Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
Alishaua sana watu pindi ni askari polisi mkoa wa morogoro..sasa damu alizozimwaga zinamlilia.mmsishangae hata akajiua ndio hali iwatokeao ma veterans wa jeshi...huwa wanapata ugonjwa wa kisaikolojia uitwao PTSD (post traumatic stress disorder)...ni ugonjwa wa akili ambapo mtu hushindwa kurejea katika hali ya kawaida mara baada ya kukumbana au kushuhudia matukio ya kutisha (kama umwagaji damu,mauaji n.k).

Hili swala huwa halipaziwi sana sauti hapa TZ ila lipo na huwaiumba sana maaskari na wanajeshi wastaafu...akili zao huwa hazikai sawa...muda wote huwa na wasiwasi.
 
Basi damu za watu zitakuwa zinamsumbua, maana kastaafu mwaka jana. Miaka 61 sio mingi sana, badala ya kufanya maendeleo, yeye anawaza mambo ya mazishi tu. Kina Kishimba, Bakressa wana miaka 70+ na wanatafuta pesa mpaka sasa.

Nadhani damu huwa baadaye zinawasumbua sana askari wengi, wengine wanatesa watu lock-up hadi wanapoteza uhai.

Hilo jina Sabasita nilisikia ilikuwa ni namba yake ya u-polisi kwenye uniform yake.
aliyekwambia kishimba na SSB bado wanatafuta pesa kakuona andazi.hakuna kati yao anayetafuta pesa,wako wanakula pesa hata wakifa zitaendelea kuwepo tu.ni kama akina dangote wao wanasubiri riport na ushauri juu ya uwekezaji mpya tu kila kitu wameshaachia watu wengine.

tatizo lenu mnapiga ramli sana,76 anawezakuwa anadaiwa miaka 40 mingine ya kuishi,na anaishi life la amani kabisa kuliko aliyekuwa anafanya kazi ya kuhudumia wwagonjwa mahututi.

baada ya miaka 50 mtazamo wa binaadam wengi kuhusu maisha huwa unabadilika sana,wengi hutambua sasa kwamba kifo sio maluweluwe ni halisi na hakiko mbali.ni vile wengine huogopa utawekaje kaburi nyumba ya kurithi watoto, vipi wakitaka kuiuza au kupangisha??
 
Alishaua sana watu pindi ni askari polisi mkoa wa morogoro..sasa damu alizozimwaga zinamlilia.mmsishangae hata akajiua ndio hali iwatokeao ma veterans wa jeshi...huwa wanapata ugonjwa wa kisaikolojia uitwao PTSD (post traumatic stress disorder)...ni ugonjwa wa akili ambapo mtu hushindwa kurejea katika hali ya kawaida mara baada ya kukumbana au kushuhudia matukio ya kutisha (kama umwagaji damu,mauaji n.k).

Hili swala huwa halipaziwi sana sauti hapa TZ ila lipo na huwaiumba sana maaskari na wanajeshi wastaafu...akili zao huwa hazikai sawa...muda wote huwa na wasiwasi.
Umemaliza mzee!!
 
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
76 ni mtu mwenye akili ya juu kuliko wengi wetu,amekubali uhalisia kuwa tupo leo kesho hatupo,na amelichukua analiganyia kazi.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Akili ya kiafande hiyo, wewe raia hauwezi elewa. Hapo analinda nyumba isiuzwe baada ya yeye kuondoka, anahakikisha jamii yote inajua kuwa anataka azikwe kwake na kaburi keshaliandaa. Ujue amekwisha tambua kuwa familia yake hawaaminiki n haki za baadhi ya watu zinaweza kudhulumiwa. Kifo ni kawaida, uogope au usiogope siku yako itafika tu. Wewe raia endelea kuogopa.
 
Akili ya kiafande hiyo, wewe raia hauwezi elewa. Hapo analinda nyumba isiuzwe baada ya yeye kuondoka, anahakikisha jamii yote inajua kuwa anataka azikwe kwake na kaburi keshaliandaa. Ujue amekwisha tambua kuwa familia yake hawaaminiki n haki za baadhi ya watu zinaweza kudhulumiwa. Kifo ni kawaida, uogope au usiogope siku yako itafika tu. Wewe raia endelea kuogopa.
Kama hiyo ndiyo akili ya kiaskari basi hata polisi/jeshi hufai kabisa kwa kukosa akili za kimsingi.
Nyumba na ardhi iliyopo hulindwa na umiliki unaotambuliwa kiserikali, yaani Hati miliki.

Kaburi linaweza kuondolewa muda wowote kwa maamuzi ya kimahakama, ndugu wakiliona hilo kaburi kuwa ni kero.

Na kama wewe huna akili usiwapakazie askari wengine wenye akili za kuwatosha.
 
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
KUna...kunaaaa......kunaaaaaaa.........................
 
Wakuu Imeandikwa wapi mtu usijichimbie kaburi?Kama mnaogopa kufa mwenzenu kajipata,anakipenda kifo na anakikaribisha Kwa mikono yote.Sema Cha kushangaza anaweza akafa Kwa kuzama baharini au akabebwa na mafuriko au akaliwa na fisi asionekane hata kucha,hapo ndio atakuwa kafanya pumba
 
Back
Top Bottom