Pre GE2025 Askari wa Jeshi la Polisi athibitisha jinsi wanavyosaidia kuiba kura ili CCM ibaki madarakani, ni aibu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Afukuzwe kazi mbwa huyu
 
Katika mazingira haya Mwakubusi alisema vyama vya upinzani havijajipanga kuchukua nchi kweli? watafanyaje wamebanwa kila kona na vyombo! no fair ground. Mwakubusi review kauli yako,au wape suluhisho.
Yes nakuunga mkono
 
Tujikumbushe na hii pia. Internet haisahau
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ