Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Ujambazi utaisha orodha ya wahuni ikikusanywa na wakafahamika kabisa... hadi alama zao za vidole... wizi ukitokea popote ni kutambua tu alama na kupita maskani zote na huwa wanatajana sana hadi wanunuzi wao... maduka ya used yote yawe na record la sivyo ni kuacha tu waibe maisha yaendelee kama polini ecosystem
 
Raisi alitoa mfano tu wa huyo askari mchapa kazi lakini jukumu kamuachia IGP Sirro kuhakikisha usalama wa Dar unaimarika amrudishe huyo askari au hapana ni jukumu la IGP.
 
Mobu
Na ataendelea kuwatesa hadi kizazi chenu cha kumi! JPM was one the rare African Leaders species born in our time ndio maana pamoja na kwamba aliishafariki, JF HAIWEZI kukaa bila threads zake na ikabaki salama! That's Legacy fella!!!!
Mobutu ana trend hata sasa, na Stalin, na Putin hata Idi Amin.
 
Huyo Askari atakuwa "target" kwa magenge ya uhalifu kuanzia sasa.

Kauli kama hizi ni heri wakaambiana "chamber" badala ya kuitangazia dunia nzima.

Labda angekuwa RPC tofauti na hapo hai-make sense kuwa askari mmoja asiye na cheo kikubwa cha kiutawala anaweze kudhibiti ujambazi eneo la 1,493 km2 tena jiji busy kama Dar.
 
Na ataendelea kuwatesa hadi kizazi chenu cha kumi! JPM was one the rare African Leaders species born in our time ndio maana pamoja na kwamba aliishafariki, JF HAIWEZI kukaa bila threads zake na ikabaki salama! That's Legacy fella!!!!
Alikuwa mumeo?
 
KAMATI YA ULINZI NA USALAM Mkoa wa DSM chini ya mwenyekiti wake pamoja na kamati za Wilaya zote 5, Ilala, Temeke, Ubungo, Kinondoni na Kigamboni wakisaidiana na Jeshi la Polisi wanalo Jukumu la Kusimamia Amani na Usalama wa RAIA ktk maeneo yao husika.

anzisheni patrol za kila siku ktk maeneo yenu, vijiwe vya wavuta bangi na madawa mengine ya kulevya lazima vyote vibainishwe na viteketezwe kwa nguvu zote na kwa ushirikiano wa wenyeviti wa serikali za mitaa.

Sisi wananchi pia tunawafahamu wahalifu ktk maeneo yetu, lazima tuwafichue.

Majambazi, wezi na vibaka sio watu wa kuwachekea hata kidogo lazima tuwashughulikie kikamilifu.

Majambazi, wezi na vibaka lazima washughulikiwe ipasavyo.
 
Ukweli utabaki ukweli Magufuli alidhibiti ujambazi,mauaji Ya albino,ugonvyi wa wafugaji na wakulima.siyo la kamanda fulani
 
Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Kwa hiyo bado umekwamia awamu iliyopita kiasi hicho,kwani upo kona gani ukiendelea kuteseka.
 
Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Nchi sasa ndo inasimama... huyo ulomtaja mwache apumzike aliko. Alituharibia nchi mno
 
KWA maono ya mbali mama atafanya makubwa KWA mwendo huu anaoenda nao labda mkimroga japo hamtaweza, watu mlizoea ishi KWA propaganda,sifa KWA vitu visivyowezekana, mwafaa
Tatizo sio kulala kwake, ila ni falsafa yake aliyoiacha kwenye mioyo ya watanzania wenye utimamu wa akili kuhoji mambo y msingi 😎.
Mama anaanza kupuyanga mapema mno. Moja ya jukumu kubwa alilonalo ni kufuatilia mambo kwa kina ili kuepuka kutoa majibu yanayoacha maswali ktk kutatua changamoto zinazolikabili Taifa letu.
 
Watu wanalaumu ila hawajui nguvu ya huyo Askari mpaka Raisi anatambua uwezo wake, kuna watu ni master chess players wanajua kuchezesha watu mpaka basi ndio maana unaweza kuta kuna askari wengi wazuri lakini bila ya kuwa na mtu wa strategy potential yao haionekani sembuse kutumika!
Kweli MKUU hata kwenye Tim ya mpira japo wachezaji wote wanacheza ila bado yupo mtu muhim kwamba akikosa Mambo hayaendi Kama ilivyokusudiwa,
 
hivi kwanini mama huwa hatoi orders kama commander in chief, huwa anapenda kusema tutaangalia huko mbele. pale kwa majambazi alitakiwa kusema, sitaki kusikia ujambazi Dar.
Kupunguza ukali wa maneno sio kwamba mtu amanishi, kauli ya rais ni kauli strong bila kujali umeongea kwa kufoka au kwa taratibu swala ni kauli na muhusika katiba organ husika lazima kuifanyia kazi , kulingana na wajibu wako ,mtasema mengi maana mlishazoea kufoka KWA mwendazake ndo uongozi, Tahasis nyeti katika nzi Kama USA zinapiga matukio mazito wapi umewai sikia marais kufokafoka tofauti uyo trump KWA akili zake mbovu
 
Sasa naziona land lover zikiwa zimejaa wahalifu na askari kanzu wamevalia jezi mpira wakienda mabwepande kucheza mpira na majambazi .....waanze na wanunuzi wa spare magari waliokamatwa pia wanunuzi wa TV hasa vibanda umiza...ndio wateja wao
Mie jamaa nikiwaonaga jamaa wale kanzu wanatoka kwenye zile landrover huwa na cheka tu, yaani jamaa wanakua kama wana/washikaji hivi kumbeee daahh!!!
 
Back
Top Bottom