Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Ni mipango madhubuti kukwep a wanafamilia kuanza kuwaza waanzie wapi na michango.

Ametumia haki yake na kwa kuwa binadamu iko siku hatujui yeye amejiwekea vizuri likitokea la kutokea kila.kitu kiko sawia.

Pesa zenu za michango kaeni nazo.

Aungwe mkono na pia wewe unaweza kulianzisha.
Huyu tunamjua katoa sana roho za majambazi...istoshe task yake ya mwisho ilikua kibiti napo kaua sana...damu za watu,kisukari kikali kinamla
 
7676 ni namba yake ya jeshi.
Wala hakuwa mbaya kama mnavyo fikiria. Ila tangu ujana wake ni mtu wa masifa. Ali anza kazi Arusha mjini.
Kipindi mgodi wa ray kishumbua umeua yeye alikua mlinzi wa tajiri na ndio alizamisha wakora wengi waliofia huko mgodini...issue ya kibiti alikua kiongozi wa kutoa roho za watu
 
Ishu ni kwamba hilo jeneza la 3m litapitwa na wakati endapo atachelewa kufa, let's say kama umri wake utaongezeka zaidi akiwa hai hilo sanduku litaonekana ni la bei ndogo na halina hadhi ya kuzikia mtu mwenye status kama yeye na itabidi linunuliwe jingine la kisasa zaidi na bei kubwa. Kaburi nalo litaharibika shape yake kutokana na migandamizo ya udongo kutokana na nguvu za uvutano ardhini, na kama limejengewa na kusakafiwa vizuri hata likiwekwa tiles litaharibika tu. Makaburi yenyewe yamekuwa yakijengwa kwa gharama kubwa kutokana na hali ya mtu kiuchumi. Huyu bwana anashangaza tu ulimwengu hawezi kujizika mwenyewe atakavyo
 
Ishu ni kwamba hilo jeneza la 3m litapitwa na wakati endapo atachelewa kufa, let's say kama umri wake utaongezeka zaidi akiwa hai hilo sanduku litaonekana ni la bei ndogo na halina hadhi ya kuzikia mtu mwenye status kama yeye na itabidi linunuliwe jingine la kisasa zaidi na bei kubwa. Kaburi nalo litaharibika shape yake kutokana na migandamizo ya udongo kutokana na nguvu za uvutano ardhini, na kama limejengewa na kusakafiwa vizuri hata likiwekwa tiles litaharibika tu. Makaburi yenyewe yamekuwa yakijengwa kwa gharama kubwa kutokana na hali ya mtu kiuchumi. Huyu bwana anashangaza tu ulimwengu hawezi kujizika mwenyewe atakavyo
Ana li update usikae sana kwenye maisha ya zamani
 
Kwanza tujiulize kwa wale wanaomfahamu katika utumishi wake jeshini alikuwa je.
Mtu wa haki kwa kutenda mema au alitenda kama asiyefaa kwa husuda?
Tuanzie hapo ili kumjadili kwa haki.
 
Mungu alivyokuwa wa ajabu uaweza kuta hazikwi hapo alipojiandalia. Anaweza kuliwa hata na fisi au akateketea kwa namna nyingine
 
Mzee alikua nyan'gau vya kutosha
SICARIO alozeeka PTSD znamsumbua
Kwenye matawi hakujakaa sawaa
 
Kuiga kununua jeneza la 3m ?!!!

Cha kuiga ni kuwa na Insurance ya maziko yako yasiwe na usumbufu kwa watakaobakia; Mfano kuhakikisha watu wanaokuja wanapata chakula, na maandalizi yote yanafanyika..., Hizo mambo za kununua mbao na kuzizika worth 3m ni biashara za watu ambazo hazina tija kwa wanaobakia... (Unaweza kusema Pesa ni zake hivyo Uamuzi ni wake, lakini swali ameacha petty cash kiasi gani cha matumizi mengine)?

Anyway to each their own...
 
Huyo nasikia aliua sana kipindi chake ,ilo jina la sabasita means ni NJUGU hizo alizokuwa anamiminia watu.

Huyo nasikia aliua sana kipindi chake ,ilo jina la sabasita means ni NJUGU hizo alizokuwa anamiminia watu.
Basi damu za watu zitakuwa zinamsumbua, maana kastaafu mwaka jana. Miaka 61 sio mingi sana, badala ya kufanya maendeleo, yeye anawaza mambo ya mazishi tu. Kina Kishimba, Bakressa wana miaka 70+ na wanatafuta pesa mpaka sasa.

Nadhani damu huwa baadaye zinawasumbua sana askari wengi, wengine wanatesa watu lock-up hadi wanapoteza uhai.

Hilo jina Sabasita nilisikia ilikuwa ni namba yake ya u-polisi kwenye uniform yake.
 
Back
Top Bottom