Mapoti ,wajeda Ni washamba wa mapenz Sana sijui tatizo Ni Nini
Au kwavile wanakaa Sana kazin kwao hata muda wa kujichanganya wanakosa?
Ni wajinga Sana linapokuja swala la mapenz alaf Wana shobo Sana wakijaga kitaa na kombat zao wanajiona wapo juu ya dunia na madem vile wanajua jamaa wanajua kuhonga basi wanawashobokea Sana wanapigwa pesa na mbunye wanaambulia manyoya ,wakal wa kitaa tunakula bure bure kabisa.
Wanaosema mapenz Ni stamina inabid wajiulize Sana kwann hivi visanga vinawatokea Sana hawa jamaa wazee wa mtizi muda wote?
Mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu mapenz sio kukaa kifuan lisaa lizima ,Dem akikuelewa dakika 10 had 15 zinatosha Sana kumridhisha .
Sasa una mazoez na stamina za kutosha alaf unanuka mdomo au una kijasho fulan Cha kukera ,Nan atakuwa na hisia na wewe Zaid ya kukupiga pesa tu.
Narudia Tena mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu ,wajeda na mapot wanaoa wanawake kwa nguvu ya tuposho twao twa uhakika kila mwez nje na hapo wanatombewa Sana wake zao na Nina ushahid wa hili maana nishawala mapot Kama wawil na mjeda mmoja pot mmoja mke wa pot mwenzie na mjeda nae mme wake mjeda ,pot wa pil alikuwa hajaoelewa ila ana mchumba pot mwenzie lakin nikawa najisavia kimtindo Tena bills zote kwao wao .
Mapot na wajeda punguzen unabe kwenye mapenz ,mapenz Ni utaratib wa Hali ya juu msome mwenzio anataka nn Zaid mtakufa Sana kwa wivu wa kikuda.