Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

Wewe jamaa weee😆
 
Mkuu achana na hilo Bumunda (Pumbavu) kwani linadhani hadi Mwanaume kufikia Kuchukua hatua hiyo hakuvumilia na hajaumizwa vya Kutosha.

Cc: Mmassy JM
Mbona wewe hukumuua 'mgoni wako' ulipochapiwa mama watoto wako?

Ungemuua then ukawe mke wa nyapala segerea uhitimishe uvumilivu wako.
 
Sasa ukishaua unapata faida gani ya kudumu?
Bwana Mmasy, wengi wa wauaji wa case kama hizi huwa hawaui kwa kupanga.

Inakuwa jambo la hamaki kutokana na maudhi ya upande wa pili.

Wanaokuwa na muda wa kutafakari hasara na faida huwa hawaui...na hao tuko wengi.
 
Wewe jamaa weee[emoji38]
Kabisa yaani. Ukiendekeza hisia na mwanamke malaya utachanganyikiwa. Mwanamke wa kumheshimu ni yule anaekuheshimu na kukulindia heshima yako wewe tu..... Hawa wengine chezea unavyoweza maana wameamua kuwa takataka watreat kama takataka.
 
BODA -BODA wanakula sana wake za watu, hili suala halita ishia hapa, yaaniwanawake wanagongwa kwa kupewa lift za bodaboda, sasa maskini huyu mwalimu ili awahi lazma apande boda, jamaa anamgusa gusa akilainika anazama anatoka, anazama anatoka.
 
Bwana Mmasy, wengi wa wauaji wa case kama hizi huwa hawaui kwa kupanga.

Inakuwa jambo la hamaki kutokana na maudhi ya upande wa pili.

Wanaokuwa na muda wa kutafakari hasara na faida huwa hawaui...na hao tuko wengi.
sure, sisi majaji tunasema caught flagrento delicto with no time to heat of passion,
 
Jinga kabisa shida ya askari wenye namba ndongo JNSO ubabe wa kingese
 

Jibu swali langu
 
Dawa ni kuwakomesha nyie si hamtulii kabisa na ndoa zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…