Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Kwa usawa wa huyu mama, hata elfu kumi ni shuguli!Hata elfu 10 wanaipokea, sasa sijui unamaanisha nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa usawa wa huyu mama, hata elfu kumi ni shuguli!Hata elfu 10 wanaipokea, sasa sijui unamaanisha nn
Askari alipaswa baada ya kumwambia njemba na kukataa akamueleze cashier kwamba hakuna kumpa huduma huyo njemba mpaka arudi nyuma akaunge foleni, mbona simple tuu...Sasa wewe ulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
Safi kabisa, kama protocal inasema hivyo basi afanye hivyo!!Askari alipaswa baada ya kumwambia njemba na kukataa akamueleze cashier kwamba hakuna kumpa huduma huyo njemba mpaka arudi nyuma akaunge foleni, mbona simple tuu...
Hii tabia ya kulaumu laumu ya ajabu sana. Wenyewe walioko kwenye foleni wangemkazia huyo jamaa mbona angenyooka tu kilaini.Sasa wewe ulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
Labda kama raia wenyewe ndio hao wanao umia kimya kimya bila kupaza sauti!Pengine hujanielewa mkuu, kuchua hatua sio kwa kumpiga. Lilikuwa ni jambo la kumjulisha yeye afuate utaratibu, mkipaza sauti lazima angetoka hapo, angeamua kuondoka au kurudi nyuma. Sehemu yenye raia kuanzia 10 na kuendelea mtu mmoja hawezi kuwazidi hata awe baunsa kiasi gani.