masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Hata akiwa afisa ,haachi kuwa askari.Huyu sio askari ni afisa mstaafu.
Alikuwa afisa mwandamizi
Kama aliua basi damu inamnukia.Huyo nasikia aliua sana kipindi chake ,ilo jina la sabasita means ni NJUGU hizo alizokuwa anamiminia watu.
Ni mipango madhubuti kukwep a wanafamilia kuanza kuwaza waanzie wapi na michango.Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.
Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya...
7676 ni namba yake ya jeshi.Huyo nasikia aliua sana kipindi chake ,ilo jina la sabasita means ni NJUGU hizo alizokuwa anamiminia watu.
Michango itakuwepo tuNi mipqngo mathubuti kukwep a wanafamilia kuanza kuwaza waanzie wapi na michango.
Ametumia haki yake na kwa kuwa binadamu iko siku hatujui yeye amejiwekea vizuri likitokea la kutokea kila.kitu kiko sawia.
Pesa zenu za michango kaeni nazo.
Aungwe mkono na pia wewe unaweza kulianzisha.
Mkuu masopakyindi, Saba Sita yuko sahihi haswaaa!Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.
Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya...
Mara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba MorogoroView attachment 2925538View attachment 2925537
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti...
Kifo kipo lakini sio cha kuchongea jeneza sababu mtu hujui utafia wapi. Kuna wale MV Bukoba meli ilizama wengine hadi leo hawajapatikana, kuna walioungua moto malory ya mafuta yalipolipuka miili ikaungua kiasi mtu.hatambuliwi, Ndege ya Malyasia ilipotea na abiria wote hadi leo miili yao haijawahi kupatikana irudi kuzikwa kwaoKifo Mkuu Β³masopakyindi, Saba Sita yuko sahihi haswaaa!
Sema tulio wengi tunapenda kujidanganya kwamba duniani tupotupo sana...
Karma is a bitch.Mkuu masopakyindi, Saba Sita yuko sahihi haswaaa!
Sema tulio wengi tunapenda kujidanganya kwamba duniani tupotupo sana!
Ndiyo maana baadhi yetu wakipata nafasi wanapora mali za uma.
Na kujilimbikizia mapesa mengi utadhani wana miaka 5000 hapa duniani. Huku wakiwaacha wenzao hohe hahe mzumgu wa leri.
Saba sita ametoa funzo kubwa sana, kwamba; sisi binadamu humu duniani tunapita upesi na kutoweka!
Tumche Mwenyezi Mungu ndugu yangu.
Hakuna maisha hapa.
Alimuua Alizona kule morogoro. Uliza wanao mfahamu. Jinga wewe7676 ni namba yake ya jeshi.
Wala hakuwa mbaya kama mnavyo fikiria. Ila tangu ujana wake ni mtu wa masifa. Ali anza kazi Arusha mjini.
nakumbuka kipindi kile pale morogoro mji ulisimama saba sita akipita!Mara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba Morogoro
Sasa kila mtu akianza kujichongea jeneza na kujichimbia kaburi, tutakuwa jamii ya aina gani?Mkuu masopakyindi, Saba Sita yuko sahihi haswaaa!
Sema tulio wengi tunapenda kujidanganya kwamba duniani tupotupo sana!
Ndiyo maana baadhi yetu wakipata nafasi wanapora mali za uma.
Na kujilimbikizia mapesa mengi utadhani wana miaka 5000 hapa duniani. Huku wakiwaacha wenzao hohe hahe mzumgu wa leri.
Saba sita ametoa funzo kubwa sana, kwamba; sisi binadamu humu duniani tunapita upesi na kutoweka!
Tumche Mwenyezi Mungu ndugu yangu.
Hakuna maisha hapa.
Huyo mtu kama alikuwa hana hatia, atamsumbua sana.Alimuua Alizona kule morogoro. Uliza wanao mfahamu. Jinga wewe
Askari anaachaje kuwa askari akipate cheo?Huyu sio askari ni afisa mstaafu.
Alikuwa afisa mwandamizi