Askari wa JWTZ aliyemuua Mkewe na yeye afariki Dunia akipatiwa matibabu

Askari wa JWTZ aliyemuua Mkewe na yeye afariki Dunia akipatiwa matibabu

ila wanawake sumtimes muwe mnaangalia maana mi nitawalaumu siku zote kwa kutaka usiku na mchana kwa wakati mmoja
Hakuna Mwanaume niliyekuwa na 'Wivu' wa Kimapenzi ulimwenguni kama Mimi GENTAMYCINE ila kuna Siku nakumbuka 'Wivu' ulinishika na Kupandwa na Hasira zangu 'Mchanganyiko' za Kizanaki na Kimakuwa hadi kutaka kufanya tukio baya kwa Mhusika ila nilikutana na Mwanamama Mmoja hivi ambapo alinipa Wosia na Elimu kuhusu Wanawake ambapo nilimwelewa na Kumshukuru mno. Kwa Elimu niliyopewa na Yule Mama leo hii hata nikute Demu au Mke wangu 'anatombwa' wala sishtuki au sitomdhuru Mtu sana sana nitaishia Kumpongeza 'Mtombaji' tu.
 
Jana usiku kuna jirani yangu alikuwa anagombana na mke wake, yule Dada alikuwa amekasirika anaporomosha mitusi ya kila aina mitusi mingine mikubwa sio ya nchi hii. Mume alipandwa na jazba akawa anampiga mingumi nusu aue, majirani tuliwahi kwenda kumuokoa.

Nilichojifunza ni kuwa wanawake huwa wanaponzwa na mdomo, badala ya kujishusha na kuomba msamaha wao wanatabia ya kujiongezea tatizo.

Kuna wanaume hawapendi kudhalilishwa na mke. Chanzo cha kifo cha mke huwa kinasababishwa na mke mwenyewe kujifanya ana ubavu wa kupindua meza kibabe.

Rest in peace mume, ukikutana na mkeo huko uendako sijui ugomvi wenu utahukumiwa vipi!. Ila kwa watoto wenu mliowaacha kuna uwezekana watakuja kuwa na matukio kama hayo mliyoyafanya, mungu awasaidie.
 
Hakuna Mwanaume niliyekuwa na 'Wivu' wa Kimapenzi ulimwenguni kama Mimi GENTAMYCINE ila kuna Siku nakumbuka 'Wivu' ulinishika na Kupandwa na Hasira zangu 'Mchanganyiko' za Kizanaki na Kimakuwa hadi kutaka kufanya tukio baya kwa Mhusika ila nilikutana na Mwanamama Mmoja hivi ambapo alinipa Wosia na Elimu kuhusu Wanawake ambapo nilimwelewa na Kumshukuru mno. Kwa Elimu niliyopewa na Yule Mama leo hii hata nikute Demu au Mke wangu 'anatombwa' wala sishtuki au sitomdhuru Mtu sana sana nitaishia Kumpongeza 'Mtombaji' tu.
Ila mkuu uliliongelea vizuri sana katika ule uzi wako....

MAPUNGUFU tu ulitaja huyo mwanamke kuwa ni hawa dada "wa ngoma kila uchao"....wacha tuponde....kumbe ulisahau kuandika JINA LAKE LA KATI...🤣
 
Mapoti ,wajeda Ni washamba wa mapenz Sana sijui tatizo Ni Nini

Au kwavile wanakaa Sana kazin kwao hata muda wa kujichanganya wanakosa?

Ni wajinga Sana linapokuja swala la mapenz alaf Wana shobo Sana wakijaga kitaa na kombat zao wanajiona wapo juu ya dunia na madem vile wanajua jamaa wanajua kuhonga basi wanawashobokea Sana wanapigwa pesa na mbunye wanaambulia manyoya ,wakal wa kitaa tunakula bure bure kabisa.

Wanaosema mapenz Ni stamina inabid wajiulize Sana kwann hivi visanga vinawatokea Sana hawa jamaa wazee wa mtizi muda wote?

Mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu mapenz sio kukaa kifuan lisaa lizima ,Dem akikuelewa dakika 10 had 15 zinatosha Sana kumridhisha .

Sasa una mazoez na stamina za kutosha alaf unanuka mdomo au una kijasho fulan Cha kukera ,Nan atakuwa na hisia na wewe Zaid ya kukupiga pesa tu.

Narudia Tena mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu ,wajeda na mapot wanaoa wanawake kwa nguvu ya tuposho twao twa uhakika kila mwez nje na hapo wanatombewa Sana wake zao na Nina ushahid wa hili maana nishawala mapot Kama wawil na mjeda mmoja pot mmoja mke wa pot mwenzie na mjeda nae mme wake mjeda ,pot wa pil alikuwa hajaoelewa ila ana mchumba pot mwenzie lakin nikawa najisavia kimtindo Tena bills zote kwao wao .

Mapot na wajeda punguzen unabe kwenye mapenz ,mapenz Ni utaratib wa Hali ya juu msome mwenzio anataka nn Zaid mtakufa Sana kwa wivu wa kikuda.
 
Lugalo si wana nguvu sana ya utaalamu wa tiba kuliko Mloganzila!!!
Ungeniambia wana nguvu tu ya Kutangaza Taarifa ( Habari ) za Kifo cha Mgonjwa wako ningekuelewa tena kwa 100% ila kwa sasa hawako vyema.
 
kwa kuwa amewadhalilisha, je! hiyo maiti mutaisafirisha au mutaitupa makaburi yeyote?

dah marehemu amewakhanithi wahaya wote kwa kuunga mkono juhudi za mama tukinao
Tena Mimi nitaingia mapema tu hapo 'Mochwari' ambapo 'Rafiki' yangu ni Mmoja wa 'Mortuary Attendants' anipe ruhusa niipige 'Kibao' Maiti yake.
 
Malipo gani wakati watoto wamebaki wanateseka hawana wazaz
Watoto ndo hivyo watateseka. Ila huyu kamanda aliyeua kuna adhabu ipi Tanzania zaidi ya hiyo aliyojichagulia mwenyewe.
Maana hata tukija sheria zetu linapokuja suala la kuua hakuna excuse ya kuwa na familia, hususani ukiua kwa kukusudia.
 
Jana usiku kuna jirani yangu alikuwa anagombana na mke wake, yule Dada alikuwa amekasirika anaporomosha mitusi ya kila aina mitusi mingine mikubwa sio ya nchi hii. Mume alipandwa na jazba akawa anampiga mingumi nusu aue, majirani tuliwahi kwenda kumuokoa.

Nilichojifunza ni kuwa wanawake huwa wanaponzwa na mdomo, badala ya kujishusha na kuomba msamaha wao wanatabia ya kujiongezea tatizo.

Kuna wanaume hawapendi kudhalilishwa na mke. Chanzo cha kifo cha mke huwa kinasababishwa na mke mwenyewe kujifanya ana ubavu wa kupindua meza kibabe.

Rest in peace mume, ukikutana na mkeo huko uendako sijui ugomvi wenu utahukumiwa vipi!. Ila kwa watoto wenu mliowaacha kuna uwezekana watakuja kuwa na matukio kama hayo mliyoyafanya, mungu awasaidie.
Na ndiyo maana Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunaojijua kuwa tuna Hasira za Kishalubela ( Kikatili ) tumeshaapa kuwa hatutakuja Kuoa tena.
 
Mapoti ,wajeda Ni washamba wa mapenz Sana sijui tatizo Ni Nini

Au kwavile wanakaa Sana kazin kwao hata muda wa kujichanganya wanakosa?

Ni wajinga Sana linapokuja swala la mapenz alaf Wana shobo Sana wakijaga kitaa na kombat zao wanajiona wapo juu ya dunia na madem vile wanajua jamaa wanajua kuhonga basi wanawashobokea Sana wanapigwa pesa na mbunye wanaambulia manyoya ,wakal wa kitaa tunakula bure bure kabisa.

Wanaosema mapenz Ni stamina inabid wajiulize Sana kwann hivi visanga vinawatokea Sana hawa jamaa wazee wa mtizi muda wote?

Mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu mapenz sio kukaa kifuan lisaa lizima ,Dem akikuelewa dakika 10 had 15 zinatosha Sana kumridhisha .

Sasa una mazoez na stamina za kutosha alaf unanuka mdomo au una kijasho fulan Cha kukera ,Nan atakuwa na hisia na wewe Zaid ya kukupiga pesa tu.

Narudia Tena mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu ,wajeda na mapot wanaoa wanawake kwa nguvu ya tuposho twao twa uhakika kila mwez nje na hapo wanatombewa Sana wake zao na Nina ushahid wa hili maana nishawala mapot Kama wawil na mjeda mmoja pot mmoja mke wa pot mwenzie na mjeda nae mme wake mjeda ,pot wa pil alikuwa hajaoelewa ila ana mchumba pot mwenzie lakin nikawa najisavia kimtindo Tena bills zote kwao wao .

Mapot na wajeda punguzen unabe kwenye mapenz ,mapenz Ni utaratib wa Hali ya juu msome mwenzio anataka nn Zaid mtakufa Sana kwa wivu wa kikuda.
Nakupa ONYO KALI kama Wewe huna Utani wa 'Kikabila' na Watani zetu Wakubwa niliowataja hapo juu futa upesi hizi 'Kashfa' zako tukuka Kwetu.
 
Back
Top Bottom