Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

Askari wengi tena wengi sana wanaoa malaya tatizo linaanzia hapo ila CDO nae kazingua wiki ya ngapi hii unaua mwanamke.
Duuh...

Sababu zipi zinapelekea wao kuwaoa hao "mayaala"?!!
 
Wana ndoa once again, jamani mkienda kwenye ibada muwe mnatuombea maana hali ni tete...
 
Wana ndoa once again,jamani mkienda kwenye ibada muwe mnatuombea maana hali ni tete...
Kuombewa nini?!!

Kila siku ibada zinafanyika...
Kila uchao maombi yapo....

Yatakuwepo pia baada yetu kuondoka duniani...🤣
 
Mkuu mbona ndoa ni kama kironge cha CHLOROQUINE tu..
Kichungu ila "kinatibu"🤣

Maisha ni safari....
Tiba yenyewe ndio Kama hiyo aliyoipata huyo mwanajeshi au sio 😄 ana kwenda jela sasa
 
Sumu ya nini huyu Afande!
Angeenda amourer achukue AK 47 amalize mchezo.
 
Duuh...

Sababu zipi zinapelekea wao kuwaoa hao "mayaala"?!!
Mazingira ya kazi zao muda mwingi wapo mbali na home na starehe ndio furaha ya askari kwa kazi ngumu anazofanya kwahiyo wanawake wazuri ambao wenye tabia za umalaya wanakua cheap sana kuwapata mwishowe ananogewa kwa muda mfupi anaoa chap chap. Kumbuka muda wa kukaa na huyu hana, muda mwingi yupo kozi, uhamishoni au operation mbalimbali.
 
Mazingira ya kazi zao mda mwingi wapo mbali na home na starehe ndio furaha ya askari kwa kazi ngumu anazofanya kwaiyo wanawake wazuri ambao wenye tabia za umalaya wanakua cheap sana kuwapata mwishowe ananogewa kwa mda mfupi anaoa chap chap. Kumbuka mda wa kukaa na huyu hana mda mwingi yupo kozi,uhamishoni au operation mbalimbali.
👍
 
Haya mambo kama hujawahi pitia utaongea kirahisi sanaa ilaa inauma sanaa mwanamke kusaliti hata kama mwanaume una mademu kadhaa wa siri ilaa sio mke wako uliyemuoa akucheat. Kiufupi inahitaji moyo wa kijasiri kulipokea hilo. Wanawake mlioolewa tulieni katika ndoa na ukitaka kubadil ladha basi kuwa makini

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom