Unaongelea jeshi la nchi gani?Kaka unafikiri natania? Unazijua ajira ambazo ukimaliza kidato cha nne kuna uwezekano wa kuzipata? Unazijua ajira ambazo ukimaliza kidato cha sita unaweza kuzipata? Unazijua ajira ambazo ukimaliza degree, masters, n.k unaweza kuzipata? Basi hao wote ni takataka kwa wanajeshi ukiwa tu unafikiria sawasawa
tena ni bovu alikuwa anapeleka mwenge au sinza garage.Jinga sana hilo jamaa. Hiyo Nissan pia nina hakika ni ya mkopo
aje mwenge aone wanavyoteseka.Unaongelea jeshi la nchi gani?
Tumekaa jeshini na hata sasa tunaishi nao.
Ni mafukara wakubwa tu.
Baadhi ya maafisa ndio kidogo wanazo.
CPL ndio kabisaa hamna kitu
Huu mjadala umeuanzia katikati kama ungeuanza mwanzoni kabisa ungeelewa,aliyesababisha yote hayo ni huyo @loftin aliyewaita watumishi wote takataka mbele ya jwtzKijana Kama kweli bado upo kambini Hadi leo na umezaliwa hapo, Basi ww ni mnufaika wa hao unaowaita washamba, haya makosa ya barabaran yapo tu kila siku na watu wote hufanya sio tu Jwtz soldier, ushamba hutokan na Kazi ya mtu, wakati mwingne ni tabia ya mtu binafsi, unawadharau na wanakulisha? Inasikitisha
Tembea uone jomba acha kukaa hapo kambini ukaamini wewe ndio una maisha mazuriWanajeshi wana maisha mazuri kuliko takataka yoyote Tanzania. Tatizo linakuja unavyoyatazama wewe
Hayo Magari yote uliyotaja spare unaweza kuchongesha mwenyewe hayana tofauti na daladala za DCMwEwe hujui magari.. kuna gari huwa hazichuji.
1.Nissan patrol
2. Land cruiser
3.Land rover..
Hizo taka taka nyingine unazozifikiria wewe zipumzishe kwanza..
Officer nyota moja mshahara wake ni 1.4mil tu hakuna maajabu hapo. anachotakiwa kufahamu mishahara yote ya serikali iko sawa haitofautiani, kinachowapo favour hao jamaa ni marupurupu, vinywaji na vifaa vya ujenzi Bei zao ni rahisi tofauti na uku mtaaniMshahara ni siri ya mtu mkuu.
Ndo maan yanadumu muda mrefuHayo Magari yote uliyotaja spare unaweza kuchongesha mwenyewe hayana tofauti na daladala za DCM
Hayo maisha mazuri gani wamejaa mikopo tupu kila benki wamekopa mpaka benki ya walemavu, kiujumla ni washamba sana
Hata kama angevaa sare, pale ni kivuko cha watembea Kwa miguu
Kwani ukavaa sare ndio uko juu ya sheria?
Ni utamaduni Tu umejengeka but ni Jambo la kishamba,
Kuna siku niliona wanajeshi wanamsukuma traffic pale ubungo mataa ili wao wapite
Tena wanapita kwenda home sio vitani
Anafukuzwaje..amevunja sheria gan ya utumishiNdio hivo hapo kiburi chake kipo kwenye hiyo gari, akifukuzwa kazi ndio atajua
Jinga sana hilo jamaa. Hiyo Nissan pia nina hakika ni ya mko
Hakujui huyoSasa matusi utayaweza au una-test zali?
Hivi Magu siajifuta hii, imesharudi tuanze kwenda maduka ya jeshi?Officer nyota moja mshahara wake ni 1.4mil tu hakuna maajabu hapo. anachotakiwa kufahamu mishahara yote ya serikali iko sawa haitofautiani,kinachowapo favour hao jamaa ni marupurupu,vinywaji na vifaa vya ujenzi Bei zao ni rahisi tofauti na uku mtaani
Walipiga ban ila kama una rafiki ni mwanajeshi unamtumia huyo huyo kuchukua mazagaHivi Magu siajifuta hii, imesharudi tuanze kwenda maduka ya jeshi?
Pumzi ishikata mzee [emoji23][emoji23][emoji23]Hao uliowataja ni nani mbele ya Mjeshi?
Hayo ni makundi ya kipaumbele mzee. Polisi wenyewe hawazingatii hizo taratibu unazosema.
Viongozi wetu ndo usiseme kabisa.
Askari wamejengewa kuwa in hurry muda wote, wewe unaweza ona hawaendi vitani lkn uwepo wake sehemu kwa wakati inamaana kubwa sana.
Hii awe kiraia ama kiofisi. Ili mradi wanazingatia tahadhari zote.
Hayo ni makundi ya kipaumbele mzee. Polisi wenyewe hawazingatii hizo taratibu unazosema.
Viongozi wetu ndo usiseme kabisa.
Askari wamejengewa kuwa in hurry muda wote, wewe unaweza ona hawaendi vitani lkn uwepo wake sehemu kwa wakati inamaana kubwa sana.
Hii awe kiraia ama kiofisi. Ili mradi wanazingatia tahadhari zote.
Sisi hapa hatuzungumzii kuchuja kwa gari , Nissan patrol ya mwaka 90 sio ya kuletea kiburi watu barabaraniwEwe hujui magari.. kuna gari huwa hazichuji.
1.Nissan patrol
2. Land cruiser
3.Land rover..
Hizo taka taka nyingine unazozifikiria wewe zipumzishe kwanza..
Safi sana, asulibishwe.Habari zenu ndugu,
Kutoka Dar, askari wa JWTZ apandishwa Kizimbani Kwa Kukaidi Amri Halali ya Askari Trafiki wakati akitekeleza Wajibu wake.
Hii safi sana, lazima ieleweke kwamba utii wa Sheria bila shurti ni Kwa Kila raia bila kujali hadhi wala vyeo.
Askari Jeshi hasa JKT mara nyingi Huwa wanapiga raia hivyo na kujifanya wao wako Juu ya Sheria na Wana Haki sana kuliko raia wengine.
Kazi iendelee
==============
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ ) amepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kukataa amri halali ya askari wa usalama barabarani.
Imedaiwa Mahakamani leo, kuwa MT 89487 CPL Hamis Ramadhan alishindwa kusimamisha gari yake katika kivuko cha watembea kwa miguu eneo la Mlimani City, barabara ya Survey.
Wakili wa Serikali, Vailet Kyendesa ameiambia Mahakama kuwa Ramadhani akiwa akiiendesha gari binafsi T 433 ALB Nissan Patrol alikaidi amri ya kusimamisha gari na kujaribu kumsukuma askari wa usalama barabarani kwa gari lake.
Mshitakiwa amekana mashitaka na upande wa mashitaka umedai upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na kuomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.
#HabarileoUPDATES