Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
zipo chini sana, nitakutafutia, na nitakuwekea hapa uone. kwenye page za IDF, MOSAD na ISRAEL. kuna makamanda kibao wamekuwa eliminated.Nimeingia Hio page nimeperuzi tweet kama 20 sijaona stat yoyote ya vita zaidi ya propaganda tu, weka namba ama specific tweet inayoelezea, si kila mtu yupo free kama wewe aperuzi maelfu ya tweet kutafuta tweet moja.
Na Maiti zao ama ni makamanda tu kwa jina ambao hata hawa exist?zipo chini sana, nitakutafutia, na nitakuwekea hapa uone. kwenye page za IDF, MOSAD na ISRAEL. kuna makamanda kibao wamekuwa eliminated.
Kuia ni kuua tu Ostaz,hakuna justification kwenye kutoa uhai wa mtu.Waisrael hawana shida kucoexist na wapalestina shida vitabu vyenu havitaki mutual coexistance.Kwani kabla ya Waisrael ile ardhi wanayogombea ilikuwana umuhimu gani?Kuna nchi hasa syria ilishajitolea kuwapa ardhi Wapalestina sawa na ile lakini waliendelea kukomaa.Wale watu hawana shida na makazi wana shida na msikiti na kwa taarifa yako msikiti unaenda kuvunjwa kuondoazizi wa fitnaTatizo huangalii tatizo, kama ni movie umeanza katikati halafu unajudge.
Kwanini Hamas waue 1400? Hilo ndio swali ulitakiwa ujiulize.
Ni aina ya watu wanaokufa. Mandonga akivamia shule ya watoto wa chekechea anaweza akatandika wote hata kama ni 1000 kisha akaja toa droo na mwanafunzi wa darasa la 7 kwa sababu ya uchovu wa kupiga wale wa chekechea. Je kwa hali hiyo mshindi ni nani? Wanafunzi ama mandongasiku zote pressure toka nchi mbalimbali ndio huwa inawafanya wakae mezani. mnachonishangaza ni kwamba, vita ya lebanon kwa mfano Beirut na maeneo mengine yalichakazwa, magorofa yalifumuliwa na watu wengi kweli walikufa. kwa ratio, palipouliwa muisrael mmoja utakuta kuna wapalestina au walebanon sio chini ya 50 adi 100. sasaivi wapalestina waliouawa ni 11,000 wakati waisrael ni 1400 na magorofa ya hamas yamefumuliwa yote, na bado watu wanasema Israel ameshindwa vita. kipimo chenu huwa ni nini?
Hio Twitter yako nimekuta hii picHa wametengenezazipo chini sana, nitakutafutia, na nitakuwekea hapa uone. kwenye page za IDF, MOSAD na ISRAEL. kuna makamanda kibao wamekuwa eliminated.
Huu ni Uongo kabla ya Zionist kuja Taifa la Palestina walikaa Dini zote 3, aliekuja Kuharibu ni Zionist na sio hao Wapalestina.Kuia ni kuua tu Ostaz,hakuna justification kwenye kutoa uhai wa mtu.Waisrael hawana shida kucoexist na wapalestina shida vitabu vyenu havitaki mutual coexistance.Kwani kabla ya Waisrael ile ardhi wanayogombea ilikuwana umuhimu gani?Kuna nchi hasa syria ilishajitolea kuwapa ardhi Wapalestina sawa na ile lakini waliendelea kukomaa.Wale watu hawana shida na makazi wana shida na msikiti na kwa taarifa yako msikiti unaenda kuvunjwa kuondoazizi wa fitna
kha! huyu mungu wao!Allah huyu anaetoa vitisho na hawezi Fanya lolote
Koran 4:47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni,