuwa walizaliwa Tanzania, wakasomeshwa hapahapa na wamekulia hapahapa. Ni ngumu sana kuwatambua.
Hivi nyie mnashangaa nini..hapa tunavyobishana na kina koba,murutongore,ruzibiza,adolay et al...c ndio hao waliozaliwa huku wanakijua kiswahili fika ndo maana mm naishauri serikali yetu hivyo vitambulisho vya taifa viwe scrutinise very deep indeed...hivi vikagame viko vingi sana kwa kutumia title ya kabila jengine.

Yaani huyu fido dido kumtukana mh. rais wetu ametufanya tujiangalie sana na hii fukuza fukuza isiishie huko kigoma,kagera na geita ije hadi mijini na kwenye taasisi za serikali tuwakimbize hawa mamluki wote....yaani hao sio watu kabisa mie nawajua in and out..atakuchekea as if ni rafiki but huku nyuma anakumaliza mbaya sana...fukuza wote kwenye hii operation.
 

Nawe mkimbizi?
 
Kwa Tanzania anything is possible. Nyerere alisemaga pale Ikulu si pa kutalii au sehemu ya mchezo, ila sasa mpaka wabwia unga na ma bongo fleva wanapageuza kuwa kijiwe chao, tunategemea nini?
 
Hiii ni ushahid tosha rais tena muislaam mwez mtukufu unamkaribisha mtu kavaa hiv na unamkaribia pia ni hatar sana

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…