Ukweli ni kuwa, wakurya mmezidi maana Latina matukio kumi 7 ni ya kwenu.Huu upuuzi wa kutusema vibaya humu ndani uishe kuanzia leo. Kwani kuna matukio mangapi yametokea ya watu kuuana ya makabila mbalimbali hamsemi au ndio kuleta shobo na wakurya ili na wewe ujulikane hapa unatujua sana sisi wakurya? Tuachane kama tulivyo kwanza sisi wakurya ni kabila dogo sana hapa Tanzania ila linawanyima usingizi hii inadhihirisha kwamba kweli sisi ni wanaume kwelikweli mtuache sasa.
kwahiyo sio makosa yake na hatahukumiwa kwa hilo, maana si alipangiwa au!?Alipangiwa kufa hivyo pindi tu alipozaliwa.
Fanyeni kazi!
Muraa umeongea cha ukwerii kabhisa.Sasa mwanajeshi unajiuaje kwa wivu!
Mi nilitegemea Hawa jamaa wawe na roho ngumu ya kuvumilia maumivu Kama paka,sasa unajiua Tena?
Unaweza ukatoa kipigo,lakini kuua !Tena mwanamke,mkeo,ungemtsfuta mgoni wako,ukampa kipigo Cha mbwa mwizi,kimya kimya,Kama bokoharam,harafu unaturia.
Na ndio tayari imehalalishwa mkuu.Bangi ni mbaya sana.
Nadhani wanamuaga sababu hataonekana tena Dasarama hapo.Anaagwa kwa sababu zipi huyu?
Yeye ujinga wake ni nini? Yeye katupa elimu kidogo kuwa 92Kj Ni kikosi cha makomadoo. Nadhani naye huyu jamaa ni Askari wa Jw au raia wa Kizuka au Ngerengere.Komandoo kipensi au... kifo hakina mjanja acheni ujinga
aisee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mapoti ,wajeda Ni washamba wa mapenz Sana sijui tatizo Ni Nini
Au kwavile wanakaa Sana kazin kwao hata muda wa kujichanganya wanakosa?
Ni wajinga Sana linapokuja swala la mapenz alaf Wana shobo Sana wakijaga kitaa na kombat zao wanajiona wapo juu ya dunia na madem vile wanajua jamaa wanajua kuhonga basi wanawashobokea Sana wanapigwa pesa na mbunye wanaambulia manyoya ,wakal wa kitaa tunakula bure bure kabisa.
Wanaosema mapenz Ni stamina inabid wajiulize Sana kwann hivi visanga vinawatokea Sana hawa jamaa wazee wa mtizi muda wote?
Mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu mapenz sio kukaa kifuan lisaa lizima ,Dem akikuelewa dakika 10 had 15 zinatosha Sana kumridhisha .
Sasa una mazoez na stamina za kutosha alaf unanuka mdomo au una kijasho fulan Cha kukera ,Nan atakuwa na hisia na wewe Zaid ya kukupiga pesa tu.
Narudia Tena mapenz Ni hisia kat ya mtu na mtu ,wajeda na mapot wanaoa wanawake kwa nguvu ya tuposho twao twa uhakika kila mwez nje na hapo wanatombewa Sana wake zao na Nina ushahid wa hili maana nishawala mapot Kama wawil na mjeda mmoja pot mmoja mke wa pot mwenzie na mjeda nae mme wake mjeda ,pot wa pil alikuwa hajaoelewa ila ana mchumba pot mwenzie lakin nikawa najisavia kimtindo Tena bills zote kwao wao .
Mapot na wajeda punguzen unabe kwenye mapenz ,mapenz Ni utaratib wa Hali ya juu msome mwenzio anataka nn Zaid mtakufa Sana kwa wivu wa kikuda.
Ahaa haaaa na sisi tunasema mkurya Safi na aliyestaarabika ni Yule aliyekufaNa alichonikera zaidi ni 'Poti' wangu kabisa yaani bora hata angekuwa tu ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara Mkuu.
Muuaji wa nini kumuuga?Nadhani wanamuaga sababu hataonekana tena Dasarama hapo.
Huyo ni poti kabisa, kijijini kwao ndio kijijini kwetu, kijiji cha masurura wilayani butiama. Baba yake alikuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa mara ( mirumbe warioba). Poti ni mdogo wake joshua mirumbe marwa aliyekuwa mkuu wa wilaya ya bunda. Yaani poti huyu alifanya kosa la kujidharilisha kabisaNa alichonikera zaidi ni 'Poti' wangu kabisa yaani bora hata angekuwa tu ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara Mkuu.
haya ni mahaba tuueKwa kweli ila mapenzi ni upofu,ukipenda unasahau hata kabla yaani...Mahaba niue.
Kweli kabisaDunia ni kubwa sana, kama hutaki kumuona mtu hama Kaanze maisha mapya.
Ni binadamu anastahili heshima yake kama mwanadamu regardless alochofanya,mwisho Wa siku Mungu ndo atatoa hukumu boss.Muuaji wa nini kumuuga?
Una mkwala bushmumyEmbu jaribu uje uonje penzi langu halafu nikupige chini tuone kama hitojitundika
Hivi na wewe ulienda jeshi kidogo?Yep, alikuwa anaishi Mlandizi, namfahamu vizuri marehemu.
Badala ya kuwaambia watunze papuchi zao kwa ajili ya waume zao unawaambia wasiolewe na makabila flanDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.