Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
sio mambo yaisheNasikia Mkewe alilipwa milion 300 mambo yaishe
Parole?Hebu ñjoo hapa central police station kesho J3 saa3 asubuh, na taarrifa zao
tuchek kwa pamoja in details , kama hao jamaa wapo kwenye parole ama la....
Kwa hiyo swala ilikuwa ni la bahati mbaya?. Kwamba kombe alifanana na jambazi kimuonekano mpaka gari?Nakumbuka walitoka.Dar na RPC kipindi kile alikua Alfred GEWE, niliona picha ya marehemu Kombe na picha ya jambazi waliemfananisha na Kombe White, yani wamefanana Sana Sana, inaweza walifananisha naye , Na gari Nissani safari ya muhindi iliyoibiwa ilifanana pia na gari aliyokua anaendesha marehemu Kombe. ila sijajua kesi iliishia wapi.
Kumbe cha juzi tu. Halafu zikija habari za Palestina unajifanya mjuajiDuh aisee muda anauliwa ndo nazaliwa zaliwa hivyo sina nachojua..
Sio JK ni Nkapa.JK alijua alichikifanya!
Cha juzi lakini toka niko primary dw swahili mchana lazima nisikie hamas walipuliwa gaza au Israel yashambuliwaKumbe cha juzi tu. Halafu zikija habari za Palestina unajifanya mjuaji
Bora alikufa usiku bila kulazwa popoteSio JK ni Nkapa.
Yeah mkuu ila kuna utaratibu wa kisheria kwa askari kutumia deadly force, na sheria mama ni pale askari anapoona maisha ya raia au ya kwake yapo hatarini, suspect anapo surrender kwa kuonyesha mikono yake (means hana silaha mkononi)au suspect anapokimbia away from the crime scene bila ya kutumia silaha,police HARUHUSIWI kutumia deadly force, mkurugenzi wa tiss umfananishe na suspect huu ni uongo mkubwa, yule aliuliwa kimakusudi kabisa, ila wote tutakufa na history itaamua, I feel sorry kwa watoto wake, watoto hawa walilelewa kiupendo na respect kubwa, kipindi nipo Boi pale white sands hotel nimeihudumia sana family hii hasa siku kama ya leo sunday, walikua regular pale kila jumapili wanakuja,very very down to earth family ingawa ilikua na madaraka makubwa mno, including kuamrisha mtu auawe!Nakumbuka walitoka.Dar na RPC kipindi kile alikua Alfred GEWE, niliona picha ya marehemu Kombe na picha ya jambazi waliemfananisha na Kombe White, yani wamefanana Sana Sana, inaweza walifananisha naye , Na gari Nissani safari ya muhindi iliyoibiwa ilifanana pia na gari aliyokua anaendesha marehemu Kombe. ila sijajua kesi iliishia wapi.
"Walikuwa na madaraka makubwa mno including kumarisha mtu auwawe" how?Yeah mkuu ila kuna utaratibu wa kisheria kwa askari kutumia deadly force, na sheria mama ni pale askari anapoona maisha ya raia au ya kwake yapo hatarini, suspect anapo surrender kwa kuonyesha mikono yake (means hana silaha mkononi)au suspect anapokimbia away from the crime scene bila ya kutumia silaha,police HARUHUSIWI kutumia deadly force, mkurugenzi wa tiss umfananishe na suspect huu ni uongo mkubwa, yule aliuliwa kimakusudi kabisa, ila wote tutakufa na history itaamua, I feel sorry kwa watoto wake, watoto hawa walilelewa kiupendo na respect kubwa, kipindi nipo Boi pale white sands hotel nimeihudumia sana family hii hasa siku kama ya leo sunday, walikua regular pale kila jumapili wanakuja,very very down to earth family ingawa ilikua na madaraka makubwa mno, including kuamrisha mtu auawe!
Mkuu peno hasegawa, wengi humu tunajuana ki jeiefu jeiefu lakini hatujuani background, mimi kwanza ni mwanafamilia ya wale "jamaa zetu" kwa baba na mama!, na baada ya JKT, niliunganisha direct JWTZ, ndipo nikaja kwenda TSJ!, hivyo mimi licha ya kuwa ni mwandishi wa habari wa kujitegemea na mtangazaji wa kujitegemea, pia ni mjeda!.Kwa upendo na unyenyekevu Ninaomba mwenye taarifa sahihi kuhusu utumishi wa Askari hawa aziweke hapa Jf.
Askari hawa walihusika kumuua aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa usalama wa Taifa mstaafu.
Pascal Mayalla PhD!!🤝👍Kwenye majeshi yote matatu, yaani JWTZ, Polisi na wale "jamaa zetu", huwa wana watu wanaitwa,snipers, hawa ni sharp shooters ambao they can never miss a target, kwa jeshi la magereza, uhamiaji na Zimamoto sijui pia kama nao wana snipers.
Kazi ya hawa snipers ni moja tuu, a smooth elimination!, hii hufanyika kwenye operations zinazoitwa covert, ila ili hii elimination ifanyike lazima Amiri Jeshi Mkuu, aithinishe ile covert operation.
Ila ikitokea a very dangerous situations ambapo kusubiri authorization ya elimination from competent authorities, will warrants more security risks, then Mkuu wa operation hiyo anaweza kutoa elimination order ma snipers wakatimiza elimination, kisha kuandika maelezo kwe report kwa nini he authorized hiyo elimination.
Majeshi yote ni territorial, yana kitu kinachoitwa territorial jurisdiction, askari wowote hawezi kuvuka territory yake bila kitu kinachoitwa movement order!, hivyo polisi wa Dar hawezi kwenda Moshi bila idhini, ila kwenye covert operation hakuna cha territory ni unakwenda popote, and sometimes kwa askari wa mipakani sometimes unavuka border kufanya tikio nchi jirani ilimradi ulikamilishe na kurejea bila kujulikana!.
Eliminations hufanyika kunapotokea mtu yoyote anapokuwa ni a threat to national security hivyo anapaswa kuondoshwa ASAP!.
Hii elimination hufanywa kwa watu wa aina mbili
1. Outsiders na huitwa outside job
2. Insiders na huitwa an inside job
Outsiders ni watu wa nje ya mfumo rasmi
Watu hawa outside elimination ni watu kama
1. Majambazi ya hatari, ambayo wamefanya matukio mengi ya ujambazi na kila yakiwekewa mtego, yanapiga tukio na kupotea hiyo yanakuwa hayakamatiki hivyo picha zao zinakuwa seculeted kwenye security corridors zote kwa mtu huyu akionekana popote, msijaribu kumkamata, do him away!. Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
2. Mtu akipata wazimu akashika silaha na kuanza ku shoot randomly, kum contain mtu kama huyu, snipers wanatumwa kumuwahi kabla hajaleta madhara zaidi, kama lile tukio la ubalozi wa Ufaransa na Hamza Hassan
View: https://www.youtube.com/live/u7H-rawlsE0?si=vKQZ0Q6FOKx2Y8Ef3. Wanasiasa ambao the status quo inawaona wakiachwa, wata pose risks kwa the status quo, hivyo they have to be eliminated, hivi ndio kama ilivyowatokea wanasiasa mbalimbali wa upinzani kote duniani, yule Paulo Mrefu, huwa anawafuta hadi wale walioikimbia nchi yake, anawatumia watu kumalizana nao huko huko walipo. Mfano mzuri ni tukio la shambulio la Lissu Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
3. Waandishi wa habari za uchunguzi ambao wanaibua madudu ya ajabu ya serikali hivyo kupose risks kwa status quo kama Azory Gwanda na Ben Saanane Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
4. Wanaharakati hatari kwa status quo kama Mchungaji Mtikila. Baada ya kushinda ile kesi ya mgombea binafsi, alipanga kufungua shauri jingine kukazia ile hukumu, they did him away in ana accident look a like!.
Kwa inside jobs
1. Askari wakiwa vitani, askari anayewasaliti, they do him away ASAP
2. Dissidents wa ndani ya chama, watu powerful ndani ya chama au serikali halafu they have gone astray, they do them away kama Horace Kolimba,
3. Wale jamaa zetu, wakitumwa a very dangerous mission, wakiisha ifanikisha, ili to seal the loopholes, Idara inaweza kuamua to silence them by doing them away!.
4. Powerful people ambao wame fall out of grace of the status quo, mfano Imran Kombe, kwanza they'll try zile ordinary means kama anthrax, polonium or accident look a like, ikishindikana ndio unatumia snipers.
Snipers kama wa Imran Kombe, ili kuepusha soo, unawakamata, unawashitaki ili serikali iepuke kuchafuka, Mahakama inawahukumu, wanaonekana wamekwenda jela, halafu hakuna gereza limewapokea, wanapelekwa uhamishoni kwa kutumia kitu kama witness protection strategy with new names new countries, new jobs na kuendelea na maisha huko, aliko kifungo kikiisha anarejea nyumbani, majina yao hayaondolewi kwenye payroll.
P.
Kwani wako hai?Kwa upendo na unyenyekevu Ninaomba mwenye taarifa sahihi kuhusu utumishi wa Askari hawa aziweke hapa Jf.
Askari hawa walihusika kumuua aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa usalama wa Taifa mstaafu.
Umeua mzee!Kwenye majeshi yote matatu, yaani JWTZ, Polisi na wale "jamaa zetu", huwa wana watu wanaitwa,snipers, hawa ni sharp shooters ambao they can never miss a target, kwa jeshi la magereza, uhamiaji na Zimamoto sijui pia kama nao wana snipers.
Kazi ya hawa snipers ni moja tuu, a smooth elimination!, hii hufanyika kwenye operations zinazoitwa covert, ila ili hii elimination ifanyike lazima Amiri Jeshi Mkuu, aithinishe ile covert operation.
Ila ikitokea a very dangerous situations ambapo kusubiri authorization ya elimination from competent authorities, will warrants more security risks, then Mkuu wa operation hiyo anaweza kutoa elimination order ma snipers wakatimiza elimination, kisha kuandika maelezo kwe report kwa nini he authorized hiyo elimination.
Majeshi yote ni territorial, yana kitu kinachoitwa territorial jurisdiction, askari wowote hawezi kuvuka territory yake bila kitu kinachoitwa movement order!, hivyo polisi wa Dar hawezi kwenda Moshi bila idhini, ila kwenye covert operation hakuna cha territory ni unakwenda popote, and sometimes kwa askari wa mipakani sometimes unavuka border kufanya tikio nchi jirani ilimradi ulikamilishe na kurejea bila kujulikana!.
Eliminations hufanyika kunapotokea mtu yoyote anapokuwa ni a threat to national security hivyo anapaswa kuondoshwa ASAP!.
Hii elimination hufanywa kwa watu wa aina mbili
1. Outsiders na huitwa outside job
2. Insiders na huitwa an inside job
Outsiders ni watu wa nje ya mfumo rasmi
Watu hawa outside elimination ni watu kama
1. Majambazi ya hatari, ambayo wamefanya matukio mengi ya ujambazi na kila yakiwekewa mtego, yanapiga tukio na kupotea hiyo yanakuwa hayakamatiki hivyo picha zao zinakuwa seculeted kwenye security corridors zote kwa mtu huyu akionekana popote, msijaribu kumkamata, do him away!. Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
2. Mtu akipata wazimu akashika silaha na kuanza ku shoot randomly, kum contain mtu kama huyu, snipers wanatumwa kumuwahi kabla hajaleta madhara zaidi, kama lile tukio la ubalozi wa Ufaransa na Hamza Hassan
View: https://www.youtube.com/live/u7H-rawlsE0?si=vKQZ0Q6FOKx2Y8Ef3. Wanasiasa ambao the status quo inawaona wakiachwa, wata pose risks kwa the status quo, hivyo they have to be eliminated, hivi ndio kama ilivyowatokea wanasiasa mbalimbali wa upinzani kote duniani, yule Paulo Mrefu, huwa anawafuta hadi wale walioikimbia nchi yake, anawatumia watu kumalizana nao huko huko walipo. Mfano mzuri ni tukio la shambulio la Lissu Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
3. Waandishi wa habari za uchunguzi ambao wanaibua madudu ya ajabu ya serikali hivyo kupose risks kwa status quo kama Azory Gwanda na Ben Saanane Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
4. Wanaharakati hatari kwa status quo kama Mchungaji Mtikila. Baada ya kushinda ile kesi ya mgombea binafsi, alipanga kufungua shauri jingine kukazia ile hukumu, they did him away in ana accident look a like!.
Kwa inside jobs
1. Askari wakiwa vitani, askari anayewasaliti, they do him away ASAP
2. Dissidents wa ndani ya chama, watu powerful ndani ya chama au serikali halafu they have gone astray, they do them away kama Horace Kolimba,
3. Wale jamaa zetu, wakitumwa a very dangerous mission, wakiisha ifanikisha, ili to seal the loopholes, Idara inaweza kuamua to silence them by doing them away!.
4. Powerful people ambao wame fall out of grace of the status quo, mfano Imran Kombe, kwanza they'll try zile ordinary means kama anthrax, polonium or accident look a like, ikishindikana ndio unatumia snipers.
Snipers kama wa Imran Kombe, ili kuepusha soo, unawakamata, unawashitaki ili serikali iepuke kuchafuka, Mahakama inawahukumu, wanaonekana wamekwenda jela, halafu hakuna gereza limewapokea, wanapelekwa uhamishoni kwa kutumia kitu kama witness protection strategy with new names new countries, new jobs na kuendelea na maisha huko, aliko kifungo kikiisha anarejea nyumbani, majina yao hayaondolewi kwenye payroll.
P.
Mimi sio wa Mbweni, mimi ni wa JWTZUmeua mzee!
Hilo somo lazima linafundishwa pale Mbweni!
Gazeti la Mwananchi waliandika vizuri sn hii story na story imeisha jana.Nakumbuka walitoka.Dar na RPC kipindi kile alikua Alfred GEWE, niliona picha ya marehemu Kombe na picha ya jambazi waliemfananisha na Kombe White, yani wamefanana Sana Sana, inaweza walifananisha naye , Na gari Nissani safari ya muhindi iliyoibiwa ilifanana pia na gari aliyokua anaendesha marehemu Kombe. ila sijajua kesi iliishia wapi.
Amka usingizini wewe..!yaliyopita si ndwele
mavi ya kale hayanuki
vifo na uhai ni kudura za munyanzi mngu
kwa akili ya Mwafrika hayo mambo ni hadithi za zamani mno, very very inconsequential.... hatuna upeo wa kutathmini umuhimu wa kukataa haya mambo yapite pite tu... vichwa vyetu havijakuzwa hivyo.... tuna hadithi mbichi mbichi za Makonda na wimbo tata wa Zuchu, kwa nini tuhangaike na habari za nani aliamuru Mkuu wa Usalama wa Taifa auliwe miaka 70 iliyopita ?
Mkuu peno hasegawa, wengi humu tunajuana ki jeiefu jeiefu lakini hatujuani background, mimi kwanza ni mwanafamilia ya wale "jamaa zetu" kwa baba na mama!, na baada ya JKT, niliunganisha direct JWTZ, ndipo nikaja kwenda TSJ!, hivyo mimi licha ya kuwa ni mwandishi wa habari wa kujitegemea na mtangazaji wa kujitegemea, pia ni mjeda!.
Kwenye majeshi yote matatu, yaani JWTZ, Polisi na wale "jamaa zetu", huwa wana watu wanaitwa,snipers, hawa ni sharp shooters ambao they can never miss a target, kwa jeshi la magereza, uhamiaji na Zimamoto sijui pia kama nao wana snipers.
Kazi ya hawa snipers ni moja tuu, a smooth elimination!, hii hufanyika kwenye operations zao zinazoitwa ama overt ama covert, ila ili hii elimination ifanyike lazima Amiri Jeshi Mkuu, aithinishe ile covert operation.
Ila ikitokea a very dangerous situations ambapo kusubiri authorization ya elimination from competent authorities, will warrants more security risks, then Mkuu wa operation hiyo anaweza kutoa elimination order ma snipers wakatimiza elimination, kisha kuandika maelezo kwe report kwa nini he authorized hiyo elimination.
Majeshi yote ni territorial, yana kitu kinachoitwa territorial jurisdiction, askari wowote hawezi kuvuka territory yake bila kitu kinachoitwa movement order!, hivyo polisi wa Dar hawezi kwenda Moshi bila idhini, ila kwenye covert operation hakuna cha territory ni unakwenda popote, and sometimes kwa askari wa mipakani sometimes unavuka border kufanya tikio nchi jirani ilimradi ulikamilishe na kurejea bila kujulikana!.
Eliminations hufanyika kunapotokea mtu yoyote anapokuwa ni a threat to national security hivyo anapaswa kuondoshwa ASAP!.
Hii elimination hufanywa kwa watu wa aina mbili
1. Outsiders na huitwa outside job
2. Insiders na huitwa an inside job
Outsiders ni watu wa nje ya mfumo rasmi
Watu hawa outside elimination ni watu kama
1. Majambazi ya hatari, ambayo wamefanya matukio mengi ya ujambazi na kila yakiwekewa mtego, yanapiga tukio na kupotea hiyo yanakuwa hayakamatiki hivyo picha zao zinakuwa seculeted kwenye security corridors zote kwa mtu huyu akionekana popote, msijaribu kumkamata, do him away!. Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
2. Mtu akipata wazimu akashika silaha na kuanza ku shoot randomly, kum contain mtu kama huyu, snipers wanatumwa kumuwahi kabla hajaleta madhara zaidi, kama lile tukio la ubalozi wa Ufaransa na Hamza Hassan
View: https://www.youtube.com/live/u7H-rawlsE0?si=vKQZ0Q6FOKx2Y8Ef hii ilikuwa ni overt operations, operations nyingi za hawa jamaa ni covert operations.
3. Wanasiasa ambao the status quo inawaona wakiachwa, wata pose risks kwa the status quo, hivyo they have to be eliminated, hivi ndio kama ilivyowatokea wanasiasa mbalimbali wa upinzani kote duniani, yule Paulo Mrefu, huwa anawafuta hadi wale walioikimbia nchi yake, anawatumia watu kumalizana nao huko huko walipo. Mfano mzuri ni tukio la shambulio la Lissu Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
3. Waandishi wa habari za uchunguzi ambao wanaibua madudu ya ajabu ya serikali hivyo kupose risks kwa status quo kama Azory Gwanda na Ben Saanane Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
4. Wanaharakati hatari kwa status quo kama Mchungaji Mtikila. Baada ya kushinda ile kesi ya mgombea binafsi, alipanga kufungua shauri jingine kukazia ile hukumu, they did him away in ana accident look a like!.
Kwa inside jobs
1. Askari wakiwa vitani, askari anayewasaliti, they do him away ASAP
2. Dissidents wa ndani ya chama, watu powerful ndani ya chama au serikali halafu they have gone astray, they do them away kama Horace Kolimba,
3. Wale jamaa zetu, wakitumwa a very dangerous mission, wakiisha ifanikisha, ili to seal the loopholes, Idara inaweza kuamua to silence them by doing them away!.
4. Powerful people ambao wame fall out of grace of the status quo, mfano Imran Kombe, kwanza they'll try zile ordinary means kama anthrax, polonium or accident look a like, ikishindikana ndio unatumia snipers.
Snipers kama wa Imran Kombe, ili kuepusha soo, unawakamata, unawashitaki ili serikali iepuke kuchafuka, Mahakama inawahukumu, wanaonekana wamekwenda jela, halafu hakuna gereza limewapokea, wanapelekwa uhamishoni kwa kutumia kitu kama witness protection strategy with new names new countries, new jobs na kuendelea na maisha huko, aliko kifungo kikiisha anarejea nyumbani, majina yao hayaondolewi kwenye payroll.
P.
Halafu leo anajifanya ni mtu wa swala 5,hawa wote wenye damu kwenye mikono yao ipo siku history italeta ukweli, mauaji ya pale Mwembechai msikitini, mauaji ya watanzania hasa kutoka pemba waliokua wanakimbilia mombasa, wauaji wa Gwanda, Saanane na wahusika wote wa vile viroba vya maiti pale CoCo beachJK alijua alichikifanya!