Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Mnaobeza hili,kwa hiyo Mitandao ya kijamii ifungwe basi,maana Mama kasoma maoni yenu Mtandaoni Halafu mna dis
 
Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?

Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Hajasema yeye rais, amesikia mitandao ya kijamii wanasema.
 
Jamaa anachoamini katika medani ukiwa na bachelor degree fresh from form six div 1 au 2 ndo unakuwa balaa? [emoji16][emoji16][emoji16] Afrika bana bado safari ndefu kuna jambo ningempa ufafanuzi ila nikukaa kimya tu.

Hana anachojua kuhusu medani ya kivita.
Asnte
 
Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?

Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Wapo ambao ni wapo makini zaidi kama Steven nadhani alistaafu huyu Mzee Mimi kwa kuona kwangu alikomesha ujambazi mbeya na tulikua tunashinda nae mtaani RPC anapata taarifa mwenyewe na baadae anakuja na vijana wa kazi akiwa na uhakika kabisa...
 
Watu wanalaumu ila hawajui nguvu ya huyo Askari mpaka Raisi anatambua uwezo wake, kuna watu ni master chess players wanajua kuchezesha watu mpaka basi ndio maana unaweza kuta kuna askari wengi wazuri lakini bila ya kuwa na mtu wa strategy potential yao haionekani sembuse kutumika!
Rais hatambui lolote hata jina la huyo Askari halijui yeye kasoma tu mitandaoni hizo taarifa za ujambazi na watu kumtaka huyo askari nae akachukua kama zilivyo kutoka huko mitandaoni.
 
Rais hatambui lolote hata jina la huyo Askari halijui yeye kasoma tu mitandaoni hizo taarifa za ujambazi na watu kumtaka huyo askari nae akachukua kama zilivyo kutoka huko mitandaoni.
Huenda hoja yako ni ya kweli au si kweli siwezi kubisha wala kukubali maana sifahamu.
 
Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .

Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Nahofia muda utappoanza kutoa hukumu, nani na nani watabaki wamesimama?

Mama yetu kuna mambo anafanya yanaukakasi na ukiyatizama kwa kina yana kiza kikubwa Sana.

Nahofia yule Dr. Aliyepaa sana kabla kudondoka anaibuka shujaa wa maneno na matendo yake.
 
Sukuma Gang ndo wanataka discredit utawala wa Madha
 
hivi kwanini mama huwa hatoi orders kama commander in chief, huwa anapenda kusema tutaangalia huko mbele. pale kwa majambazi alitakiwa kusema, sitaki kusikia ujambazi Dar.
Yani Mama hatoi amri yeye anawaambia tu mkaali shughulikie hili jambo na ndio kamaliza hapo.
 
Mnaobeza hili,kwa hiyo Mitandao ya kijamii ifungwe basi,maana Mama kasoma maoni yenu Mtandaoni Halafu mna dis
Alitakiwa kwenda zaidi ya hapo na sio kuishia tu kusoma mitandaoni issue kama hii ya usalama halafu anakuja kuongea vilevile alivyoongea, inaonesha hajalipa uzito jambo hili.
 
Back
Top Bottom