Fadhilim
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 362
- 303
Mkubwa malipo ni hicho kifo, maana hata asingekunywa sumu hukumu ya kuua iko wazi.Malipo gani mkuu, kama kufa ndo lilikuwa lengo lake ndiyo maana alikunywa somo, hitaji lake limetimizwa
Hivyo akaona ni bora ajihukumu mapema tu kabla kesi haijaanza kurindima mahakamani.