Askari wa Israel wavua magwanda,wakimbia wakiacha wenzao waungue kwenye kifaru

Mtatengeneza picha za kila aina awamu hii ila mwisho wenu ndio huu🤣🤣🤣🤣
 
Israel kishashindwa hii vita toka siku ya kwanza, iliobakia anapambana na wagonjwa na watoto mahospitalini.

Sasa hivi yeye apigane na wagonjwa Gaza vijana wanamdunguwa kutokea nje.

Muisraeli Kaingizwa anapotakiwa awepo.
Umri wako haipendezwi na story za vijiweni.Watu wamejificha kwenye mahandaki kama panya wanapata wapi uwezo wa kudungua?Kinachowapa pumzi ni wale mateka wa israel tofauti na hapo wangeshapuliziwa sumu humo kwenye mashimo na kufutika.Magaidi lazima wafe hakuna namna nyingine.Vipi jana mliwakumbuka watu wa Sudan kwenye swala,au hao hawawahusu?
 
Urusi amepata hasara gani?wakati amechukua maeneo.

Hukuona namna alivyopoteza wanajeshi + tanks zake nyingi pamoja na magari ya kijeshi yaliyoingia ndani ya Ukraine na kulipuliwa...

Baadaye akaongeza nguvu ya wanamgambo wa Wagner ili kuweza pigana vita ya mtaani...
 
Elon musk kaongea Vizuri tu, Hamas ni Idea sio watu, mtoto alieuliwa baba yake Leo ndio Hamas wa Kesho, huwezi kupigana na idea kwa kuua watu.
Kwa hiyo ulitaka israel auliwe watu wake 1,400 akae asipigane kwa sababu hamas ni idea?Wacha kutu ile chuma mura
 
Kwa hiyo ulitaka israel auliwe watu wake 1,400 akae asipigane kwa sababu hamas ni idea?Wacha kutu ile chuma mura
Hesabu za Israel ni za kitapeli sana.Kila siku wanadurusu na kubadili namba.Sasa wanasema ni 1200 tu.Hata askari wao waliouliwa hawawezi kutoa namba halisi.
 

Shida wanatumika video za uongo wakati, kiongozi wa Hamas Al Sinwar kajificha Al Shifa. Israel akiibeba hiyo Hospitali mapigano yataisha rasmi.
 
Kwa Sasa mmekimbilia kwenye video game. Show ipo Al Shifa Hamas imekataza watu wasitoke. Ukikimbia unalimwa Shaba. Ngoja tuone mwisho itakuwaje.
 
Wewe jamaa muongo unaleta video ya Syria miaka hiyo. Acheni uongo usio na maana show ipo Al Shifa. Baada ya hapo ndipo mazungumzo yataanza.
 
Kwa hiyo ulitaka israel auliwe watu wake 1,400 akae asipigane kwa sababu hamas ni idea?Wacha kutu ile chuma mura
Tatizo huangalii tatizo, kama ni movie umeanza katikati halafu unajudge.

Kwanini Hamas waue 1400? Hilo ndio swali ulitakiwa ujiulize.
 
Tutawaua tu ..no way
Wewe nani anakujuwa?,myahudi akiwaona nyie ndiyo anawatemea makohozi.

Bisha.
Wewe mwanamke ,huna huruma na watoto w kipalestina wanaosababisha kifo na hamas kwa ajili udini wako.
Jiulize hiyo hospitali ya Al shifa IDF inapigana na wagonjwa, au madkatari na wauguzi. Uwe na huruma na watoto wa wenzao.
Kwani kabla ya Hamas kupata upenyo watoto walikuwa hawauliwi?
 
Lkn HAMAS lazima wachapwe tu
 
Mtatafta kila sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…