mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Badala ya kuwaambia watunze papuchi zao kwa ajili ya waume zao unawaambia wasiolewe na makabila flan
Hahaha tulia bhasss sweetheart.Hivi na wewe ulienda jeshi kidogo?
Maana huo mwili[emoji85][emoji2098]
Nijibu basiHahaha tulia bhasss sweetheart.
Apo jamaa aliyekuwa anajipigia mkewe bado anaishi tu freshSasa mwanajeshi unajiuaje kwa wivu!
Mi nilitegemea Hawa jamaa wawe na roho ngumu ya kuvumilia maumivu Kama paka,sasa unajiua Tena?
Unaweza ukatoa kipigo,lakini kuua !Tena mwanamke,mkeo,ungemtsfuta mgoni wako,ukampa kipigo Cha mbwa mwizi,kimya kimya,Kama bokoharam,harafu unaturia.
Acha ushamba weweNa ndiyo maana Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunaojijua kuwa tuna Hasira za Kishalubela ( Kikatili ) tumeshaapa kuwa hatutakuja Kuoa tena.
Ni text whatsappNijibu basi
Maana nakuogopa[emoji85][emoji2098]
Hivi hujapata jibu kwanini nakuogopa?[emoji1787][emoji1787]
Hujawahi kufikwa na maumivu ya mapenzi wewe.Sasa mwanajeshi unajiuaje kwa wivu!
Mi nilitegemea Hawa jamaa wawe na roho ngumu ya kuvumilia maumivu Kama paka,sasa unajiua Tena?
Unaweza ukatoa kipigo,lakini kuua !Tena mwanamke,mkeo,ungemtsfuta mgoni wako,ukampa kipigo Cha mbwa mwizi,kimya kimya,Kama bokoharam,harafu unaturia.
Haha Leo ndio nimegundua Siri😆Nijibu basi
Maana nakuogopa[emoji85][emoji2098]
Hivi hujapata jibu kwanini nakuogopa?[emoji1787][emoji1787]
Uko sahihi kwa upande fulani,ila tusihuku jamii nzima ya watu kwa kosa la mtu mmojaDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Wewe ulikuwa 'Mjanja' lini?Acha ushamba wewe
Unatisha mwanangu [emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]Haha Leo ndio nimegundua Siri[emoji38]
Komando gani mjingaa anakufa kwa ajili ya mapenzi92 kj ni kikosi cha makomandoo...inamaana jamaa alikua ni comandoo
Nitext wewe .Ni text whatsapp
Yeah MelkioryJon Stefano
Kuweni na Heshima kidogo kwa Marehemu kama GT. Linapofika suala la Mapenzi usihukumu mwenzio kws alichotenda, kikubwa tuombeane heri.Komando gani mjingaa anakufa kwa ajili ya mapenzi
Kule Kigamboni kuna Mchagga kabanika mwili wa mkewe kwa Mkaa gunia 7, Komandoo huyu kaua kwa Kipigo, nani katili zaidi! Tuache kutumia msiba huuu kukashifu wenzetu.Dada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
kwani mleta mada ametaja kabila kasema waolewe na wachagga? mbona unawashwa washwa weweKule Kigamboni kuna Mchagga kabanika mwili wa mkewe kwa Mkaa gunia 7, Komandoo huyu kaua kwa Kipigo, nani katili zaidi! Tuache kutumia msiba huuu kukashifu wenzetu.
Kwani nawewe Mchaga Mkuu! Am deeply sorrykwani mleta mada ametaja kabila kasema waolewe na wachagga? mbona unawashwa washwa wewe