Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

mimi ningemzaba huyo njemba vibao. Huyo ni kinjemba tu sisi MANJEMBA hatufanyi ujinga. ILA PIA UNGETAKIWA WEWE KUMUELEKEZA NA SIYO KUKIMBILIA ASKARI. Acha uoga.
 
Kwani unachofanya hapa ni nini sasa?
Hapa ni Jengo la benki? Hapa natoa maoni na ushauri baada ya tukio na nje ya eneo la tukio bila kusababisha ‘unrest’ kwenye ofisi ya watu.
 
mimi ningemzaba huyo njemba vibao. Huyo ni kinjemba tu sisi MANJEMBA hatufanyi ujinga. ILA PIA UNGETAKIWA WEWE KUMUELEKEZA NA SIYO KUKIMBILIA ASKARI. Acha uoga.
Sio jukumu la mteja kufanya confrontation ya aina yeyote na mteja mwingine, kuna utaratibu na protocal, wateja wengine wamevurugwa, hivyo ni kazi ya skilled / trained security personel kushughulika nae, wafanye kazi yao na utaratibu uheshimiwe!!
 
Unaniuliza mimi? Mimi ndio trainer wa hao askari, mi ninachojua ni kwamba kuna utaratibu kwa ku-deal na kila situation, na askari wamefundishwa nini cha kufanya, hivyo nilitegemea akifanye, lakini kusema sina la kufanya ni udhaifu na kushindwa kazi!!!

Na akija jambazi utasema ‘ulitaka huyo askari afanye nini’? Si kazi yao na wamefundishwa nini cha kufanya? Wakifanye, wafanye wajibu wao!
Jambazi haungi foleni anafyatua risasi.

Ulifanya vizuri kuhakikisha utaratibu unafatwa lakini pia sio big deal kwa kiwango cha kuhukumu askari wote wa kike.

By the way hayo mambo ya mstari yanatokea sana bank, huyo dada inawezekana ana uzoefu nayo kuliko wewe usiyeshinda hapo.

Inawezekana aliona ngoja tu hili lipite ila wewe ikakuuma kumuacha mtu asiyefata utaratibu wakati wewe unaufuata. Ni kawaida, inatokea mara nyingi tu huko bank.
 
Jambazi haungi foleni anafyatua risasi.

Ulifanya vizuri kuhakikisha utaratibu unafatwa lakini pia sio big deal kwa kiwango cha kuhukumu askari wote wa kike.

By the way hayo mambo ya mstari yanatokea sana bank, huyo dada inawezekana ana uzoefu nayo kuliko wewe usiyeshinda hapo. Inawezekana aliona ngoja tu lipite ila wewe ikakuuma kumuacha mtu asiyefata utaratibu wakati wewe unaufuata. Ni kawaida, inatokea mara nyingi tu.
Ni BIG deal kwa mtu aliyekaa foleni lisaa lizima akisubiria huduma; sasa kama unashindwa kumshurutisha mteja kupanga foleni, huyo mteja anatofauti gani na jambazi? Maana anaweza akasema teller ni rafiki yangu, nataka niingie ndani ya kibox chake nikapige nae story, sio utaratibu huo, lakini kwakuwa hamna cha kumfanya ili kusimamia utaratibu, basi atafanya anavyotaka. Mambo makubwa huanza na madogo, ukishindwa kusimamia madogo basi hata makubwa yatakushinda!! Hakuna ukawaida kwenye uvunjifu wa utaratibu...
 
Siku moja nmb mwaka 2020 tu sumbawanga nipo foreni ile ya fast truck nimesimama nasubir atoke mtu na mimi nizame ndani

Ghafla katokea solder na gwanda zake kaingia ndani ilihali bado kuna mtu na akafunga mlango kwa funguo

Nikaona sio kesi nikaendelea kusubir sasa badaye anatoka nikaona kukaa kimya uzembe ambao sijawahi kuwa nao

Brother umekosea hapa binafs naharaka mno lakini kama ungekuwa naharaka zaid ungeomba na sio kupitiliza wote ni haraka


Jamaa akauliza kwa hiyo wewe ndo unajua kuongea

Nikamjibu sio najua kuongea mimi nakueleza yale ambayo ilipaswa kuyafanya na sio hayo ambayo umefanya wewe


Jamaa akatoka aliposimama kwa mkwara mnene akinifata nilipo na nilikuwa naongea huku nimekaa

Anavyokuja nikainuka mwanaume na mimi na mfata afu kwa sura ya uchu sana na ile gadhabu ya kiume

Watu wote bank kimya tumgambo kanatetemeka hako
Mara paaap tukafikiana hapa na hapa
Nikamuliza anzisha unachotaka nikujibu kwa matendo

Aaakha jamaa akageuza njia akasepa



Na angejaribu angeumbuka
Make na mwili mwili wa mazoezi a unamazoez sana wakati huo kabla mkitambi haujachipuka kama saiv


Moral of the story

Masolder msijione nyie ndo kila kitu mtaani kuna watu walistahili kuwa hapo ila kwakuwa mungu hakupenda badi tupo kitaa na wewe unakuta unaenda kwa connection utaabika

Ngumi za ninja wa mtaa ma sensei wakasome
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
endeleeni kukaa kwenye foleni mkuu...na mwingine akija mtumeni huyo askari wa kike halafu atawajibu hivyo hivyo, na nyie endeleeni kukaa kwenye foleni..

mkitoka bank jioni njooni huku JF usiku tudai Katiba mpya, tukipata katiba mpya hata foleni hamtakaa kwenye mabank..
 
Yaani ukamuelimishe mtu mwny pumbuh zake 2 na mavuzi yaliyojaa mpk mkundn faida za kupanga foleni?Hell Yeah
Ila matusi ya wazi yamezidi sana Jf siku hizi na mod wanaangalia tu!

Jamani, wengine haya makala ya Jf tunapenda kusoma tukiwa na wakwe, tuoneeni huruma!

Acheni kutumia lugha zenye ukakasi na zenye kukera wengine.
 
Tabia za hovyo na kukosa ustaarabu kama hizi huanzia mbali sana, tukiwa shule ya sekondari kuna watu walikuwa hawapangi foleni ya chakula kabisa wanawaona wote waliowatangulia ni ngedere tu, bila ubabe ilikuwa hata ukifika kwenye mstari wa kwanza utakula wa mwisho tu.

Mtu mweusi anahitaji kustaarabika zaidi.
 
Ni BIG deal kwa mtu aliyekaa foleni lisaa lizima akisubiria huduma; sasa kama unashindwa kumshurutisha mteja kupanga foleni, hiyo mteja anatofauti gani na jambazi? Maana anaweza akasema teller ni rafiki yangu, nataka niingie ndani ya kibox chake akapige nae story, si utaratibu huo, lakini kwakuwa hamna cha kumfanya ili kusimamia utaratibu, nasi atafanya anavyotaka. Mambo makubwa hianza na madogo, ukishindwa kusimamia madogo nasi hata makubwa yatakushinda!! Hakuna ukawaida kwenye uvunjifu wa utaratibu...
Sikupingi katika kusisitiza kufuata utaratibu. Nakupinga hitimisho lako la udhaifu wa mwanamke kwa sample ya tukio moja katika matukio mengi Tanzania.

Na hata bank hiyo hiyo, huyo askari inawezekana ameshadhibiti mambo mengi ya kijasiri kuliko hilo la kwako moja ulilotumia kuhitimisha kuwa askari wa kike ni dhaifu.
 
Kwani wewe ukifumuliwa marinda utakufa? So kisa hufi utakatia viuno tu au sio? Kisa hufi na hupendi kujichosha, au sio?
Hahahahaa!Acha taharuki Matusi ya nini sasa?Ungepigana na aliyeruka foleni.Kujiliza JF hakuwafanyi Askari wa kike kuwa shupavu.🤣🤣🤣
 
Tabia za hovyo na kukosa ustaarabu kama hizi huanzia mbali sana, tukiwa shule ya sekondari kuna watu walikuwa hawapangi foleni ya chakula kabisa wanawaona wote waliowatangulia ni ngedere tu, bila ubabe ilikuwa hata ukifika kwenye mstari wa kwanza utakula wa mwisho tu.

Mtu mweusi anahitaji kustaarabika zaidi.

Hapana mkuu, tunahitaji katiba mpya ili tuwe civilized....Katiba mpya ndio muarobaini..😀😀
 
Hakika, katiba mpya itachochea kuongeza ustaarabu.
Hapana mkuu, tunahitaji katiba mpya ili tuwe civilized....Katiba mpya ndio muarobaini..[emoji3][emoji3]
 
Ila matusi ya wazi yamezidi sana Jf siku hizi na mod wanaangalia tu!

Jamani, wengine haya makala ya Jf tunapenda kusoma tukiwa na wakwe, tuoneeni huruma!

Acheni kutumia lugha zenye ukakasi na zenye kukera wengine.
Huyo mkwe wako anawahusu Nini wana JF?
 
Sasa wewe hulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
Kutotimiza wajibu ndo ustaarabu na kuelimika? Mijitu ya cku izi cjui mkoje
 
Katika kazi wanawake wapo wapo tu kama mapambo,mfano kama kazi za ufundi ufundi,mkienda site videmu vinakuwa vipo tu pembeni vinakodoa mimacho,kanaweza kakawa kanatumia mashine ikizingua kidogo tu unaona hakawez kufanya chochote kabla ya fundi kufika mpaka wanaume ndo inabid muingilie kati
 
Back
Top Bottom