Wewe jamaa weee😆Sifanyi huo ufala. Yule balozi wa china si analipwa. Mimi nikigundua mke wangu ananisaliti na mtu mwenye pesa na huyo mwenye pesa akanipatia pesa wakati anamtumia, kiroho safi nachukua mpunga nafanya mambo yangu.....
Sasa mimi hiyo takataka ya kazi gani napokea mpunga tu safi maisha yaendelee
Mbona wewe hukumuua 'mgoni wako' ulipochapiwa mama watoto wako?Mkuu achana na hilo Bumunda (Pumbavu) kwani linadhani hadi Mwanaume kufikia Kuchukua hatua hiyo hakuvumilia na hajaumizwa vya Kutosha.
Cc: Mmassy JM
Bwana Mmasy, wengi wa wauaji wa case kama hizi huwa hawaui kwa kupanga.Sasa ukishaua unapata faida gani ya kudumu?
Kabisa yaani. Ukiendekeza hisia na mwanamke malaya utachanganyikiwa. Mwanamke wa kumheshimu ni yule anaekuheshimu na kukulindia heshima yako wewe tu..... Hawa wengine chezea unavyoweza maana wameamua kuwa takataka watreat kama takataka.Wewe jamaa weee[emoji38]
BODA -BODA wanakula sana wake za watu, hili suala halita ishia hapa, yaaniwanawake wanagongwa kwa kupewa lift za bodaboda, sasa maskini huyu mwalimu ili awahi lazma apande boda, jamaa anamgusa gusa akilainika anazama anatoka, anazama anatoka.Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa.
Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika ambayo ni Jeshi la Polisi
Inadaiwa Kuwa chanzo cha tukio la kikatili ni mfarakano uliochangiwa pamoja na mambo mengine wivu wa kimapenzi baina ya wanandoa hao
Mtuhumiwa huyo kwa Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi ya tukio hilo.
Tunatoa pole kwa familia ya Mwendazake aliyehudumu kama Mwalimu Katika uhai wake
=====
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Koplo Daniel Warioba (43) kutoka Kikosi cha 92 TJ kwa tuhuma za kumuua Mke wake Joyce Ismail (35) ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ruvu Darajani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana huu katika eneo la Janga, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi.
Kamanda Wankyo alisema askari huyo anadaiwa kumchoma mke wake na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo.
Kwa mujibu wa Kamanda Wankyo, baada ya kutekeleza mauaji hayo, mtuhumiwa anadaiwa alitaka kunywa sumu kwa lengo la kujiua.
Wankyo alisema polisi wamemkamata mtuhumiwa huyo na anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Tumbi, huku chanzo cha tukio hilo kikiendelea kuchunguzwa.
sure, sisi majaji tunasema caught flagrento delicto with no time to heat of passion,Bwana Mmasy, wengi wa wauaji wa case kama hizi huwa hawaui kwa kupanga.
Inakuwa jambo la hamaki kutokana na maudhi ya upande wa pili.
Wanaokuwa na muda wa kutafakari hasara na faida huwa hawaui...na hao tuko wengi.
Acha mawazo ya kitoto. Yaani mtu apoteze pesa na muda wangu halafu alete ufala?!Kama hakutaki au hamuelewani muachane tu
Ova
Kuuana ni mambo ya kishamba sanaKama hakutaki au hamuelewani muachane tu
Ova
Nyie wanawake mkichoka mmechoka kwli hamurudi nyuma😂😂😂Kuuana ni mambo ya kishamba sana
Kama umeshajua hilo uko salama sana 🤣🤣🤣🤣🤣Nyie wanawake mkichoka mmechoka kwli hamurudi nyuma😂😂😂
Ova
Kabla sijakujibu hilo swali hebu nijiridhishe na upeo wako juu ya haya maswala ya usaliti katika mahusiano.
Umeshawahi kuwa na mke unamhudumia kwa upendo na haumletei ujinga halafu unakuja kujua wazi wazi kuwa anamahusiano na mtu nje unamkamata na ushahidi badala ya kujali hisia zako anabakia kusema wewe unakuwa busy hauna muda nae ndio maana kajikuta anafanya hayo mambo.
Umeshawahi kukutana na hiyo hali wewe kama wewe usinambie story za mtu mwingine?!
Naongelea uzoefu sema mimi mtoto wa mjiniKama umeshajua hilo uko salama sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Dawa ni kuwakomesha nyie si hamtulii kabisa na ndoa zenuHaya mambo kama hujawahi pitia utaongea kirahisi sanaa ilaa inauma sanaa mwanamke kusaliti hata kama mwanaume una mademu kadhaa wa siri ilaa sio mke wako uliyemuoa akucheat. Kiufupi inahitaji moyo wa kijasiri kulipokea hilo. Wanawake mlioolewa tulieni katika ndoa na ukitaka kubadil ladha basi kuwa makini
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sijui ni kwanini siku hizi 'nawadharau' mno wale Wanaume wanaopoteza muda Wao 'Kuoa' wakati Wanawake walioolewa ndiyo 'Vinara' wa Kusaliti.Halafu mnatushauri Kuoa
My foot[emoji848]
Mumewe huyo ambaye ni KOMANDO aliwahi kufanya tukio moja huko Yombo ambalo linanifanya hata nisipende mno Kuzoeana nae na Mkewe pia.Kaa nae mbali Mkuu jamaa wanajua kuua tu sio kama FFU wanaojua kupapasa
Hujatombewa ila Ungetombewa kamwe usingesema hivi.Kuuana ni mambo ya kishamba sana