nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Mnaobeza hili,kwa hiyo Mitandao ya kijamii ifungwe basi,maana Mama kasoma maoni yenu Mtandaoni Halafu mna dis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WaambieMmebakia kukosoa tu wasukuma. Mbona kauli za dikteta magufuli mlikuwa hamzikosoa,,mlikuwa mnajifanya watu wamemnukuu vibaya Rais"**
Hajasema yeye rais, amesikia mitandao ya kijamii wanasema.Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Mroto anastafu hivi PUNDEMambosasa ajiandae kwenda Lindi kisha Muroto a.k.a Mr. Misifa aje Dar.View attachment 1776753
Muroto hapa pana mfaaMambosasa ajiandae kwenda Lindi kisha Muroto a.k.a Mr. Misifa aje Dar.View attachment 1776753
AsnteJamaa anachoamini katika medani ukiwa na bachelor degree fresh from form six div 1 au 2 ndo unakuwa balaa? [emoji16][emoji16][emoji16] Afrika bana bado safari ndefu kuna jambo ningempa ufafanuzi ila nikukaa kimya tu.
Hana anachojua kuhusu medani ya kivita.
Wapo ambao ni wapo makini zaidi kama Steven nadhani alistaafu huyu Mzee Mimi kwa kuona kwangu alikomesha ujambazi mbeya na tulikua tunashinda nae mtaani RPC anapata taarifa mwenyewe na baadae anakuja na vijana wa kazi akiwa na uhakika kabisa...Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Rais hatambui lolote hata jina la huyo Askari halijui yeye kasoma tu mitandaoni hizo taarifa za ujambazi na watu kumtaka huyo askari nae akachukua kama zilivyo kutoka huko mitandaoni.Watu wanalaumu ila hawajui nguvu ya huyo Askari mpaka Raisi anatambua uwezo wake, kuna watu ni master chess players wanajua kuchezesha watu mpaka basi ndio maana unaweza kuta kuna askari wengi wazuri lakini bila ya kuwa na mtu wa strategy potential yao haionekani sembuse kutumika!
Huenda hoja yako ni ya kweli au si kweli siwezi kubisha wala kukubali maana sifahamu.Rais hatambui lolote hata jina la huyo Askari halijui yeye kasoma tu mitandaoni hizo taarifa za ujambazi na watu kumtaka huyo askari nae akachukua kama zilivyo kutoka huko mitandaoni.
Nahofia muda utappoanza kutoa hukumu, nani na nani watabaki wamesimama?Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Yani Mama hatoi amri yeye anawaambia tu mkaali shughulikie hili jambo na ndio kamaliza hapo.hivi kwanini mama huwa hatoi orders kama commander in chief, huwa anapenda kusema tutaangalia huko mbele. pale kwa majambazi alitakiwa kusema, sitaki kusikia ujambazi Dar.
Mambosasa ajiandae kwenda Lindi kisha Muroto a.k.a Mr. Misifa aje Dar.View attachment 1776753
Alitakiwa kwenda zaidi ya hapo na sio kuishia tu kusoma mitandaoni issue kama hii ya usalama halafu anakuja kuongea vilevile alivyoongea, inaonesha hajalipa uzito jambo hili.Mnaobeza hili,kwa hiyo Mitandao ya kijamii ifungwe basi,maana Mama kasoma maoni yenu Mtandaoni Halafu mna dis
Kwahiyo kila mtu anayetoa maoni tofauti ni msukuma? Mbona unakuwa na akili za ndezi aiseee?Mmebakia kukosoa tu wasukuma. Mbona kauli za dikteta magufuli mlikuwa hamzikosoa,,mlikuwa mnajifanya watu wamemnukuu vibaya Rais"**
Temeke ni Mkoa kipolisiTemeke ni OCD kipolisi.
Una laana ya ukabila wewe.Kweli Mungu fund, hawezi kukupa kila kitu,kawapa wasukuma maguvu kisha akawanyima akili.
Akawapa wahaya na wachaga akili akawanyima manguvu.