Askari wa JWTZ kizimbani kwa kukaidi amri halali ya askari wa Usalama Barabarani

Askari wa JWTZ kizimbani kwa kukaidi amri halali ya askari wa Usalama Barabarani

Kaka unafikiri natania? Unazijua ajira ambazo ukimaliza kidato cha nne kuna uwezekano wa kuzipata? Unazijua ajira ambazo ukimaliza kidato cha sita unaweza kuzipata? Unazijua ajira ambazo ukimaliza degree, masters, n.k unaweza kuzipata? Basi hao wote ni takataka kwa wanajeshi ukiwa tu unafikiria sawasawa
Unaongelea jeshi la nchi gani?
Tumekaa jeshini na hata sasa tunaishi nao.
Ni mafukara wakubwa tu.
Baadhi ya maafisa ndio kidogo wanazo.

CPL ndio kabisaa hamna kitu
 
Kijana Kama kweli bado upo kambini Hadi leo na umezaliwa hapo, Basi ww ni mnufaika wa hao unaowaita washamba, haya makosa ya barabaran yapo tu kila siku na watu wote hufanya sio tu Jwtz soldier, ushamba hutokan na Kazi ya mtu, wakati mwingne ni tabia ya mtu binafsi, unawadharau na wanakulisha? Inasikitisha
Huu mjadala umeuanzia katikati kama ungeuanza mwanzoni kabisa ungeelewa,aliyesababisha yote hayo ni huyo @loftin aliyewaita watumishi wote takataka mbele ya jwtz
 
Hayo maisha mazuri gani wamejaa mikopo tupu kila benki wamekopa mpaka benki ya walemavu, kiujumla ni washamba sana

Sio vema kutoa hizi lugha. Tuwape staha zao kama askari wetu.

Kutoa lugha za shutuma dhidi ya kundi fulani bila kujali uhalali wa hoja sio sawa.
 
Hata kama angevaa sare, pale ni kivuko cha watembea Kwa miguu

Kwani ukavaa sare ndio uko juu ya sheria?

Ni utamaduni Tu umejengeka but ni Jambo la kishamba,

Kuna siku niliona wanajeshi wanamsukuma traffic pale ubungo mataa ili wao wapite

Tena wanapita kwenda home sio vitani

Hayo ni makundi ya kipaumbele mzee. Polisi wenyewe hawazingatii hizo taratibu unazosema.

Viongozi wetu ndo usiseme kabisa.

Askari wamejengewa kuwa in hurry muda wote, wewe unaweza ona hawaendi vitani lkn uwepo wake sehemu kwa wakati inamaana kubwa sana.

Hii awe kiraia ama kiofisi. Ili mradi wanazingatia tahadhari zote.
 
Officer nyota moja mshahara wake ni 1.4mil tu hakuna maajabu hapo. anachotakiwa kufahamu mishahara yote ya serikali iko sawa haitofautiani,kinachowapo favour hao jamaa ni marupurupu,vinywaji na vifaa vya ujenzi Bei zao ni rahisi tofauti na uku mtaani
Hivi Magu siajifuta hii, imesharudi tuanze kwenda maduka ya jeshi?
 
Hayo ni makundi ya kipaumbele mzee. Polisi wenyewe hawazingatii hizo taratibu unazosema.

Viongozi wetu ndo usiseme kabisa.

Askari wamejengewa kuwa in hurry muda wote, wewe unaweza ona hawaendi vitani lkn uwepo wake sehemu kwa wakati inamaana kubwa sana.

Hii awe kiraia ama kiofisi. Ili mradi wanazingatia tahadhari zote.


Haya ni Maisha ya kimazoea Tu sio Maisha ya kisheria

Ni kama kumpisha mzee kwenye kiti, sio lazima ni hiari yako tu

Mwanajeshi anatoka kazini anawahi kuangalia mpira uwanja wa taifa nayo anapita kwenye Red light?



Hayo ni makundi ya kipaumbele mzee. Polisi wenyewe hawazingatii hizo taratibu unazosema.

Viongozi wetu ndo usiseme kabisa.

Askari wamejengewa kuwa in hurry muda wote, wewe unaweza ona hawaendi vitani lkn uwepo wake sehemu kwa wakati inamaana kubwa sana.

Hii awe kiraia ama kiofisi. Ili mradi wanazingatia tahadhari zote.
 
wEwe hujui magari.. kuna gari huwa hazichuji.
1.Nissan patrol
2. Land cruiser
3.Land rover..

Hizo taka taka nyingine unazozifikiria wewe zipumzishe kwanza..
Sisi hapa hatuzungumzii kuchuja kwa gari , Nissan patrol ya mwaka 90 sio ya kuletea kiburi watu barabarani

Land Rover hata mimi ninalo na maisha yangu ya kuunga unga sio gari ya kuvimbia hiyo
 
Habari zenu ndugu,

Kutoka Dar, askari wa JWTZ apandishwa Kizimbani Kwa Kukaidi Amri Halali ya Askari Trafiki wakati akitekeleza Wajibu wake.

Hii safi sana, lazima ieleweke kwamba utii wa Sheria bila shurti ni Kwa Kila raia bila kujali hadhi wala vyeo.

Askari Jeshi hasa JKT mara nyingi Huwa wanapiga raia hivyo na kujifanya wao wako Juu ya Sheria na Wana Haki sana kuliko raia wengine.

Kazi iendelee

==============

ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ ) amepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kukataa amri halali ya askari wa usalama barabarani.

Imedaiwa Mahakamani leo, kuwa MT 89487 CPL Hamis Ramadhan alishindwa kusimamisha gari yake katika kivuko cha watembea kwa miguu eneo la Mlimani City, barabara ya Survey.

Wakili wa Serikali, Vailet Kyendesa ameiambia Mahakama kuwa Ramadhani akiwa akiiendesha gari binafsi T 433 ALB Nissan Patrol alikaidi amri ya kusimamisha gari na kujaribu kumsukuma askari wa usalama barabarani kwa gari lake.

Mshitakiwa amekana mashitaka na upande wa mashitaka umedai upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na kuomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

#HabarileoUPDATES
Safi sana, asulibishwe.
 
Back
Top Bottom