hakuna uchawi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 661
- 677
Hujawahi kuoa ukaona hawa watu wanavyo keraDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kuoa ukaona hawa watu wanavyo keraDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Wakurya wamefanyaje alichomwa mtu kwa magunia mawili ya mkaa sikusikia mkilalamikia lile kabila.Wakurya bana
Tuelezee kidogo juu ya hyo elimu mkuu. Unaweza kutusaidia wengiHakuna Mwanaume niliyekuwa na 'Wivu' wa Kimapenzi ulimwenguni kama Mimi GENTAMYCINE ila kuna Siku nakumbuka 'Wivu' ulinishika na Kupandwa na Hasira zangu 'Mchanganyiko' za Kizanaki na Kimakuwa hadi kutaka kufanya tukio baya kwa Mhusika ila nilikutana na Mwanamama Mmoja hivi ambapo alinipa Wosia na Elimu kuhusu Wanawake ambapo nilimwelewa na Kumshukuru mno...
Kabisaa.Tungependa kusikiaTuelezee kidogo juu ya hyo elimu mkuu.Unaweza kutusaidia wengi
Yep, alikuwa anaishi Mlandizi, namfahamu vizuri marehemu.92 kj ni kikosi cha makomandoo...inamaana jamaa alikua ni comandoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndiyo maana Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunaojijua kuwa tuna Hasira za Kishalubela ( Kikatili ) tumeshaapa kuwa hatutakuja Kuoa tena.
Ngoja tumalize 'Msiba' Kwanza tafadhali.Tuelezee kidogo juu ya hyo elimu mkuu.Unaweza kutusaidia wengi
Walikuwa wamekutana kopo na mfuniko walichaguana vyemaDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Wewe Sisi wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) au unatafuta tu Ugomvi nasi kisha uuone pia na 'Ubabe' wetu hapa hapa JF ulipo?
kuna kesi nyingi tu za kuuana ambazo hazijahusisha wakurya mfano ile ya ufoo saroDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
kuna kesi nyingi tu za kuuana ambazo hazijahusisha wakurya mfano ile ya ufoo saro
Walikuwa wamekutana kopo na mfuniko walichaguana vyema
Hujawahi kuoa ukaona hawa watu wanavyo kera
Ataagwa kesho Lugalo Jeshini kabla ya mwili kusafirishwa kwa maziko Mkoani Mara.
Alilazwa Hospitali ya Mloganzila kwa Matibabu baada ya kunywa sumu.
Marehemu Daniel Mirumbe Marwa alikuwa Askari wa Kikosi cha Jeshi 92 KJ na mkewe aliyemuua aliitwa Joyce Ismail Bhoke.
Marehemu hao wameacha Watoto 3.
Pia soma: Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio
Huyu alitakiwa kuzikwa na manispaaHafai kuagwa huyu
Ova