Askari Magereza Tanzania wamezidi kuiga

Askari Magereza Tanzania wamezidi kuiga

Hao jamaa ni noma. Ogopa sana mtu aliyekula kozi ya ku handle terrorist.
Nakuambia na uelewe kuwa mafunzo ya Magereza si lelemama.
Kuna wengine wamekwenda ng'ambo kujinoa kukuhandle wewe pindi utakapoingia kwenye 18 zao.
Mafunzo magumu ni ya Jwtz, Magereza, polis, uhamiaji mafunzo yao mepesi ikifika saa nne usiku wanaenda kulala kwenye mabwen, wao mafunzo Yao hawa keshi kama Jwtz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafunzo magumu ni ya Jwtz, Magereza, polis, uhamiaji mafunzo yao mepesi ikifika saa nne usiku wanaenda kulala kwenye mabwen, wao mafunzo Yao hawa keshi kama Jwtz

Sent using Jamii Forums mobile app
Utofauti nadhani ni six weeks tu.
Magereza wanaongoza kwenye mabio jwtz kwenye mikesha.
Ile mikesha haina faida zaidi ya kuharibu akili na kukuondolea woga 100%.
Nimekesha tena si six weeks ni 8 weeks, wengi sana walidata.
Sema jeshi ni wachawi. Mtaani ukikesha week moja tu unakufa
 
Utofauti nadhani ni six weeks tu.
Magereza wanaongoza kwenye mabio jwtz kwenye mikesha.
Ile mikesha haina faida zaidi ya kuharibu akili na kukuondolea woga 100%.
Nimekesha tena si six weeks ni 8 weeks, wengi sana walidata.
Sema jeshi ni wachawi. Mtaani ukikesha week moja tu unakufa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba wachawi....uchawi ni chenja tu
 
Wale jamaa ni wachawi sana.
Na huwapa dawa za kiuchawi Askari wakienda mission. Mnawekewa kwenye misosi au kwenye...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....kuna kaukweli lakini [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Katika vikosi ambavyo vina mafunzo hatari,ya siraha na martial art,close combat,ni hawa jamaa,wanapiga hatari!
Kuna jamaa mmoja mcheza karate hatari pande za Dar,alimtoboa macho Raia,buguruni nzima alikuwa anaogopwa,alipofungwa,aliperekwa segerea akawa kiburi,akaperekwa Isanga Dodoma,yaliyomkuta huko,leo hii amekuwa kama zezeta,mraiiini kama mrenda.
Hawa jamaa,hata Vijana jeuri wa Mabakamabaka huwa wanajishauri kwanza kabla hawajalianzisha tifu na hawa wajomba.
Yule jamaa alikuwa mtata kumbe hadi magereza 😅😅😅 ila wakamlainisha
 
Waulize wakina halima mdee kipindi kile walionja kipigo cha KM ,komzi ni zaidi ya nyundo

sent from HUAWEI
Konzi kama nyundo mammae 😅😅😅 halafu unategemea mjuba niandamane 😅 wacha tulipe tozo tu!
 
Kwani "PGO" yao inasemaje?
 
Hapo waliposimama Wana tofauti gani na Hamza kwani au ndo kwenye ngumi tu
 
Katika vikosi ambavyo vina mafunzo hatari,ya siraha na martial art,close combat,ni hawa jamaa,wanapiga hatari!
Kuna jamaa mmoja mcheza karate hatari pande za Dar,alimtoboa macho Raia,buguruni nzima alikuwa anaogopwa,alipofungwa,aliperekwa segerea akawa kiburi,akaperekwa Isanga Dodoma,yaliyomkuta huko,leo hii amekuwa kama zezeta,mraiiini kama mrenda.
Hawa jamaa,hata Vijana jeuri wa Mabakamabaka huwa wanajishauri kwanza kabla hawajalianzisha tifu na hawa wajomba.
Alikua anaitwa scorpion 🦂
 
Back
Top Bottom