Askari wa Israel wajificha nyuma ya mpalestina kuogopa kushambuliwa. Wamuomba awaokoe dhidi ya hasira za wenzake

Askari wa Israel wajificha nyuma ya mpalestina kuogopa kushambuliwa. Wamuomba awaokoe dhidi ya hasira za wenzake

Maswali mengi yasiyo na jibu moja.
Muhimu wa hii habari ni ili wewe na wengine wajue kuwa vita vinabadilika na hasara haiko kwa mmoja.Kwa Hamas na wapalestina hayo unayoyasema walijua yatatokea lakini IDF nayo imepata hasara kiasi gani?
Zaidi ya kuua hiyo idadi ya wapalestina na kuvunja majumba jee wamefikia malengo yao na jee idadi ya askari waliouliwa na vifaru kuripuliwa kuna aliyewahi kuwaza kuwa yangewakuta ?
Fikiria basi Hamas wangekuwa na hata nchi moja inayowasaidia muda huu wa vita au wangekuwa wana Himars hata 5 tu.Jee Israel ingeweza kumudu vita vyao?
Unadhani Hamas hana msaada? Tufanye kama utakavyo kwamba hakuna hata nchi moja inayowasaidia, Je kwanini hawasaidiwi ilihali wote waliopo pale ni ndugu zake katika Imani? Je israel pale ndugu yake ni nani?
 
Unadhani Hamas hana msaada? Tufanye kama utakavyo kwamba hakuna hata nchi moja inayowasaidia, Je kwanini hawasaidiwi ilihali wote waliopo pale ni ndugu zake katika Imani? Je israel pale ndugu yake ni nani?
Hamas kipindi hiki wangepata msaada wa kweli kutoka hata nchi moja basi narudia kukwambia ushindi wao ungekuja mapema sana.
Lakini Israel inavuna matunda ya walichopanda ya kuweka vibaraka Misri na Jordan mapema.
Jordan inayosema ndio wadhamini wa masjidul aqsa wangetunisha misuli kidogo tu Israel hawezi kuendelea na vita.
 
Hamas kipindi hiki wangepata msaada wa kweli kutoka hata nchi moja basi narudia kukwambia ushindi wao ungekuja mapema sana.
Lakini Israel inavuna matunda ya walichopanda ya kuweka vibaraka Misri na Jordan mapema.
Jordan inayosema ndio wadhamini wa masjidul aqsa wangetunisha misuli kidogo tu Israel hawezi kuendelea na vita.
Wange, wange wange...Iran kawaingiza chaka Hamas.
Itoshe tu kusema ushindi upo kwenye "Nge"
 
Vituko katika vita baina ya Israel na wapalestina daima havimaliziki ambapo maajabu mengi yameripotiiwa.

Muuza duka mmoja kwenye kijiji cha Dura karibu na Hebrona anasimulia kuwa askari wa Israel waliingia mjini humo na kuua watu wawili na walipotaka kutoka wakamvamia yeye kwenye duka lake la kuuza simu na kumshika mateka wakimfanya kinga ili kujiokoa na mvua ya mawe waliyohofia kurushiwa na wapalestina.

Katika mkasa huo Baha Abu Ras anasema askari mmoja alimwambia watamtumia kujikinga na mawe ya wenzake na huku akiwa amemuwekea bunduki bejgani kwake na wenzake wawili wakifuata nyuma yetu.

Palestinian says Israeli soldiers used him as human shield in West Bank

ulitaka waue hovyo kama Hamas ? kama walitumwa kuua watu wawili wewe ulitaka waue kila mrusha jiwe ? kwako silaha ya moto na jiwe ipo inamaliza utata mapema?
 
Hata SUMA JKT ni afadhali, wanapigwa na vijana wadogo walijikusanya mitaani.

Mazayuni ni mabingwa wa propaganda na kueneza mifarakano, uongo na chuki duniani.
ukitoka hapa unapost raman yenu ya occupation , sijui hiyo occupation anafanya kwa kuwatishia kwa maneno?
 
M

Mbona km unaropoka we jamaa?
Hao raia wa kawaida warusha mawe sio Hamas usome uelewe sio unakurupuka.
Pia hio claim yako Hamas mashule na mahospitali wamegeuza base za silaha UN wamefanya uchunguzi na wamekiri kua ni shutuma za uongo.
Israel ameambiwa alete ushahidi hakuleta mpaka leo.
Suala la Gaza na Occupied west bank yana utofauti.
Gaza ile ni vita na Hamas kuvuka mpaka na kwenda kuvamia Israel alikua na malengo yake kutokana na uchochezi alofanya Israel august kupitia israel settlers.
ICJ imeruhusu wahanga wa vita kutoa ushahidi kuhusu Israel kuna ushahidi IDF walivamia nyumba wakabaka na kupiga wanaume wanne risasi na mtoto wa miaka minne je mtoto wa miaka minne ni threat??
PUNGUZA KUROPOKA.
unaeza tuonesha kambi hata moja ya hamas ?
 
unaeza tuonesha kambi hata moja ya hamas ?
Hamas hawana kambi zaidi ya tunnels.
Mahandaki km mawili IDF waliwahi kuyafuma na kuyakuta na silaha zilizotumika .
Video zipo tafuta utaziona.
 
Sasa hiki ndiyo umeandika nini? Kuja kote speed ni uje kuandika utoto wako? Uandishi wako tu unavyosimulia unaakisi utoto wako. Kwa hiyo hayo malengo ya Hamas kuvuka na kwenda kuua raia wasio na hatia ndiyo yapo justifiable? Hivi unajisoma lakini unachoandika?
Wewe Kenge kweli!
Hukuwahi kuelewa unaonekana hata darasani ulikua unampa mwalimu wako tabu.
Umefananisha tukio la occupied westbank na Gaza.
Hao askari wapo Westbank ndipo walipotishiwa mawe Hamas wapo Gaza.
Umesema kama hamas wangekua wanaonea huruma Palestines wasingeenda vamia Israel.
Unajua august IDF na Israel settlers wali commit how many assaults to the Palestines??
Unajua watoto takriban 2000 waliwekwa korokoroni kabla ya hiyo october 7??
Palestines walifanyiwa oppression kabla ya october 7 kwa kuvamiwa mashambani,kuvunjiwa nyumba na kupigwa ulitaka wakae kimya??
SUCH A DUNDER HEAD CLAIMING INTELLECTUAL.
 
Tena unavyorudi huko 1948 ndiyo unazidi kujidhihirisha kuwa huna ujualo kuhusu huo mgogoro. Kuanza kukusimulia ni kupoteza muda na mtu anayejitia ujuaji na mimi watu wa aina yako huwa naenda nao hivyo hivyo kindezi kama mlivyo, huwa situmii misuli wala kupoteza mida.
Mimi au wewe ndio hujui???
Comments zako zote humu ndani nazisomaga ni BASELESS.
UNASHIKILIA OOH WANGESHINDWA WASINGEKUWEPO HAPO.
Kushindwa kwa Israel na existence yao hapo inahusianaje??
HUNA ULIJUALE MBUNI WW KWENDRAAAA.
Ungekua unajua usingeleta baseless Claims hapa .
 
Maswali mengi yasiyo na jibu moja.
Muhimu wa hii habari ni ili wewe na wengine wajue kuwa vita vinabadilika na hasara haiko kwa mmoja.Kwa Hamas na wapalestina hayo unayoyasema walijua yatatokea lakini IDF nayo imepata hasara kiasi gani?
Zaidi ya kuua hiyo idadi ya wapalestina na kuvunja majumba jee wamefikia malengo yao na jee idadi ya askari waliouliwa na vifaru kuripuliwa kuna aliyewahi kuwaza kuwa yangewakuta ?
Fikiria basi Hamas wangekuwa na hata nchi moja inayowasaidia muda huu wa vita au wangekuwa wana Himars hata 5 tu.Jee Israel ingeweza kumudu vita vyao?
Anakwambia walimuacha kisa sio threat.
Ilhali ICJ umepelekwa ushahidi wa victims IDF wamemtwanga mtoto wa chini ya miaka 9 risasi je mtoto nae ni threat??
Atakwambia Israel wangeshindwa wasingekuwepo pale.
Kushindwa IDF na Israel existence ni vitu viwili tofauti.
 
Waua KRISTO na mashoga kamwe hawawezi vita na HAMAS kwa namna hii...
 
Habari motomoto hii hapa:

 
Mimi au wewe ndio hujui???
Comments zako zote humu ndani nazisomaga ni BASELESS.
UNASHIKILIA OOH WANGESHINDWA WASINGEKUWEPO HAPO.
Kushindwa kwa Israel na existence yao hapo inahusianaje??
HUNA ULIJUALE MBUNI WW KWENDRAAAA.
Ungekua unajua usingeleta baseless Claims hapa .
Kwako ni baseless kwa kuwa hautaki. Kama ningekuwa baseless kamwe usingekuwa unafuatilia comments zangu zote kama unavyodai.
Mimi leo ndiyo kwa mara ya kwanza nimekusoma, tafsiri yake ni nini?
Kwako wewe kwa nilivyokusoma tu hapa silazimiki kuelezea wala kwenda in details tena kwa kitu ambacho details zake nyingi nimeshaziweka humu. Unaposema ninaleta baselass claims, wakati kiuhalisia unaonekana ni mvivu kusoma, na umaongozwa na mahaba sasa unatarajia uje kukubaliana na kitu usichokitaka?
Nimejikuta macheka tu ulipo ni quote pale mwanza ukielezea vitu ambavyo yaani wewe ukaona nfiyo facts, sasa kama maelezo yako ndiyo yale unataraji mimi nichangie nini? Maana huna sentence ya ku argue na mimi wala kichwa cha kuelewa nitakachokujibu.
Kwa faida yako fuatilia michango yangu humu ukiwa open minded utajifunza, ila ukija na akili hizo zilizofunikwa, basi tutarajie uendelee kutukana sana tu.
 

Unajua august IDF na Israel settlers wali commit how many assaults to the Palestines??
Jiulize kwanini wana commiy hizo assaults
Unajua watoto takriban 2000 waliwekwa korokoroni kabla ya hiyo october 7??
Umewahi kujua hao vijana wanaoingia Israel kinyume cha taratibu ma kwenda kufanya matukio wakikamatwa ma kugungwa huwa wanafanywa nini? Umewahi kusikia Israel ikishutumiwa kutesa wafungwa wa Kipalestina?
Palestines walifanyiwa oppression kabla ya october 7 kwa kuvamiwa mashambani,kuvunjiwa nyumba na kupigwa ulitaka wakae kimya??
Acha uwongo, Siku zote kwenye issue ya Israel na Palestine, Israel huwa hawaanzishi mashambulizi, bali hujibu. Mashambulizi pekee ambayo huwa wanaanzisha ni dhidi ya wale watu walio wa lebel kama Magaidi.
SUCH A DUNDER HEAD CLAIMING INTELLECTUAL.
Nimelipokea, does that make you happy!? Maana wazee wa hisia huwa hoja zenu bila kumalizia hivyo huwa hazikamiliki
 
Kwako ni baseless kwa kuwa hautaki. Kama ningekuwa baseless kamwe usingekuwa unafuatilia comments zangu zote kama unavyodai.
Mimi leo ndiyo kwa mara ya kwanza nimekusoma, tafsiri yake ni nini?
Kwako wewe kwa nilivyokusoma tu hapa silazimiki kuelezea wala kwenda in details tena kwa kitu ambacho details zake nyingi nimeshaziweka humu. Unaposema ninaleta baselass claims, wakati kiuhalisia unaonekana ni mvivu kusoma, na umaongozwa na mahaba sasa unatarajia uje kukubaliana na kitu usichokitaka?
Nimejikuta macheka tu ulipo ni quote pale mwanza ukielezea vitu ambavyo yaani wewe ukaona nfiyo facts, sasa kama maelezo yako ndiyo yale unataraji mimi nichangie nini? Maana huna sentence ya ku argue na mimi wala kichwa cha kuelewa nitakachokujibu.
Kwa faida yako fuatilia michango yangu humu ukiwa open minded utajifunza, ila ukija na akili hizo zilizofunikwa, basi tutarajie uendelee kutukana sana tu.
Sio kwangu hio ndio reality hizo ni baseless claims ngoja niku prove kwanini baseless claims .
 
Jiulize kwanini wana commiy hizo assaults

Umewahi kujua hao vijana wanaoingia Israel kinyume cha taratibu ma kwenda kufanya matukio wakikamatwa ma kugungwa huwa wanafanywa nini? Umewahi kusikia Israel ikishutumiwa kutesa wafungwa wa Kipalestina?

Acha uwongo, Siku zote kwenye issue ya Israel na Palestine, Israel huwa hawaanzishi mashambulizi, bali hujibu. Mashambulizi pekee ambayo huwa wanaanzisha ni dhidi ya wale watu walio wa lebel kama Magaidi.

Nimelipokea, does that make you happy!? Maana wazee wa hisia huwa hoja zenu bila kumalizia hivyo huwa hazikamiliki
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-21-12-34-20-82_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-34-20-82_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    112.4 KB · Views: 1
Kwako ni baseless kwa kuwa hautaki. Kama ningekuwa baseless kamwe usingekuwa unafuatilia comments zangu zote kama unavyodai.
Mimi leo ndiyo kwa mara ya kwanza nimekusoma, tafsiri yake ni nini?
Kwako wewe kwa nilivyokusoma tu hapa silazimiki kuelezea wala kwenda in details tena kwa kitu ambacho details zake nyingi nimeshaziweka humu. Unaposema ninaleta baselass claims, wakati kiuhalisia unaonekana ni mvivu kusoma, na umaongozwa na mahaba sasa unatarajia uje kukubaliana na kitu usichokitaka?
Nimejikuta macheka tu ulipo ni quote pale mwanza ukielezea vitu ambavyo yaani wewe ukaona nfiyo facts, sasa kama maelezo yako ndiyo yale unataraji mimi nichangie nini? Maana huna sentence ya ku argue na mimi wala kichwa cha kuelewa nitakachokujibu.
Kwa faida yako fuatilia michango yangu humu ukiwa open minded utajifunza, ila ukija na akili hizo zilizofunikwa, basi tutarajie uendelee kutukana sana tu.
Halafu nitakuletea USHAHIDI wa Israel settlers wakiwa provoke wapalestina kabla ya hiyo October 7.
Mtoto wa miaka 12 ana threat gain kwa mwanajeshi mwenye bunduki??
Hapo wanakueleza kila mwaka takriban watoto 500-700 huwekwa rumande na IDF kisingizio kurusha mawe.
Umri range 12 mpk 17.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-21-12-38-38-39_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-38-38-39_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    107.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-01-21-12-37-38-90_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-37-38-90_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    111.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-01-21-12-37-14-64_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-37-14-64_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    91.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-01-21-12-34-20-82_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-34-20-82_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    112.4 KB · Views: 1
Kwako ni baseless kwa kuwa hautaki. Kama ningekuwa baseless kamwe usingekuwa unafuatilia comments zangu zote kama unavyodai.
Mimi leo ndiyo kwa mara ya kwanza nimekusoma, tafsiri yake ni nini?
Kwako wewe kwa nilivyokusoma tu hapa silazimiki kuelezea wala kwenda in details tena kwa kitu ambacho details zake nyingi nimeshaziweka humu. Unaposema ninaleta baselass claims, wakati kiuhalisia unaonekana ni mvivu kusoma, na umaongozwa na mahaba sasa unatarajia uje kukubaliana na kitu usichokitaka?
Nimejikuta macheka tu ulipo ni quote pale mwanza ukielezea vitu ambavyo yaani wewe ukaona nfiyo facts, sasa kama maelezo yako ndiyo yale unataraji mimi nichangie nini? Maana huna sentence ya ku argue na mimi wala kichwa cha kuelewa nitakachokujibu.
Kwa faida yako fuatilia michango yangu humu ukiwa open minded utajifunza, ila ukija na akili hizo zilizofunikwa, basi tutarajie uendelee kutukana sana tu.
Unasema kuwa Israel huwa wanalipiza hawaanzwi.
Sheriin Abu Akleh ni mwandishi wa habari tena mkristo amepigwa risasi na Sniper wa IDF deliberately kwa makusudi akiwa anaripoti uvamizi wa IDF Jenin refugee camp WEST BANK.
Basi Sawa tuseme Gaza wakorofi haya kambi ya wakimbizi Jenin Occupied west bank ina tishio gani kwa Israel??
NILETEE USHAHIDI WA PALESTINA KUWACHOKOZA ISRAEL 2022 MPAKA IDF WAKAVAMIA JENIN REFUGEE CAMP.
nasubiri jibu
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-21-12-43-39-05_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-43-39-05_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    108.3 KB · Views: 1
Jiulize kwanini wana commiy hizo assaults

Umewahi kujua hao vijana wanaoingia Israel kinyume cha taratibu ma kwenda kufanya matukio wakikamatwa ma kugungwa huwa wanafanywa nini? Umewahi kusikia Israel ikishutumiwa kutesa wafungwa wa Kipalestina?

Acha uwongo, Siku zote kwenye issue ya Israel na Palestine, Israel huwa hawaanzishi mashambulizi, bali hujibu. Mashambulizi pekee ambayo huwa wanaanzisha ni dhidi ya wale watu walio wa lebel kama Magaidi.

Nimelipokea, does that make you happy!? Maana wazee wa hisia huwa hoja zenu bila kumalizia hivyo huwa hazikamiliki
Naomba uniambie bro.
Palestina waliwachokoza mini Israel MPAKA wawavunjie makazi kila nwaka??
HIYO NI RIPOTI YA UNRWA.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-21-12-51-03-50_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-51-03-50_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    55.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-01-21-12-51-13-61_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-51-13-61_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    134.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-01-21-12-50-24-16_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-01-21-12-50-24-16_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    114 KB · Views: 1
Back
Top Bottom