Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.

Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.

Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.

Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!

Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?

Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!

Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
 
Sasa wewe ulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
 
Sasa wewe hulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
Unaniuliza mimi? Mimi ndio trainer wa hao askari, mi ninachojua ni kwamba kuna utaratibu kwa ku-deal na kila situation, na askari wamefundishwa nini cha kufanya, hivyo nilitegemea akifanye, lakini kusema sina la kufanya ni udhaifu na kushindwa kazi!!!

Na akija jambazi utasema ‘ulitaka huyo askari afanye nini’? Si kazi yao na wamefundishwa nini cha kufanya? Wakifanye, wafanye wajibu wao!
 
Sasa wewe hulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
Yaani ukamuelimishe mtu mwny pumbuh zake 2 na mavuzi yaliyojaa mpk mkundn faida za kupanga foleni?Hell Yeah
 
endeleeni kukaa kwenye foleni mkuu...na mwingine akija mtumeni huyo askari wa kike halafu atawajibu hivyo hivyo, na nyie endeleeni kukaa kwenye foleni..

mkitoka bank jioni njooni huku JF usiku tudai Katiba mpya, tukipata katiba mpya hata foleni hamtakaa kwenye mabank..
 
Yaani ukamuelimishe mtu mwny pumbuh zake 2 na mavuzi yaliyojaa mpk mkundn faida za kupanga foleni?Hell Yeah
Hahah, si ndio hapo, halafu sio kazi ya mteja kutoa elimu, ni kazi yao hao walinzi, na mtu asipoheshimi utaratibu basi anapaswa kuchukuliwa hatua za ‘kiutaratibu / protocal’
 
Ili tuitwe majambazi si ndio? Kwani hakuna utaratibu?! Si kuna protocol ya jinsi ya kutatua matatizo kadri yanavyojitokeza? Wateja kujichukulia sheria mkononi si utaratibu!
Pengine hujanielewa mkuu, kuchua hatua sio kwa kumpiga. Lilikuwa ni jambo la kumjulisha yeye afuate utaratibu, mkipaza sauti lazima angetoka hapo, angeamua kuondoka au kurudi nyuma. Sehemu yenye raia kuanzia 10 na kuendelea mtu mmoja hawezi kuwazidi hata awe baunsa kiasi gani.
 
Unaniuliza mimi? Mimi ndio trainer wa hao askari, mi ninachojua ni kwamba kuna utaratibu kwa ku-deal na kila situation, na askari wamefundishwa nini cha kufanya, hivyo nilitegemea akifanye, lakini kusema sina la kufanya ni udhaifu na kushindwa kazi!!!

Na akija jambazi utasema ‘ulitaka huyo askari afanye nini’? Si kazi yao na wamefundishwa nini cha kufanya? Wakifanye, wafanye wajibu wao!

😀😀😀

Labda ungemuuliza anajua ulichokiandika, maana unaweza kuta Hajaelewa. Karukia kujibu.
Hajui mantiki ya ulichokisema
 
Pengine hujanielewa mkuu, kuchua hatua sio kwa kumpiga. Lilikuwa ni jambo la kumjulisha yeye afuate utaratibu, mkipaza sauti lazima angetoka hapo, angeamua kuondoka au kurudi nyuma. Sehemu yenye raia kuanzia 10 na kuendelea mtu mmoja hawezi kuwazidi hata awe baunsa kiasi gani.
Hizo tabia za kinyani nyani sio za kuzi-entertain, kwahiyo sisi wateja tuanze kulia lia benki kama mbwa waliochanganyikiwa au kama manyani porini ni uwendawazimu, aliyepewa mamlaka ya kusimamia utaratibu atimize wajibu wake, tutimize wajibu wetu!
 
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.

Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.

Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.

Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!

Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?

Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!

Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Asili na silika ya mwanamke unaifahamu?Shida ni nini?Kaa vizuri kwenye msururu aka foleni upate huduma.
 
Hizo tabia za kinyani nyani sio za kuzi-entertain, kwahiyo sisi wateja tuanze kulia lia benki kama mbwa waliochanganyikiwa au kama manyani porini ni uwendawazimu, aliyepewa mamlaka ya kusimamia utaratibu atimize wajibu wake, tutimize wajibu wetu!
Kwani unachofanya hapa ni nini sasa?
 
Back
Top Bottom