Mafunzo magumu ni ya Jwtz, Magereza, polis, uhamiaji mafunzo yao mepesi ikifika saa nne usiku wanaenda kulala kwenye mabwen, wao mafunzo Yao hawa keshi kama JwtzHao jamaa ni noma. Ogopa sana mtu aliyekula kozi ya ku handle terrorist.
Nakuambia na uelewe kuwa mafunzo ya Magereza si lelemama.
Kuna wengine wamekwenda ng'ambo kujinoa kukuhandle wewe pindi utakapoingia kwenye 18 zao.
Utofauti nadhani ni six weeks tu.Mafunzo magumu ni ya Jwtz, Magereza, polis, uhamiaji mafunzo yao mepesi ikifika saa nne usiku wanaenda kulala kwenye mabwen, wao mafunzo Yao hawa keshi kama Jwtz
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio KMKM ni KMKGMLabda ni KMKM ( FFU ya Magereza ) hao.
Sio KMKM ni KMKGMButimba hakuna KMKM, Askari magereza wengi wenye mafunzo ya awali japo wana wahalifu wengi wa ugaidi.
Swaga za kuuzia sura tu,hazina mashiko,hawana weredi wowote,kwanza wengi wao Wana historia hafifu ya Elimu,shuleni walikuwa vilaza tu,Mzuka wanajamvi!
Mbwembwe tu
View attachment 1823536View attachment 1823538View attachment 1823540View attachment 1823542
Utofauti nadhani ni six weeks tu.
Magereza wanaongoza kwenye mabio jwtz kwenye mikesha.
Ile mikesha haina faida zaidi ya kuharibu akili na kukuondolea woga 100%.
Nimekesha tena si six weeks ni 8 weeks, wengi sana walidata.
Sema jeshi ni wachawi. Mtaani ukikesha week moja tu unakufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba wachawi....uchawi ni chenja tu
Kaziiimbe mtaani hizo chenja huku ukikesha ndipo utajua kuwa wale jamaa ni wanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....kuna kaukweli lakini [emoji119][emoji119][emoji119]
Yule jamaa alikuwa mtata kumbe hadi magereza π π π ila wakamlainishaKatika vikosi ambavyo vina mafunzo hatari,ya siraha na martial art,close combat,ni hawa jamaa,wanapiga hatari!
Kuna jamaa mmoja mcheza karate hatari pande za Dar,alimtoboa macho Raia,buguruni nzima alikuwa anaogopwa,alipofungwa,aliperekwa segerea akawa kiburi,akaperekwa Isanga Dodoma,yaliyomkuta huko,leo hii amekuwa kama zezeta,mraiiini kama mrenda.
Hawa jamaa,hata Vijana jeuri wa Mabakamabaka huwa wanajishauri kwanza kabla hawajalianzisha tifu na hawa wajomba.
Konzi kama nyundo mammae π π π halafu unategemea mjuba niandamane π wacha tulipe tozo tu!Waulize wakina halima mdee kipindi kile walionja kipigo cha KM ,komzi ni zaidi ya nyundo
sent from HUAWEI
Kulinda magaidi siyo Kazi rahisi.Labda ni KMKM ( FFU ya Magereza ) hao.
Hawanaga unyanyasaji wa kiduwanzi kama wa akina PGO
Alikua anaitwa scorpion π¦Katika vikosi ambavyo vina mafunzo hatari,ya siraha na martial art,close combat,ni hawa jamaa,wanapiga hatari!
Kuna jamaa mmoja mcheza karate hatari pande za Dar,alimtoboa macho Raia,buguruni nzima alikuwa anaogopwa,alipofungwa,aliperekwa segerea akawa kiburi,akaperekwa Isanga Dodoma,yaliyomkuta huko,leo hii amekuwa kama zezeta,mraiiini kama mrenda.
Hawa jamaa,hata Vijana jeuri wa Mabakamabaka huwa wanajishauri kwanza kabla hawajalianzisha tifu na hawa wajomba.