Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Hakika Mike....Mkuu kuna mapori na kuna 92..
Vitu viwili Tofaut
Hakuna kubadili ladha pumbavu...... Wanahangaika kisha wanarudiHaya mambo kama hujawahi pitia utaongea kirahisi sanaa ilaa inauma sanaa mwanamke kusaliti hata kama mwanaume una mademu kadhaa wa siri ilaa sio mke wako uliyemuoa akucheat. Kiufupi inahitaji moyo wa kijasiri kulipokea hilo. Wanawake mlioolewa tulieni katika ndoa na ukitaka kubadil ladha basi kuwa makini
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
wewe umeoa?Kuoa na changamoto zake kunapunguza sana uwezo wa kufikiri na mwishowe ndio majanga kama hayo.
🤣wewe umeoa?
Ataenda kupakuliwa jela!Hawa askari hodari kuua, lakini kujiua waoga sana
Mkuu achana na hilo Bumunda (Pumbavu) kwani linadhani hadi Mwanaume kufikia Kuchukua hatua hiyo hakuvumilia na hajaumizwa vya Kutosha.
Cc: Mmassy JM
Siku ukikuta mkeo anat*mbw* juu ya kitanda chako, chumbani kwenu, nyumbani kwenu ndipo utajua hujui, unadhani ni rahisi kumuua mtu unaempenda, inatokea tu!
Kunyongwa kisheria huja pale mshitakiwa anapokuwa anakataa ukweli na ushahidi unamuhusu kabisa yaani ushahidi inaonyesha wazi kuwa huyu mshitakiwa alitenda kosa ila yeye kazi ni kubadili badili maneno yake katika kujitetea.Duh, alitaka kujiua wakamwokoa halafu atahukumiwa kunyongwa!
Kabla sijakujibu hilo swali hebu nijiridhishe na upeo wako juu ya haya maswala ya usaliti katika mahusiano.Sasa ukishaua unapata faida gani ya kudumu?
Siyo mjinga mkuu hakupangiwa kufa hivyo ndio maana ameponaMjinga kabisa huyu askari.
Yaani amejaribu kujiua kisha ameshindwa kabisa?
Hafai kuwa askari huyu!
Mbona balozi wetu china anavumilia na ndie mwanamme pekee mwenye kifua nchini. Hapo ndio kipimo cha uanaume. Ukifanyiwa hivyo na wewe tafuta mke mwengine wa Mnyonge umtombSiku ukikuta mkeo anat*mbw* juu ya kitanda chako, chumbani kwenu, nyumbani kwenu ndipo utajua hujui, unadhani ni rahisi kumuua mtu unaempenda, inatokea tu!
Sababu za mwanaume kuchepuka huwa ni tofauti na za mwanamke kuchepuka.Mara nyingi wachepukaji huwa Wana wivu kupitiliza askari atakuwa naye alikuwa mchepukaji mahiri
Sifanyi huo ufala. Yule balozi wa china si analipwa. Mimi nikigundua mke wangu ananisaliti na mtu mwenye pesa na huyo mwenye pesa akanipatia pesa wakati anamtumia, kiroho safi nachukua mpunga nafanya mambo yangu.....Mbona balozi wetu china anavumilia na ndie mwanamme pekee mwenye kifua nchini. Hapo ndio kipimo cha uanaume. Ukifanyiwa hivyo na wewe tafuta mke mwengine wa Mnyonge umtomb