Askari wa Israel wavua magwanda,wakimbia wakiacha wenzao waungue kwenye kifaru

Askari wa Israel wavua magwanda,wakimbia wakiacha wenzao waungue kwenye kifaru

Nimeingia Hio page nimeperuzi tweet kama 20 sijaona stat yoyote ya vita zaidi ya propaganda tu, weka namba ama specific tweet inayoelezea, si kila mtu yupo free kama wewe aperuzi maelfu ya tweet kutafuta tweet moja.
zipo chini sana, nitakutafutia, na nitakuwekea hapa uone. kwenye page za IDF, MOSAD na ISRAEL. kuna makamanda kibao wamekuwa eliminated.
 
Tatizo huangalii tatizo, kama ni movie umeanza katikati halafu unajudge.

Kwanini Hamas waue 1400? Hilo ndio swali ulitakiwa ujiulize.
Kuia ni kuua tu Ostaz,hakuna justification kwenye kutoa uhai wa mtu.Waisrael hawana shida kucoexist na wapalestina shida vitabu vyenu havitaki mutual coexistance.Kwani kabla ya Waisrael ile ardhi wanayogombea ilikuwana umuhimu gani?Kuna nchi hasa syria ilishajitolea kuwapa ardhi Wapalestina sawa na ile lakini waliendelea kukomaa.Wale watu hawana shida na makazi wana shida na msikiti na kwa taarifa yako msikiti unaenda kuvunjwa kuondoazizi wa fitna
 
siku zote pressure toka nchi mbalimbali ndio huwa inawafanya wakae mezani. mnachonishangaza ni kwamba, vita ya lebanon kwa mfano Beirut na maeneo mengine yalichakazwa, magorofa yalifumuliwa na watu wengi kweli walikufa. kwa ratio, palipouliwa muisrael mmoja utakuta kuna wapalestina au walebanon sio chini ya 50 adi 100. sasaivi wapalestina waliouawa ni 11,000 wakati waisrael ni 1400 na magorofa ya hamas yamefumuliwa yote, na bado watu wanasema Israel ameshindwa vita. kipimo chenu huwa ni nini?
Ni aina ya watu wanaokufa. Mandonga akivamia shule ya watoto wa chekechea anaweza akatandika wote hata kama ni 1000 kisha akaja toa droo na mwanafunzi wa darasa la 7 kwa sababu ya uchovu wa kupiga wale wa chekechea. Je kwa hali hiyo mshindi ni nani? Wanafunzi ama mandonga
 
zipo chini sana, nitakutafutia, na nitakuwekea hapa uone. kwenye page za IDF, MOSAD na ISRAEL. kuna makamanda kibao wamekuwa eliminated.
Hio Twitter yako nimekuta hii picHa wametengeneza
F-qqPc0W4AAZpWw.jpeg

Kwamba Hao watoto Wapalestina wanakua ni Hamas ni wanahalalisha mauaji ya watoto na wanawa portray kama wayama.

Unasuport vipi vitu kama hivi?
 
Kuia ni kuua tu Ostaz,hakuna justification kwenye kutoa uhai wa mtu.Waisrael hawana shida kucoexist na wapalestina shida vitabu vyenu havitaki mutual coexistance.Kwani kabla ya Waisrael ile ardhi wanayogombea ilikuwana umuhimu gani?Kuna nchi hasa syria ilishajitolea kuwapa ardhi Wapalestina sawa na ile lakini waliendelea kukomaa.Wale watu hawana shida na makazi wana shida na msikiti na kwa taarifa yako msikiti unaenda kuvunjwa kuondoazizi wa fitna
Huu ni Uongo kabla ya Zionist kuja Taifa la Palestina walikaa Dini zote 3, aliekuja Kuharibu ni Zionist na sio hao Wapalestina.

Na ukumbuke kwa Maelfu Ya Miaka jews wanakaa kwenye Land za waisilamu, haijawahi tokea Miaka 1000 iliopita eneo lolote lile jew kukaa kwa Amani zaidi ya hizo Ardhi za waisilamu, maeneo yote walikua Wanateswa na hizi picha zinaonesha wakati wanakuja miaka ya 1940s

F9iSI99X0AAlBJd.jpeg

F8og6J7XcAAMK7i.jpeg
F8p5xE9bwAAndT3.jpeg

Leo hii Iran wakija kuchukua Tanzania ama Wa Oman halafu Kenya ikakubali kuchukua Raia wa Tanzania utakubali kuondoka Tanzania na kuacha Tanzania kwa Iran?
 
Allah huyu anaetoa vitisho na hawezi Fanya lolote

Koran 4:47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni,
kha! huyu mungu wao!
 
Back
Top Bottom