Askari wa JWTZ aliyemuua Mkewe na yeye afariki Dunia akipatiwa matibabu

Ukweli ni kuwa, wakurya mmezidi maana Latina matukio kumi 7 ni ya kwenu.
 
Muraa umeongea cha ukwerii kabhisa.
 
Komandoo kipensi au... kifo hakina mjanja acheni ujinga
Yeye ujinga wake ni nini? Yeye katupa elimu kidogo kuwa 92Kj Ni kikosi cha makomadoo. Nadhani naye huyu jamaa ni Askari wa Jw au raia wa Kizuka au Ngerengere.
 
aisee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Na alichonikera zaidi ni 'Poti' wangu kabisa yaani bora hata angekuwa tu ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara Mkuu.
Ahaa haaaa na sisi tunasema mkurya Safi na aliyestaarabika ni Yule aliyekufa
 
Na alichonikera zaidi ni 'Poti' wangu kabisa yaani bora hata angekuwa tu ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara Mkuu.
Huyo ni poti kabisa, kijijini kwao ndio kijijini kwetu, kijiji cha masurura wilayani butiama. Baba yake alikuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa mara ( mirumbe warioba). Poti ni mdogo wake joshua mirumbe marwa aliyekuwa mkuu wa wilaya ya bunda. Yaani poti huyu alifanya kosa la kujidharilisha kabisa
 
Wivu wa mapenzi bana
Utakuta huyo Mwanamke hakosi kuwa na
Chra

Ova
 
Mapenzi ni kizungumkuti, heri kuwa single milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…