Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Naelewa sana Ila kumbuka sio kila mahali ni tech mkuuMkuu dunia ya leo haihitaji guerilla war
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa sana Ila kumbuka sio kila mahali ni tech mkuuMkuu dunia ya leo haihitaji guerilla war
Katika vikosi ambavyo vina mafunzo hatari,ya siraha na martial art,close combat,ni hawa jamaa,wanapiga hatari!Mzuka wanajamvi!
Mbwembwe tu
View attachment 1823536View attachment 1823538View attachment 1823540View attachment 1823542
Mzuka wanajamvi!
Mbwembwe tu
View attachment 1823536View attachment 1823538View attachment 1823540View attachment 1823542
@Maghayo naimani kabisa utakua haukijui vizuri hicho kikosi cha KMKM.Mbwembwe tu utakuta wanaangalia sana movie za Hollywood
Iga ufe
Ulitaka wavaeje na wako n Gaidi SabayaMbwembwe tu utakuta wanaangalia sana movie za Hollywood
Iga ufe
Sasa hapo wameiga nini? utoto buana!! ww unajua jamii ya watu wanaowekwa magerezani wewe? sasa unata ulinzi uwe wa kijinga?Mzuka wanajamvi!
Mbwembwe tu
View attachment 1823536View attachment 1823538View attachment 1823540View attachment 1823542
Moja kati ya vikundi hatari ktk Magereza hao jamaa wanapiga kuliko FFU, kaa nao mbali kabisaa.Mzuka wanajamvi!
Mbwembwe tu
View attachment 1823536View attachment 1823538View attachment 1823540View attachment 1823542
Butimba hakuna KMKM, Askari magereza wengi wenye mafunzo ya awali japo wana wahalifu wengi wa ugaidi.Kuna tukio flani lilotokea kwa askari wa gereza la butimba kuna jamaa alikuja kumuokoa mwenzao yani kama movie hao jamaa hawakufua dafu na alikua mmoja tu sema aligongwa na gari ndiyo wakafanikiwa kumdhibiti
Hao jamaa ukiingia kwenye 18 yao ndiyo utawa fahamu [emoji23][emoji23]
Ova
Wako fiti sanaHao jamaa wa magereza watu wanawachukulia poa wanakikosi chao maalumu ni hatari kuliko kawaida yaani hata ffu wakasome na wanajua kupiga ngumi sijawahi kuona, kuna jamaa aliwaletea ufyetele aligongwa kelebu moja akakojoa na kujamba hapohapo
Magereza hata uwe Mwakinyo ukishafungwa, magereza kama Barnaba anakupelekesha tu na huna cha kumfanyaHao jamaa ni noma. Ogopa sana mtu aliyekula kozi ya ku handle terrorist.
Nakuambia na uelewe kuwa mafunzo ya Magereza si lelemama.
Kuna wengine wamekwenda ng'ambo kujinoa kukuhandle wewe pindi utakapoingia kwenye 18 zao.
Mwisho wa siku alitwaliwa kimasihara kabisa.
NB: Tutende wema siku zote