Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Kumbukumbu mbaya ambazo hazifutiki katika mawazo yake ndio zinasababisha haya,unaweza Kuta wakati akiwa kazini alifanya mambo mengi Kwa sifa,na alipongezwa na waliokuwa wakubwa zake,baadae Ile kumbukumbu zilipokaa vizuri akagundua Kuna mambo yanaiondoa amani na utulivu wa nafsi yake,hivyo jibu pekee ni kujiandalia hayo mapema maana Hana matumaini Tena ya kuishi,anaiona Dunia kama inamhukumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbukumbu mbaya ambazo hazifutiki katika mawazo yake ndio zinasababisha haya,unaweza Kuta wakati akiwa kazini alifanya mambo mengi Kwa sifa,na alipongezwa na waliokuwa wakubwa zake,baadae Ile kumbukumbu zilipokaa vizuri akagundua Kuna mambo yanaiondoa amani na utulivu wa nafsi yake,hivyo jibu pekee ni kujiandalia hayo mapema maana Hana matumaini Tena ya kuishi,anaiona Dunia kama inamhukumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika.
 
Ishu ni kwamba hilo jeneza la 3m litapitwa na wakati endapo atachelewa kufa, let's say kama umri wake utaongezeka zaidi akiwa hai hilo sanduku litaonekana ni la bei ndogo na halina hadhi ya kuzikia mtu mwenye status kama yeye na itabidi linunuliwe jingine la kisasa zaidi na bei kubwa. Kaburi nalo litaharibika shape yake kutokana na migandamizo ya udongo kutokana na nguvu za uvutano ardhini, na kama limejengewa na kusakafiwa vizuri hata likiwekwa tiles litaharibika tu. Makaburi yenyewe yamekuwa yakijengwa kwa gharama kubwa kutokana na hali ya mtu kiuchumi. Huyu bwana anashangaza tu ulimwengu hawezi kujizika mwenyewe atakavyo
Litafanyiwa modification
 
Alikuwa ni askari shupavu na mahiri kabisa.Enzi zake alipewa pasi za ugoko na akazitendea haki.Wahalifu wanamjua au familia zao zinamkumbuka.Askari mpelelezi aliyewakomesha majambazi sugu, mwenye shabaha isiyo ya kawaida.RIP Sabasita.
Watoto mkalale mkishakunywa maziwa au uji wa lishe
 
Alikuwa ni askari shupavu na mahiri kabisa.Enzi zake alipewa pasi za ugoko na akazitendea haki.Wahalifu wanamjua au familia zao zinamkumbuka.Askari mpelelezi aliyewakomesha majambazi sugu, mwenye shabaha isiyo ya kawaida.RIP Sabasita.
Watoto mkalale mkishakunywa maziwa au uji wa lishe
Sasa mbona anapata maluweluwe ya umauti.
 
Ajitwange shaba ya kichwa tu tuzike tumsahau tuendelee kula tunda..
Zingine Mbwembwe tu.
 
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
Yupo Sawa Waislamu wao huweka Shanda vyumbani kabatini
 
Back
Top Bottom