Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Huyo mtu kama alikuwa hana hatia, atamsumbua sana.
Hata Cain alipomuua Abel, damu ya Abel ilimlilia Mungu hadi Mungu akaamka na kumuuliza Cain umemfanya nini nduguyo, na yuko wapi?
Atakosaje damu za majambazi.
Sema damu ya mchawi na jambazi hazina laana Wala mikosi
 
Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili
Acha kuongozwa na hisia mkuu ,
Acha kuhukumu pia
Huwezi jua ametubu lini, kusubiri kifo kwa hamu kwangu Mimi ni dalili ya kuwa na amani na kuridhika na mambo ya Dunia, ila kujiua ni dalili ya kukosa amani Duniani na kuona maisha ni kama mzigo,.

Kuogopa kifo ni dalili ya kutokuridhika na mambo ya Dunia , yote yanaenda na Muda na matukio ya kimaisha, una miaka 65 Bado unaogopa kufa ! Kwa Nini usianze kujiandaa kwa kusali na kutenda mema! Maana ukizidi San ni miaka 16 mbele, hiyo mingine ni ziada na usumbufu


Zaburi 90:10
[10]Siku za miaka yetu ni miaka sabini,
Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini;
Na kiburi chake ni taabu na ubatili,
Maana chapita upesi tukatokomea mara.
The days of our years are threescore years and ten; and if by reason of strength they be fourscore years, yet is their strength labour and sorrow; for it is soon cut off, and we fly away.
 
Inashauriwa hata wosia wako unaandaa vizuri mapema ili siku ukifa waandaaji wasipate tabu
 
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
What if akapotea kama Ben saanane hilo kabur na jeneza ndugu zake wanapeleka wapi.
 
Acha kuongozwa na hisia mkuu ,
Acha kuhukumu pia
Huwezi jua ametubu lini, kusubiri kifo kwa hamu kwangu Mimi ni dalili ya kuwa na amani na kuridhika na mambo ya Dunia, ila kujiua ni dalili ya kukosa amani Duniani na kuona maisha ni kama mzigo,.

Kuogopa kifo ni dalili ya kutokuridhika na mambo ya Dunia , yote yanaenda na Muda na matukio ya kimaisha, una miaka 65 Bado unaogopa kufa ! Kwa Nini usianze kujiandaa kwa kusali na kutenda mema! Maana ukizidi San ni miaka 16 mbele, hiyo mingine ni ziada na usumbufu


Zaburi 90:10
[10]Siku za miaka yetu ni miaka sabini,
Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini;
Na kiburi chake ni taabu na ubatili,
Maana chapita upesi tukatokomea mara.
The days of our years are threescore years and ten; and if by reason of strength they be fourscore years, yet is their strength labour and sorrow; for it is soon cut off, and we fly away.
Mkuu hisia ni sith sense, haiongozwi na rational thinking.
Wengine wanasema machale yanamcheza mtu.
Huyu ndugu yetu Saba Sita macahe yake yanamfukuzia aingie ardhini ajifiche kwa mauti, ili wanaomtafuta na hawaonekani wasimpate.
 
Mkuu hisia ni sith sense, haiongozwi na rational thinking.
Wengine wanasema machale yanamcheza mtu.
Huyu ndugu yetu Saba Sita macahe yake yanamfukuzia aingie ardhini ajifiche kwa mauti, ili wanaomtafuta na hawaonekani wasimpate.
Ni kina nani wanaomtafuta?
 
Alishaua sana watu pindi ni askari polisi mkoa wa morogoro..sasa damu alizozimwaga zinamlilia.mmsishangae hata akajiua ndio hali iwatokeao ma veterans wa jeshi...huwa wanapata ugonjwa wa kisaikolojia uitwao PTSD (post traumatic stress disorder)...ni ugonjwa wa akili ambapo mtu hushindwa kurejea katika hali ya kawaida mara baada ya kukumbana au kushuhudia matukio ya kutisha (kama umwagaji damu,mauaji n.k).

Hili swala huwa halipaziwi sana sauti hapa TZ ila lipo na huwaiumba sana maaskari na wanajeshi wastaafu...akili zao huwa hazikai sawa...muda wote huwa na wasiwasi.
Naona bado ya kustaafu kwasababu wanakuwa idle ndio wanapatwa na mawazo ya mambo ya nyuma. Ambapo mtu akikosa kazi huwa automatically anakuwa na mawazo mawazo hasa ya majuto
 
Back
Top Bottom