Askari wa Israel wajificha nyuma ya mpalestina kuogopa kushambuliwa. Wamuomba awaokoe dhidi ya hasira za wenzake

Askari wa Israel wajificha nyuma ya mpalestina kuogopa kushambuliwa. Wamuomba awaokoe dhidi ya hasira za wenzake

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vituko katika vita baina ya Israel na wapalestina daima havimaliziki ambapo maajabu mengi yameripotiiwa.

Muuza duka mmoja kwenye kijiji cha Dura karibu na Hebrona anasimulia kuwa askari wa Israel waliingia mjini humo na kuua watu wawili na walipotaka kutoka wakamvamia yeye kwenye duka lake la kuuza simu na kumshika mateka wakimfanya kinga ili kujiokoa na mvua ya mawe waliyohofia kurushiwa na wapalestina.

Katika mkasa huo Baha Abu Ras anasema askari mmoja alimwambia watamtumia kujikinga na mawe ya wenzake na huku akiwa amemuwekea bunduki bejgani kwake na wenzake wawili wakifuata nyuma yetu.

Palestinian says Israeli soldiers used him as human shield in West Bank

 
Vituko katika vita baina ya Israel na wapalestina daima havimaliziki ambapo maajabu mengi yameripotiiwa.

Muuza duka mmoja kwenye kijiji cha Dura karibu na Hebrona anasimulia kuwa askari wa Israel waliingia mjini humo na kuua watu wawili na walipotaka kutoka wakamvamia yeye kwenye duka lake la kuuza simu na kumshika mateka wakimfanya kinga ili kujiokoa na mvua ya mawe waliyohofia kurushiwa na wapalestina.

Katika mkasa huo Baha Abu Ras anasema askari mmoja alimwambia watamtumia kujikinga na mawe ya wenzake na huku akiwa amemuwekea bunduki bejgani kwake na wenzake wawili wakifuata nyuma yetu.

Palestinian says Israeli soldiers used him as human shield in West Bank

Kudakwa ndiyo human shield. Picha inaonyesha amedakwa wanaondoka naye and ndivyo wanavyodakwa
 
Hawa IDF tuliwakuza sana hapo zamani, kumbe tulilishwa matangopori, wepesi tu wanapigwa hata na SUMA JKT
Ingekuwa hivyo uwazavyo nasi leo hii wangekuwa hawapo pale.
Mliwakuza bila kupitia story za kuambiwa na hata sasa mnawadharau kupitia story zilezile za kuambiwa, unabaki kutokuwa na ujualo.
Ukiwa na njaa unaamini hili, ukishiba akili inaamini lingine.
Ukija kupima ujue ukweli ni upi unakuta Israel ipo palepale, operations zake ni zilezile, Gaza ndiyo kama vile ila wewe ndiye kiakili unakuwa umehahama na kukimbiakimbia sana sana hadi umechoka
 
Vituko katika vita baina ya Israel na wapalestina daima havimaliziki ambapo maajabu mengi yameripotiiwa.

Muuza duka mmoja kwenye kijiji cha Dura karibu na Hebrona anasimulia kuwa askari wa Israel waliingia mjini humo na kuua watu wawili na walipotaka kutoka wakamvamia yeye kwenye duka lake la kuuza simu na kumshika mateka wakimfanya kinga ili kujiokoa na mvua ya mawe waliyohofia kurushiwa na wapalestina.

Katika mkasa huo Baha Abu Ras anasema askari mmoja alimwambia watamtumia kujikinga na mawe ya wenzake na huku akiwa amemuwekea bunduki bejgani kwake na wenzake wawili wakifuata nyuma yetu.

Palestinian says Israeli soldiers used him as human shield in West Bank

Tulia mtandikwe nyie Kobaz. Acheni uzushi wa kitoto
 
Walipotoka mjini walimuachia.Si unamuona jamaa na Tecno yake.
Mkiniua mmenionea, mkiniachia mmeniogopa.
Walimuacha sababu walijiridhisha kuwa siyo threat.
Yaani HAMAS hawa ambao mahospitali, misikiti, mashule na majumba ya wapalestina wameyageuza base za silaha zao na huku wakijificha na kuvaa kiraia ndiyo leo wahofie kuua askari wa IDF kisa wamemkamata Mpalestina hivyo wakishambulia watamuua?

Wangekuwa wanawajali Wapalestina wangethubutu kuvuka Mpaka na kwenda kuua maelfu na kuchukua wengine mateka? Yaani HAMAS wajali kufa kwa huyo mmoja wakati wameshasababisha vifo vya wapalestina zaidi 23,000+? na mji huku mji wa Gaza ukisambaratishwa na kianguka? Huyo mmoja ni mani hasa hata IDF wamuone kama kinga yao? Hivi hizo habari mnapozisoma huwa mnashirikisha akili zenu kweli?
 
Vituko katika vita baina ya Israel na wapalestina daima havimaliziki ambapo maajabu mengi yameripotiiwa.

Muuza duka mmoja kwenye kijiji cha Dura karibu na Hebrona anasimulia kuwa askari wa Israel waliingia mjini humo na kuua watu wawili na walipotaka kutoka wakamvamia yeye kwenye duka lake la kuuza simu na kumshika mateka wakimfanya kinga ili kujiokoa na mvua ya mawe waliyohofia kurushiwa na wapalestina.

Katika mkasa huo Baha Abu Ras anasema askari mmoja alimwambia watamtumia kujikinga na mawe ya wenzake na huku akiwa amemuwekea bunduki bejgani kwake na wenzake wawili wakifuata nyuma yetu.

Palestinian says Israeli soldiers used him as human shield in West Bank

[emoji1134]Haifa is heavily exposed to missile attacks, to the extent that #Israeli accounts say pray for Haifa![emoji16]

[emoji843] The mayor of Haifa addressed to the residents of Haifa: Prepare for war
#IsraelIsATerrorist
#طوفان_الأقصى
 
[emoji1134]Haifa is heavily exposed to missile attacks, to the extent that #Israeli accounts say pray for Haifa![emoji16]

[emoji843] The mayor of Haifa addressed to the residents of Haifa: Prepare for war
#IsraelIsATerrorist
#طوفان_الأقصى
Bado wanadundwa Waisrael?🤭🤭🤭
 
M
Mkiniua mmenionea, mkiniachia mmeniogopa.
Walimuacha sababu walijiridhisha kuwa siyo threat.
Yaani HAMAS hawa ambao mahospitali, misikiti, mashule na majumba ya wapalestina wameyageuza base za silaha zao na huku wakijificha na kuvaa kiraia ndiyo leo wahofie kuua askari wa IDF kisa wamemkamata Mpalestina hivyo wakishambulia watamuua?

Wangekuwa wanawajali Wapalestina wangethubutu kuvuka Mpaka na kwenda kuua maelfu na kuchukua wengine mateka? Yaani HAMAS wajali kufa kwa huyo mmoja wakati wameshasababisha vifo vya wapalestina zaidi 23,000+? na mji huku mji wa Gaza ukisambaratishwa na kianguka? Huyo mmoja ni mani hasa hata IDF wamuone kama kinga yao? Hivi hizo habari mnapozisoma huwa mnashirikisha akili zenu kweli?
Mbona km unaropoka we jamaa?
Hao raia wa kawaida warusha mawe sio Hamas usome uelewe sio unakurupuka.
Pia hio claim yako Hamas mashule na mahospitali wamegeuza base za silaha UN wamefanya uchunguzi na wamekiri kua ni shutuma za uongo.
Israel ameambiwa alete ushahidi hakuleta mpaka leo.
Suala la Gaza na Occupied west bank yana utofauti.
Gaza ile ni vita na Hamas kuvuka mpaka na kwenda kuvamia Israel alikua na malengo yake kutokana na uchochezi alofanya Israel august kupitia israel settlers.
ICJ imeruhusu wahanga wa vita kutoa ushahidi kuhusu Israel kuna ushahidi IDF walivamia nyumba wakabaka na kupiga wanaume wanne risasi na mtoto wa miaka minne je mtoto wa miaka minne ni threat??
PUNGUZA KUROPOKA.
 
Ingekuwa hivyo uwazavyo nasi leo hii wangekuwa hawapo pale.
Mliwakuza bila kupitia story za kuambiwa na hata sasa mnawadharau kupitia story zilezile za kuambiwa, unabaki kutokuwa na ujualo.
Ukiwa na njaa unaamini hili, ukishiba akili inaamini lingine.
Ukija kupima ujue ukweli ni upi unakuta Israel ipo palepale, operations zake ni zilezile, Gaza ndiyo kama vile ila wewe ndiye kiakili unakuwa umehahama na kukimbiakimbia sana sana hadi umechoka
Suala la Israel kupigwa au kutokupigwa inahusianaje na kutokuwepo pale?
Mbona una mawazo finyu broo?
Kuna mtu alikataa Israel kuwa pale?
Toka 1947 waarabu walikubali ramani ilioonesha mipaka ya Israel na Palestina ila 1948 kwa kufanya expansion mwenyewe Israel kajitengenezea uhasama.
Waarabu nia yao ni mipaka ya 1947 iheshimiwe na Palestina liwe taifa bas.
Hayo masuala ya kutokuwepo pale unayaleta wewe.
 
M

Mbona km unaropoka we jamaa?
Hao raia wa kawaida warusha mawe sio Hamas usome uelewe sio unakurupuka.
Pia hio claim yako Hamas mashule na mahospitali wamegeuza base za silaha UN wamefanya uchunguzi na wamekiri kua ni shutuma za uongo.
Israel ameambiwa alete ushahidi hakuleta mpaka leo.
Suala la Gaza na Occupied west bank yana utofauti.
Gaza ile ni vita na Hamas kuvuka mpaka na kwenda kuvamia Israel alikua na malengo yake kutokana na uchochezi alofanya Israel august kupitia israel settlers.
ICJ imeruhusu wahanga wa vita kutoa ushahidi kuhusu Israel kuna ushahidi IDF walivamia nyumba wakabaka na kupiga wanaume wanne risasi na mtoto wa miaka minne je mtoto wa miaka minne ni threat??
PUNGUZA KUROPOKA.
Sasa hiki ndiyo umeandika nini? Kuja kote speed ni uje kuandika utoto wako? Uandishi wako tu unavyosimulia unaakisi utoto wako. Kwa hiyo hayo malengo ya Hamas kuvuka na kwenda kuua raia wasio na hatia ndiyo yapo justifiable? Hivi unajisoma lakini unachoandika?
Wewe Kenge kweli!
 
Suala la Israel kupigwa au kutokupigwa inahusianaje na kutokuwepo pale?
Mbona una mawazo finyu broo?
Kuna mtu alikataa Israel kuwa pale?
Toka 1947 waarabu walikubali ramani ilioonesha mipaka ya Israel na Palestina ila 1948 kwa kufanya expansion mwenyewe Israel kajitengenezea uhasama.
Waarabu nia yao ni mipaka ya 1947 iheshimiwe na Palestina liwe taifa bas.
Hayo masuala ya kutokuwepo pale unayaleta wewe.
Tena unavyorudi huko 1948 ndiyo unazidi kujidhihirisha kuwa huna ujualo kuhusu huo mgogoro. Kuanza kukusimulia ni kupoteza muda na mtu anayejitia ujuaji na mimi watu wa aina yako huwa naenda nao hivyo hivyo kindezi kama mlivyo, huwa situmii misuli wala kupoteza mida.
 
Mkiniua mmenionea, mkiniachia mmeniogopa.
Walimuacha sababu walijiridhisha kuwa siyo threat.
Yaani HAMAS hawa ambao mahospitali, misikiti, mashule na majumba ya wapalestina wameyageuza base za silaha zao na huku wakijificha na kuvaa kiraia ndiyo leo wahofie kuua askari wa IDF kisa wamemkamata Mpalestina hivyo wakishambulia watamuua?

Wangekuwa wanawajali Wapalestina wangethubutu kuvuka Mpaka na kwenda kuua maelfu na kuchukua wengine mateka? Yaani HAMAS wajali kufa kwa huyo mmoja wakati wameshasababisha vifo vya wapalestina zaidi 23,000+? na mji huku mji wa Gaza ukisambaratishwa na kianguka? Huyo mmoja ni mani hasa hata IDF wamuone kama kinga yao? Hivi hizo habari mnapozisoma huwa mnashirikisha akili zenu kweli?
Maswali mengi yasiyo na jibu moja.
Muhimu wa hii habari ni ili wewe na wengine wajue kuwa vita vinabadilika na hasara haiko kwa mmoja.Kwa Hamas na wapalestina hayo unayoyasema walijua yatatokea lakini IDF nayo imepata hasara kiasi gani?
Zaidi ya kuua hiyo idadi ya wapalestina na kuvunja majumba jee wamefikia malengo yao na jee idadi ya askari waliouliwa na vifaru kuripuliwa kuna aliyewahi kuwaza kuwa yangewakuta ?
Fikiria basi Hamas wangekuwa na hata nchi moja inayowasaidia muda huu wa vita au wangekuwa wana Himars hata 5 tu.Jee Israel ingeweza kumudu vita vyao?
 
Hata SUMA JKT ni afadhali, wanapigwa na vijana wadogo walijikusanya mitaani.

Mazayuni ni mabingwa wa propaganda na kueneza mifarakano, uongo na chuki duniani.
Wanaeneza chuki baina ya watu na hata kufadhili ugaidi ilimradi binadamu wote wawe kama watumwa wao.
Wanafadhili mitandao ya kuuza madawa ya kulevya kwa nchi za kiarabu ili zikose mashujaa wa kupigana nao mfano wa Hamas
 
Wanaeneza chuki baina ya watu na hata kufadhili ugaidi ilimradi binadamu wote wawe kama watumwa wao.
Wanafadhili mitandao ya kuuza madawa ya kulevya kwa nchi za kiarabu ili zikose mashujaa wa kupigana nao mfano wa Hamas
Hao ni zaidi ya washenzi.
 
Back
Top Bottom