Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.

Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.

Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.

Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!

Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?

Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!

Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Mijitu ya hivyo na mimi huwaga naitoa nishai kinyama,sipendagi dharau kabisa,kuna broo mmoja na mtambitambi wake alijifanya anakaza kukaa mbele yng bila kuniomba,hakuamini maneno niliyompa,mwenyewe alinipisha nihudumiwe mimi kwanza,bora akuombe kistaarabu,anajifanya anatumia ubabe
 
Una uhakika huyo ni askari kweli?
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.

Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.

Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.

Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!

Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?

Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!

Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
 
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.

Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.

Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.

Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!

Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?

Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!

Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Sio askari wanawake pekee wanawake popote walipo iwe customer care, cashier, daktari, hata akiwa rais kote ni GARBAGE tupu.
 
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.

Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.

Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.

Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!

Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?

Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!

Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Ulifanya vizuri kumkubusha jukumu lake. Kufuata taratibu ni ustaarabu.
 
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.

Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.

Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.

Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!

Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?

Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!

Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
anabeep faya
 
Kila siku ni kulalamika tu. Go kill yourself and get done with all life problems forever, as it’s clear you have no life at all. Hata Ukisukumwa kwenye daladala utaingia humu kulalamika, like a bit.ch. Senge kweli wewe. In fact, you’re the biggest bit.ch of them all.
Upumbavu nao ni kama kipaji tu. Bora uwe mjinga. Ukielimishwa ujinga unakutoka (Nyerere, n.d)
 
Unaniuliza mimi? Mimi ndio trainer wa hao askari, mi ninachojua ni kwamba kuna utaratibu kwa ku-deal na kila situation, na askari wamefundishwa nini cha kufanya, hivyo nilitegemea akifanye, lakini kusema sina la kufanya ni udhaifu na kushindwa kazi!!!

Na akija jambazi utasema ‘ulitaka huyo askari afanye nini’? Si kazi yao na wamefundishwa nini cha kufanya? Wakifanye, wafanye wajibu wao!
Sasa kama wewe mwanaume umeshindwa na unaogopa kudeal na mwanaume mwenzako. Unataka yeye afanye?
 
Ni muhimu kutoa maoni, na yasichukuliwe kwamba ni kulalamikaYour

Nakuomba u retire kuchangia kwa muda mkuu! Maana kila kero katika maisha yako ya kila siku, however nonsensical, unabwagia humu. You need to man up, dude. Stop bitchin.g and behaving like you’re in need of constant attention from other people.
 
Nakuomba u retire kuchangia kwa muda mkuu! Maana kila kero katika maisha yako ya kila siku, however nonsensical, unabwagia humu. You need to man up, dude. Stop bitchin.g and behaving like you’re in need of constant attention from other people.
Kwani wewe unalazimishwa kuja humu?! JF ni adhabu kwako? Sasa kwanini unakuja? Topic haikuvutii unaachana nayo, changia zinazokuvutia, mimi kero nitaziweka tu humu.., nonsensical ni subjective, siwezi kubishana na hilo.., halafu acha kujibu kixhogaxhoga.. , umekalia bichi bichi..; nitake attention yako kwani unanijua?
 
Back
Top Bottom