PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kuendelea kukujibu ni kupoteza muda. Kuna vitu vidogo sana wala hivihitaji akili ya ziada kuviona, nashangaa unashindwa kuviona. Nimesoma hizo replies zako zote na hivyo ulivyo attach kama nase za claims zako.Unasema kuwa Israel huwa wanalipiza hawaanzwi.
Sheriin Abu Akleh ni mwandishi wa habari tena mkristo amepigwa risasi na Sniper wa IDF deliberately kwa makusudi akiwa anaripoti uvamizi wa IDF Jenin refugee camp WEST BANK.
Basi Sawa tuseme Gaza wakorofi haya kambi ya wakimbizi Jenin Occupied west bank ina tishio gani kwa Israel??
NILETEE USHAHIDI WA PALESTINA KUWACHOKOZA ISRAEL 2022 MPAKA IDF WAKAVAMIA JENIN REFUGEE CAMP.
nasubiri jibu
Kabla sijahoji chochote kuhusu hiyo habari.
Jikumbushe nilichokiondika. Mimi maongelea wafungwa, wewe unaleta hanari za Mahabusu?
Makosa hayo ya kutoona hoja ma logic umeendelea kuyafanya kwenye attachments nyimgine xote ulizoleta zikutetee.
Mgoja nikutakie uwe na wakati mwema tu.