inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Thibitisha kuwa hayupo(kwamba universe na viumbe vyake vyote no ajali na si by design)Thibitisha kwanza kama mungu yupo?
sihitaji degree kutambua picha hio ni fake kuanzia blood splashing, contact ya wanajeshi waliosimama, watu waliokufa inaonyesha.
Halafu Thibitisha mungu yupo?
Hakuna dalili ya kutengenezwa.Ile ya kufisalimisha nimeona mashirika ya habari ya nje wakiitilia shaka na kuzusha maswali mengi.hizo ni picha za kutengeneza. though ni kweli kila siku wanapoteza wawili au watatu, na wanawatangaza. ila hamas uko wanapukutika hadi wengine wamejisalimisha ili wakachinjwe polepole. maisha matamu aisee, jamaa wanajifanyaga wabaabe na wakifa wanaenda kupewa ile zawadi ya 72 bikra, ila kuusogelea mlango wa kifo wanaogopa hadi wamesalenda na kupakiwa kwenye roli kama kuku wa kisasa. na wamepelewa machinjoni.
Unasikiliza propanda za Israel kuwa wameiteka Gaza.Hayo makombora yaliyopiga Ben Gurion airport juzi yametoka huko huko Gaza ya kaskazini ambako kuna mitaa mingi IDF wameamua wasiende kwanza.jamaa anataka kumanisha hamas ndio hao waliosimama na bunduki. hakuna hata hamas mmoja anayetokea sehemu ya wazi, kila sehemu kuna wanajeshi wa israel. hamas wamejificha kwenye mahandaki,wanatoka tu ghafla na kupora chakula cha msaada na kuingia nacho kwenye mashimo.
Wewe mfuasi wa chadema unakumbuka mbowe alivyolazwa na wauaji Mahabusu?Malengo bado, Netanyau amesema anataka kuwafuta kabisa na kurudisha mateka.
Awali ilikuwa kulipiza kisasi, alipo onyeshwa yale mauaji ya 7/10 kwafi** wanajeshi wa IDF, alisema anawafuta sasa bado kabisa.
So far Israel imeua magaidi ya HAMAS 15,000 [elfu kumi na tano tu], hapo bado kabisa, nina uhakika wakifika walau watu elfu 30 ndio Israel atapozi kidogo.
Wewe Mwehu sana. Mkiristo weye punguani sanaPropaganda
Aliyeteswa na Wayahudi ambao leo hii ndio wanawashabikia!Yesu yupi? Huyo mliomtesa?
Si kazi yangu, aliyesema ndio kazi yake kuthibitisha.Thibitisha kuwa hayupo(kwamba universe na viumbe vyake vyote no ajali na si by design)
Njoo kwa Yesu upone na jehanamuKafiri tulia,au umeshanyweshwa maji ya upako na chumvi?
mimi nakula na kushiba,nalala na kuamka,Namshukuru Allah kwa wingi.Mimi nawafikiria zaidi kazi wanayoifanya Hamas.Jipe muda kidogo kaa mbali na simu au kifaa chochote kinachokuwezesha kupata hizi habari. Jipe hata wiki moja kaa sehemu utulie na uswali sana uenda Allah akakusikiliza na kukupa ufahamu mpya.
Itakusaidia kwa ajili ya afya yako na ya familia yako. Aya unayopost humu kila siku nafikiri si mazuri kwa afya yako ya akili na kimwili pia.
Asante
Huna akili wewe.Njoo kwa Yesu upone na jehanamu
😄 🤣 😂Wenzako wanakufa kwa maelfu wewe upo nyuma ya keyboard unapiga propaganda ambazo hazitasaidia chochote.Mpaka sasa magaidi zaidi ya 7000 yamewahishwa jehanamu upesi,palestina lazima iwe huru kutoka mikono ya magaidi ili raia wema waishi kwa amani.
Usije sema sikukuambia,kwaheri.Huna akili wewe.
Kwenye vita usitegemee urahisi,urusi anataabika na Ukraine mwaka wa pili huu nani alitegemea?.😄 🤣 😂
Netanyahu anapigwa na viatu Israel yeye na mkewe na mawaziri zake wako ndani, unakumbuka mwanzo wa vita kila saa anawaita wandishi wa habari na anaongea kama vile yeye ndiye Superpower hakuna wakumchezea leo yuko ndani akitoka anarushiwa viatu Hamasi wamemdhalilisha sana😄
Afuya ya akili, na huenda ulizaliwa premature , wapi nimezungumzia siasa za Tanganyika?Wewe mfuasi wa chadema unakumbuka mbowe alivyolazwa na wauaji Mahabusu?
Unaandika kutokea wapi uncle?😄 🤣 😂
Netanyahu anapigwa na viatu Israel yeye na mkewe na mawaziri zake wako ndani, unakumbuka mwanzo wa vita kila saa anawaita wandishi wa habari na anaongea kama vile yeye ndiye Superpower hakuna wakumchezea leo yuko ndani akitoka anarushiwa viatu Hamasi wamemdhalilisha sana😄
Wewe unayesema hakuna designer na creator,unatakiwa kuthibitsha hiloSi kazi yangu, aliyesema ndio kazi yake kuthibitisha.
Unanipata?
Wewe utakua na matatizo ya kiakili sio bure.Usije sema sikukuambia,kwaheri.
Hakuna mwenye matatizo ya akili atakueleza habari njema za kuokoa nafsi yako.Wewe utakua na matatizo ya kiakili sio bure.
Ameleta stori za mungu, nikasema hayupo,Wewe unayesema hakuna designer na creator,unatakiwa kuthibitsha hilo