Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Acha haraka za kutoa lawama, marehemu huwa atupiwi lawama, haaaa.Dada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Changu wa Madale katika ubora wake.Ucha haraka za kutoa lawama, marehemu huwa atupiwi lawama, haaaa.
Tulia wewe.Changu wa Madale katika ubora wake.
😅😅 ila hao walioana mtu na ndugu yake, wote wa kule kuleDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Ijapokuwa ni ukweli hapa utatukanwaaaDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Wacha wamalizane wao kwa wao.😅😅 ila hao walioana mtu na ndugu yake, wote wa kule kule
Kwa kweli ila mapenzi ni upofu,ukipenda unasahau hata kabla yaani...Mahaba niue.Dada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Malipo gani mkuu, kama kufa ndo lilikuwa lengo lake ndiyo maana alikunywa somo, hitaji lake limetimizwaHapo ndo pale unapoamini kuwa malipo ni hapa hapa duniani.
Mungu amlaze mahali panapostahili muuaji.
🤣🤣🤣Changu wa Madale katika ubora wake.