Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Aaah wapi! Labda anakutesa wewe unayeshinda ukimlilia! Wengine hivi sasa tuko huru ila yeye mwenyewe huko alipo bila shaka anateseka vilivyo akichezea mateso ya milele.

Ni kweli, alikuwa rare species indeed! Ni mara chache sana unakutana na binadamu mwenye roho mbaya kama mwendazake. Wengi lazima tu wanasherehekea kifo chake

Naam, legacy kama ya Adolf Hitler ambaye pamoja na kufa na kuwa mzoga kwa miaka zaidi ya sabini bado anakumbukwa kwa uovu wake! Legacy my foot!
Majibu excellent kabisa, nadhani atakuwa amekuelewa. Lile Rundi katili kifo chake kimeleta faraja na matumaini kwa taifa.
 
Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .

Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
hii ni dharau kwa IGP kwamba vikosi vyote vya Sirro ni hovyo mpaka huyo mmoja alejeshwe?? au anataka kumpa nafasi ya Mambojana?
 
Ishu siyo mtu, ni matukio. Huyu IGP aliwahi kuambiwa na Jiwe akiwa RPC DAR awanyang'anye hawa wajinga silaha haraka haraka na ndo maana ujambazi ulipungua wakati ule, leo mama kadokezwa kuwa ule ujinga umerudi so amemkumbusha Siro, asipime kina cha maji. Siku zote majambazi ni Polisi, yaani aendelee pale Jiwe alipoachiwa. MUHIMU, MAJAMBAZI NI ASKARI POLISI, Period
🤣🤣🤣umeuchana ukweli kama ulivyo.
 
Tatizo sio kulala kwake, ila ni falsafa yake aliyoiacha kwenye mioyo ya watanzania wenye utimamu wa akili kuhoji mambo y msingi 😎.
Mama anaanza kupuyanga mapema mno. Moja ya jukumu kubwa alilonalo ni kufuatilia mambo kwa kina ili kuepuka kutoa majibu yanayoacha maswali ktk kutatua changamoto zinazolikabili Taifa letu.
Alikuwa na falsafa gani ya maana zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kulipelekea kaburini? Hivi akali zenu zikoje?
 
Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Kwa hiyo mwaka 2004 nchi ilikuwa vipi?

Tatizo umepata akili na umekuwa mtu mzima wakati wa JPM
 
Na ataendelea kuwatesa hadi kizazi chenu cha kumi! JPM was one the rare African Leader species born in our time ndio maana pamoja na kwamba aliishafariki, JF HAIWEZI kukaa bila threads zake na ikabaki salama! That's Legacy fella!!!!
yes you are right he was one of those rare species the world has ever witnessed.
it's very regrettable the specie in question happened to live on our beautiful land. Yes you are right.
 
Sio Afande Muroto Kweli, mzee wa kipigo Cha Mbwa Koko, Mzee was unapigwa Hadi uchakae
Muroto Yupo likizo ya kustaaf nazani ni mwezi huu wa tano ndio anastaaf labda kama wana nia ya kumuongezea muda kama ilivyo kuwaga kwa zelote etc
 
Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .

Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Hapana, hajaamuru kwamba arudishwe bali ame quote maoni ya walalamikaji mitandaoni
 
Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?

Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Kwa hiyo wewe unao uwezo wa kupata habari nyeti kuliko Rais?
 
Sasa naziona land lover zikiwa zimejaa wahalifu na askari kanzu wamevalia jezi mpira wakienda mabwepande kucheza mpira na majambazi .....waanze na wanunuzi wa spare magari waliokamatwa pia wanunuzi wa TV hasa vibanda umiza...ndio wateja wao
 
Watu wanalaumu ila hawajui nguvu ya huyo Askari mpaka Raisi anatambua uwezo wake, kuna watu ni master chess players wanajua kuchezesha watu mpaka basi ndio maana unaweza kuta kuna askari wengi wazuri lakini bila ya kuwa na mtu wa strategy potential yao haionekani sembuse kutumika!
 
Back
Top Bottom