Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafuatilia taarifa ya habari lakini?Upuuzi mtupu,wanajua wanafanya hayo mavurugu yote mpk kwenda ikulu kuzingua sababu wanajua nchi yao mambo ya rule of law yanazingatiwa na hakuna kitu police watawafanya.
Waambie waafrica walioko lockdown huku Africa nao wajifanye wamedata na kuanza kuvamia maduka ya watu,kusogelea ikulu uone watakavyokufa kwa kichapo kama kuku vile mpk vifaru vitawapitia juu.
Hapana,nafuatilia habari za taarifa.Unafuatilia taarifa ya habari lakini?