Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.
Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.
Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.
Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!
Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?
Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!
Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
kama exim bank, wahindi hawakuwa wanapanga foleni kabla ya kuanzisha mfumo wa tiketiMfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.
Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.
Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.
Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!
Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?
Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!
Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Waambie hiyo benki wawe wanatoa namba kwa mteja anayeingia na ahudumiwe kwa kufuata nambaMfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.
Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.
Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.
Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!
Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?
Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!
Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Mteja anapoongea na simu kwa sauti kubwa ndani ya benki pia anabughudhi wengine, na ni kinyume na utaratibu wa benki, je, aaachwe asibughudhiwe, si ndio?Huyo askari nae kapewa utaratibu na benki wa kutobugudhi wateja,utamlaumu bure kabisa.
Vyovyote utakavyoiwaita, wamekabidhiwa jukumu la kusimamia utaratibu, watimize wajibu wao!Wale sio Askari ni walinzi
Mkweli mtupu....wannawake wakae reception tuu...tena provided wana sura na takkoMfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.
Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.
Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.
Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!
Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?
Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!
Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Nilitegemea afanye kile alichofundishwa kwenye training kadiri ya taaluma yake ili kuhakikisha anasimamia utaratibu na utaratibu unafuatwa kama ilivyo majukumu yake aliyokabidhiwa na mwajiri husika, na kama akishindwa pia aandike barua ya kushimdwa kazi na kuomba kuhamishwa kituo au kitengo.Ulitegemea huyo askari dada amkunje jamaa shati amtoe nje? Wakati nyie madume mpo tu mmesimama hata back up ya maneno mlishindwa kutoa!? Kafanya vizuri kuachana nae mana hakua akihatarisha chochote na hata angemkomalia.. sana sana meneja angeingilia Kati ili huyo mteja mkorofi ahudumiwe haraka aondoke ili amani iendelee kutawala. Mteja hafukuzwi aisee.
Hawapangi foleni na nyie mnawaangalia tu..?!kama exim bank, wahindi hawakuwa wanapanga foleni kabla ya kuanzisha mfumo wa tiketi
Sio kazi yake ndio kupanga watu foleni, ila ni kazi yake kuhakikisha utaratibu unafuatwaKwanza sio kazi yake kuwapanga kwenye foleni.
Social etiquette ndo kinachofanya watu wapange foleni, yan umekuta foleni nawe ukaifuata
Ulitegemea huyo askari dada amkunje jamaa shati amtoe nje? Wakati nyie madume mpo tu mmesimama hata back up ya maneno mlishindwa kutoa!? Kafanya vizuri kuachana nae mana hakua akihatarisha chochote na hata angemkomalia.. sana sana meneja angeingilia Kati ili huyo mteja mkorofi ahudumiwe haraka aondoke ili amani iendelee kutawala. Mteja hafukuzwi aisee.
hata ukienda kwa meneja, as long as issue inahusu mhindi wala hakujali. Ilibidi jamaa yangu afunge akaunti tu.Hawapangi foleni na nyie mnawaangalia tu..?!
Mkuu umeshindwa kumuwasha kibao aliyevamia foleni unataka umuwashe huyo binti askari daahKanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao
Askari wa kikosi gani ?Mimi ndio nimemwajiri hapo? Au mimi ndiye niliyefanya mchujo wa kuwapa hiyo kazi? Mi ninachojua ni kwamba amepewa kazi sababu waliompa wamemwamini kwamba anaiweza.., sasa aifanye!!!
hasa wakezenu wakiwa huko na dadazetu na Hawa wanaoitwa kwamujibu kwakweli huingia vyuo wakiwa wamechoka Mana sio mchezo mchezo kazi ni solo tuHawapati mafunzo mathubuti favour nyingi sana depo
Mmmh, fuateni utaratibu, matusi hayatasaidia sanaKila siku ni kulalamika tu. Go kill yourself and get done with all life problems forever, as it’s clear you have no life at all. Hata Ukisukumwa kwenye daladala utaingia humu kulalamika, like a bit.ch. Senge kweli wewe. In fact, you’re the biggest bit.ch of them all.