Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Kabisa mamiie... kifo ni kigum mno kwa vijana wadogo namna hiyo.. wanaacha watoto yatima..Dunia ni kubwa sana, kama hutaki kumuona mtu hama Kaanze maisha mapya.
You better go and start afresh kwa kwel.. it has never been too late...
And btw ukute hata huyo jamaa nae amekula wengine sana tu......
Unaelewa nao muhim...